© tibazakissuna.blogspot.com
NDOTO ( DREAMS )
Ndoto mara kwa mara huwa nasema kwamba, ni taarifa inayo kujia kwa
njia ya fumbo kupitia usingizi. Pia zipo ndoto huja moja kwa moja kama
zilivyo, lakini pia bado itabaki kuwa taarifa ya siri kupitia usingizi
Ajabu
Yupo mtu alikuwa akiota ndoto aina fulani, na kisha ndoto zile kupotea
na kuja zingine zilizo tofauti sana na zile. Jee tatizo nini?
Unapo kuwa ukiota ndoto aina fulan na kisha kuhama ima kutoka ndoto
nzuri kuja ndoto mbaya, ukiona hivyo jijue kwamba, wewe umefanyiwa
uhasidi wa kichawi
Uchawi
Ndo maana Mtume amesema ukiona ndoto mbaya temea upande wa kushoto mara tatu kisha umba ulizi kwa Mungu na ubadilishe upande ulio kua umelaza kichwa chako
Ndo maana Mtume amesema ukiona ndoto mbaya temea upande wa kushoto mara tatu kisha umba ulizi kwa Mungu na ubadilishe upande ulio kua umelaza kichwa chako
© tibazakissuna.blogspot.com
KUNA AINA TATU ZA NDOTO
1) NDOTO NJEMA ( Ru'yaa ) >> hizi ni njozi njema zenye kukuashiria jambo jema
2) NDOTO MBAYA ( Hulum ) >> amesema mtume ndoto njema utoka kwa Allah na mbaya hutoka kwa shetani
3) NDOTO ZA BINAFSI >> hizi ni ndoto zinazo tokana na fikra zako zilizo gusa hisia zako hivyo hujirudia usiku ukiwa umelala
3) NDOTO ZA BINAFSI >> hizi ni ndoto zinazo tokana na fikra zako zilizo gusa hisia zako hivyo hujirudia usiku ukiwa umelala
© tibazakissuna.blogspot.com
Lakini pia kuna mtu ambaye akiota huwa
hakumbuki alicho ota Na kuna yule haoti kabisaaaaa Na kuna yule anaota ila
hajui mana yake.
(1) kuota na kusahau hutokana na marogi ambayo mtu kafungwa na
kuchezewa kinyota
(2) kuto ota kabisa, ni kuchezewa kwa marogi na huwenda nyota
ikawa inatumiwa na mtu mwingine na kujikuta upo ili mradi lakini akili
haijiongezi
(3) Ndoto za Mungu huwa ni zile zenye taarifa na habari njema na
huwa ni kabla ya saa 11 alfajir 4 ndoto za kichawi ni alfajiri kianzia 11 kuja
saa moja 5 ndoto za majini hazina muda maalum Hata saa sita mchana waweza
kuota.
© tibazakissuna.blogspot.com
Na ndoto huhitaji wajuzi ili kuweza kupata ufafanuzi yakinifu Usisimulie ndoto isipo kuwa kwa mtu muaminifu Kumbuka ndoto yaweza kusababisha
#udhuriwe,
#uyajue yaliyo jificha,
#udharaulike,
#na uheshimiwe.
Utajuaje hayo????
+255 713 826 838
Admin group ya
TAFSIRI YA NDOTO YAKO
© tibazakissuna.blogspot.com
vigezo na mashart kuzingatiwa
© tibazakissuna.blogspot.com
Na ndoto huhitaji wajuzi ili kuweza kupata ufafanuzi yakinifu Usisimulie ndoto isipo kuwa kwa mtu muaminifu Kumbuka ndoto yaweza kusababisha
#udhuriwe,
#uyajue yaliyo jificha,
#udharaulike,
#na uheshimiwe.
Utajuaje hayo????
+255 713 826 838
Admin group ya
TAFSIRI YA NDOTO YAKO
© tibazakissuna.blogspot.com
vigezo na mashart kuzingatiwa


Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
JibuFutakuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )
Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
HERPES.
SARATANI.
VVU/UKIMWI na zaidi