Pages

Ijumaa, 12 Desemba 2014

DAWA YA MWENYE KUWAHI KUMWAGA MANII WAKATI WA JIMAI

KUCHELEWESHA KUMWAGA MANII ( HERBAL FOR DELAYING EJACULATION )


kwa kweli hili jambo ni jambo ambalo ni muhimu sana kutatuliwa,
kwani kama litaachwa huwa na madhara makubwa sana ndani ya ndoa.
pia huweza kusababisha hali michepuko iwapo mke hapatiwi haki yake stahivu.
kwanini mtu ana wahi kufika mapema?

ina weza kutoka na sababu nyingi ikiwamo KAZI NGUMU ima kuinama zaidi na kuumiza mgongo au KUTANUA MAPAFU kwa kuinua vitu vizito.
na ukumbuke kuwa msafara wa manii huanzia baina ya mgongo na mbavu.

NJIA YA KUJITIBIA

chukua MAFUTA YA ZAITUNI kisha
tibazakissuna.blogspot.com
mafuta hayo ya ZAYTUNI changanya na MAFUTA YA NYONYO {mbono} au wengine huita mafuta ya mbarika.

VIPIMO

ZAYTUNI robo lita
 
MBONO  ml 25

kisha unakanda mgongo KATIKATI YA UTI wa mgongo mpaka KIUNONI.
kisha unapaka na maeneo ya UUME.

kila siku nusu saa kabla hujafanya JIMAI.
basi utakuwa ukiongeza muda wa kuchelewa mpaka utakapo fikia hatua ya kuona hapa PANATOSHA ndipo utaacha ili usije kuleta kero badala ya furaha.

tibazakissuna.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni