KUCHI
Kuchi ni nini?
Ni ndege walio katika aina kuku wafugwao nankupendwa sana nyama yake, na wengine huwafuga kuchi kama ndege wa pambo la nyumbani.
© tibazakissuna.blogspot.com
TABIA ZA KUCHI
kuchi hufugwa na kuuzwa bei ghali ambapo kifaranga huweza kufikia elfu hamsini mpaka laki moja ya Tanzania, na akifika miezi sita hiweza kuuzwa laki tatu mpaka milion moja au zaidi, lakini wanao uza kuchi ukiwauliza kwanini unauza bei kubwa atakujibu kwa sababu ni kuchi.
Pia Wazungu na waarabu hutumia kuchi kwa kupiganisha ili kucheza kamari, na kuchi ni kuku hodari sana kwa kupigana.
Pia ni aina ya ndege mchoyo asiyependa wageni, na wakianza kupigana wenyewe kwa wenyewe bandani, basi huamuliwa kwa kurushiwa karanga au mahindi ndipo waache kupigana.
© tibazakissuna.blogspot.com
FAIDA ZA KUCHI KATIKA TIBA
Kuku kuchi ni ndege mwenye upeo na uwezo mkubwa katika kuona ushirikina, hutumika kwenye makafara mbalimbali kama kuzuia mtu asitolewe msukule, kuzindika nyumba wasiingie wachawi, pia yeye mwenyewe ana uwezo mkubwa kwa kuona na kuzuia wachawi, na ndipo utakapo msikia akiwika kabla ya saa tisa alfajiri pindi inapo tokea wachawi wameingia katika maeneo au mipaka ya maisha yake, hupiga kelele ili watu waamke kwani watu wakiamka na wachawi watalazimika kuondoka. Na kama italetwa uchawi mkubwa basi utakuta kuchi anakufa bila kuugua, na ukiona Mifugo inakufa hivyo jua ndani ya himaya hiyo kumetupiwa uchawi mkubwa.
KUCHI KATIKA ZINDIKO
© tibazakissuna.blogspot.com
Kucha na mdomo wa kuchi hutumika kwa zindiko la mji, shamba au ofisi mbalimbali, kwa kuchanganya na madawa husika na visomo maalum shifaau l ajila huweza kutumika na majibu utayafurahia pindi mchawi akijipendekeza kwenye eneo lilifanyiwa zindiko kupitia kuchi
KUCHI KWA KUPANDISHA NYOTA
Kwa upande wa nyota kuchi hutumika kwa mvuto na mapenzi aina mbalimbali kuondosha nuks na mikosi kwa kuchanganya na dawa thalaathatu baidhwaaau na visomo vizito vya ayaatu l fatih .
© tibazakissuna.blogspot.com
KUCHI KWA KUTEGULIA UCHAWI
Kuchi hutumika kugua uchawi iwapo nyumba au shamba imefungwa kichawi, ima mtu kachukuliwa nyota, basi kuchi hutumika na nyota pamoja na kimvuli hurejea haraka sana, iwapo utatumia kuchi kuliko kutumia ndege aina nyingine.
Hayo ni baadhi ya yale usiyo yajua kuhusu kuchi.
Chief Nusura
+255713826838
+255784638989
+255758711111


Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
JibuFutakuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )
Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
HERPES.
SARATANI.
VVU/UKIMWI na zaidi