Ijumaa, 29 Aprili 2016

KWANIN UNANENEPA HALI YA KUWA UNA UMWA


 


KWANIN UUMWE HUKU UNANENEPA ??

Uchawi uitwao Ghaasiq huu ni uchawi miongoni mwa aina 410 za uchawi zilizopo duniani. Na uchawi huu ukikufika unaweza kupata shida sina kwa sababu unashikiliwa na mjini aina mbili.

1) Zawaabil 

2) Swaariu majini 

hawa pia hushika uchawi aina ya Naafith. 
ila leo tuangalie ghaasiq ambao umetajwa pia katika SUURAT L FALAQ Wamin sharri ghaasiqin idhaa waqaba

uchawi huu mara nyingi hukaa katika INI na mtu mwili hushindwa kufanya detoxification  hivyo husababisha hali ya mwili kuvimba pamoja na ganzi pia hupanda hadi moyoni na mtu kuwa na hali kama cholesterol 

kisha ugonjwa huu humfanya mtu kuwa ngozi yenye vipele vingi visivyo sikia dawa pamoja na kuharibika kwa ngozi kama mtu mwenye fangas au ugonjwa wa zinaa. na ukumbuke ugonjwa wa fangas HUAMBUKIZA lakini mwenye sihri hii huwa fangas zake haziambukizi kwa mwenza wake. 

uchawi huu ukiwa nao huwa haonekani ugonjwa hospitali. ndipo madaktar huweza kutumia kuhisi na kukupa midonge bila mpangilio mwishowe ukaua ini au kongosho ukapata uti sugu au sukari. hapo ndipo ugonjwa huja kuonekana dakika za majeruhi na wauguzi kujiona wazembe au kutukana madaktari.
 utajuaje kama jini akusumbuaye ni Swaariu ili uujue uchawi wa ghaasiq? 
rejea blog yetu ya tibazakissuna.blogspot.com tiba yake nini? 

watu hudhani kama vile kutibia maradhi ya kichawi ni kitu chepesi. hapana ni kazi ngumu na huweza kugharimu pesa nyingi sana. 

TIBA YAKE

ufanyiwe visomo vya Muhlikaat ambapo wanye kazi yao wanavijua na kama huvijui mfate anaye jua. 

pili upate

1 rawandi 
2 msigi 
3 mwingwa jini 
4 mfulet 
5 msharifu 
6 haijal 
7 faijal 

changanya zote hali ni unga na uzingatie wengi huuziwa MKUMBI badala ya mwingwa jini. uwe makini kunywa siku zote utakazo fanyiwa kisomo mpaka siku ya 19 utakuwa umepona in shaa Allah

tibazakissuna.blogspot.com


1 maoni:

  1. Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.

    Niliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com

    WhatsApp: +2349046229159

    Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
    Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.

    Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.

    Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.

    Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.

    Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.

    Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi

    JibuFuta