Jumatatu, 15 Januari 2018

KUTO KUNYWA MAJI




KUTO KUNYWA MAJI

Inategemeana na umri ila kwa kawaida mtu hua na asiliamia 50 mpaka 75 ya kiwango cha maji mwili 
na kwa mtoto mdogo hupanda  75 mpaka 78 

MADHARA GAN HUMPATA ASIE KUNYWA MAJI KWA KIWANGO HUSIKA

tibazakissuna.blogspot.com

KUCHOKA SANA

maji ndo hufanya mmengenyo wa chakula kufanyika kwa wepes ila yakikosekana mmengenyo hucukua mda sana na kufanya mwili kuchoka sana na kukosa nguvu

tibazakissuna.blogspot.com

KUNENEPA

ulishawah skia njaa akat umekula mda sio mrefu ukahis ni njaa ya tumbo kumbe ni sell za mwili hazina nguvu hivyo zina toa viashiri vya kuhitaji maji ili mmengenyo ufanye kaz na sell zipate nguvu ila mtu anazidisha kula chakula na mwisho hujikuta mwil una ongezeka

PRESHA YA KUPANDA 

damu ina asilimia 92 ya maji sasa maji yanapo kosekana yanafanya damu kua nzito na kusababisha msukumo wa damu kua juu zaid na moyo kufanya kaz mara mbili na kupelekea presha ya kupanda

CHOLESTEROL KUPANDA

usipo kunywa maji ya kutosha cholesterol huongezeka kuzuia maji kidogo ndan ya mwilin kuto kupotea

MATATIZO YA MMENGENYO

tibazakissuna.blogspot.com

Unapo kua hujanywa maji na kukosekana kwa alkaline mwili na magnesium una jiweka katika hatar ya kupata maradhi ya vidonda vya tumbo na kupata kiungulia 

MARADHI YA KIBOFU AU FIGO

maradhi meng yana kua sana haswa panapo kua na mazingira ya asid unapo kosa maji ambayo yangesaidia kusafisha na kuondoa sumu una yapa nafasi maradhi kama bacteria na mengine kushambulia kibou nafigo

tibazakissuna.blogspot.com

 KUNA NJIA NYING ILA NJIA YA KUNYWA MAJI ASUBUHI NI NJIA AMBAYO INAWEZA KUONDOSHA MARADHI MENG HASWA 

KWA MWANZO ITAKUA TABU KUNYWA LITA MOJA NA NUSU AU HATA VIKOMBE VINNE VYA MAJI 

UNAWEZA ANZA KWA KUNYWA VIKOMBE VIWILI UKAPUMZIKA DAKIKA TATU KISHA UKAMALIZIA VIKOMBE VIWILI 

USINYWE POMBE USIKU WA KUMKIA SIKU UNA TAKA KUNYWA MAJI

INA TIBU MARADHI YASIO PUNGUA ISHIRINI IKIWA NI MARADHI YA MAUMIVU YA VIUNGO MATATIZO YA KUUMWA KICHWA NA KUTENGENEZA KINGA YA MWILI NA KUONDOA MARADHI NA MENGINE MENGI

 

1 maoni:

  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    JibuFuta