MAUMIVU YA MGONGO
hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea
sababu ni nying kutegemeana na chanzo cha tatizo
KUNYANYUA VITU VIZITO
mara nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya iuno kuvuta
MISULI KUUMA
hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali
PINGILI ZA UTI WA MGONGO
katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kaz yake sasa katika hizo pingili zipo kama donati na hua zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu
MKAO MBAYA NA MUONDOKO
mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu
kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha kama nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali
MAGONJWA KAMA JIWE KATIKA FIGO , UTI NA ARTHRITIS
moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni kama UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno
Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno
© tibazakissuna.blogspot.com
PIA KUNA MAMA KUA MJAMZITO MWANAUME KUA NA KITAMBI NA VINGINE MAANA NAKUMBUKA UKIWA KIJANA UKISKIKA UNA UMWA MGONGO UNAAMBIWA OA BHANA UONDOKANE NA TATIZO HILO
NAMNA YA KUTIBU UGONJWA HUU
NJIA YA KWANZA
TUMIA MAJI YENYE JOTO WEKA KWENYE CHUPA MFANO YA FANTA YALE MACHUPA MAKUBWA
LALIA UKIWA MIGUU YAKO IPO JUU LALIA CHUPA HIYO KWENYE MGONGO WAKO NDAN YA DAKIKA 15 AU CHINI HAPO
© tibazakissuna.blogspot.com
NJIA YA PILI
CHANGANYA MAFUTA YA NANAA , HABAT SAUDA NA MKARATUSI TUMIA KUJICHUA HAKIKISHA HUSUGUI MFUPA KAMA UNAVYO SHAURIWA NA WANA MASSAGE FANYA KUMASSAGE MPAKA CHINI YA KIUNO KWA SIKU MARA MBILI KWA UWEZO WA ALLAH UTATIBIKA
© tibazakissuna.blogspot.com
Kutana na dr mitishamba anatibu ugumba uzazi nguvu za kiume kukuza uume na kunenepesha uume kukuza hips shape na makalio kwa mvunge. .uti sugu. .pumu sikio kisukari. Mgongo .presha. .dawa zake ni asil mpigie 0744903557..pia anazo dawa za mapenz bahat nyota biashara. .pia dawa za kuongeza cd 4 kwa mwenye ukimwi
JibuFutaSawa
JibuFutaOk
JibuFuta