Salaam Alykum Ndg zangu leo Mada ya leo tunaongelea majini aina ya Subiani;
laiti tungejua vituko vya subiani mungenihurumia
ninapofikisha mada. Kwani nachokoza vita na kila mwenye jini huyo kwa
kumfichua.
Na kuna tofaut baina ya UMMUSUBIANI na SUBIANI.
DALILI ZAKE
Majini
hawa wana weza kuharibu mifumo ya ndoa haswa mwanamke kuingia hedhi
kabla ya tarehe zake na hasa iwapo kama tarehe hiyo anaweza kubeba
mimba.
Mwanaume kushindwa kumkabili vema mkewe.huotesha ndoto za
vitisho kama majoka au wanyama wakali wana kusumbua kutaka kukuvamia nk
Humfanya mtu awe kama bwege hapendi wageni au kupenda kukaa peke yake
na kulala hovyo hata mchana jua kali.
pia husababisha mtu kuwa jeuri na
kupenda sana ugomvi.
Na unapo kuwa na jini huyu jua kabisa ni waganga wachache wenye kumudu kumtoa. Nadhani watu wa Moshi na Arusha waliwahi kuona pale sheikh Amr Abeid na Moshi Bonite au matindigani jinsi gani subiani walivyo Hupanda kwa hasira na vurugu.
Jee ? utamjuaje subiani aliye tumwa au kukaa mwenyewe. Nitaendelea. usisite kutoa maoni yako na kutembelea ukurasa wetu wa facebook link ipo hapo juu.
Dr kanyas mtaalamu wa tiba asili na za kissuna pia anatibu magonjwa mbalimbali kwa kutumia dawa za kisuna na mitishamba asili ..pia anazo dawa kwa ajili ya kurefusha uume na kunenepesha uume..mtafute kupitia 0764839091...wale wa mikoani dawa mtatumiwa kwa njia ya basi
Uko vizuli kiongozi... Mbona kuna maduka mengine unakuta Wateja wamejaa lakini maduka mengine hamna wateja ... Kulikoni shee... Tupe maujanja wanafanyaje wao....???
Hongera kwa kufunguwa Blog Sheikh wangu Abdallah Rajab Allah akubariki.
JibuFutaAmina InshaAllah nashukuru mno Sheikh wangu Saad Ebrahim
JibuFutaSheikh ni saidie na email yako pls
JibuFutaSheikh tafadhali niandikie kwa email yangu cinnamonbabe28@yahoo.com ama nope yako nina mengi ya kukuuliza
JibuFutaDr kanyas mtaalamu wa tiba asili na za kissuna pia anatibu magonjwa mbalimbali kwa kutumia dawa za kisuna na mitishamba asili ..pia anazo dawa kwa ajili ya kurefusha uume na kunenepesha uume..mtafute kupitia 0764839091...wale wa mikoani dawa mtatumiwa kwa njia ya basi
JibuFutaAisee shikh moja kwa moja ninaish nahuyu kiumbe utanisaidiaje?
JibuFutaUko vizuli kiongozi... Mbona kuna maduka mengine unakuta Wateja wamejaa lakini maduka mengine hamna wateja ... Kulikoni shee... Tupe maujanja wanafanyaje wao....???
JibuFutaNatakakua naelimu ya kumwita jini wakunisaidia
JibuFutaGood
JibuFutaJamn na mm nnae naombeni dawa jaman
JibuFuta0716735711
More pls
JibuFutaasalam aleykum kwanini hawnjooa majini subiani wanakataa kutoka mwilini mwa binadamu
JibuFutaHatari
JibuFutaNaomba minisaidie kumtoa huyu subiani juu nimeangaika saana but sikufaulu
JibuFuta