Jumanne, 8 Julai 2014

BAADHI YA MASWALI YA NDOA




KATIKA MAISHA JAMBO ZITO NA AMBALO LINA NAFASI KUBWA BAINA YETU NI KUA NA MWENZA WA MAISHA YAANI KUA NA MUME AU MKE AMBAE UTADUMU NAE NA ATAKUPA WATOTO NA PIA ATA KUSHAURI NAMNA YA KUJENGA MAISHA NA KUA NA FAMILIA BORA

©tibazakissuna.blogspot.com

MASWALI MENGI NINAYO ULIZWA NA WANAWAKE NI

>> MBONA KILA MWANAUME NINAE KUA NAE IKIFIKIA SWALA LA NDOA ANAPOTEA JAPO ATATOA MPAKA MAHARI

>>KWANIN NIKILALA NA MWANAUME TU HUTOKEA HALI YA MIMI KUMCHUKIA NA TUNAACHANA

>>MBONA NIKIJICHEZEA NAFIKA NA HATA KWENYE NDOTO PIA NAFIKA ILA MUME WANGU AKINITAKA NAMCHUKIA NA HATA KUNIFIKISHA HANIFIKISHI

>> KWANINI SIKU HIZI SIPAT HATA MWANAUME WA KUNIOMBA UCHUMBA

>> KWANINI CHUNUSI ZANGU HAZIISHI USONI NIMETUMIA KILA AINA YA DAWA LaKINI BADO ZIPO

KWA KAKA ZANGU 

©TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM

>> NINAPO KUA NA MUANDAA MKE WANGU UUME HUA SAWA ILA NIKITAKA KUMUINGILIA TU UUME HUNYWEA TATIZO NI NINI

>>KWANINI NIMEKUA NIKIWAOGOPA SANA WANAWAKE NA NAPENDA KUFANYA MUSTARBATION NA KUANGALIA PICHA ZA NGONO

>> SI MWANAMKE WALA SIO KAZI HAKUNA NINACHOPATA NA NIKILALA NAOTA NAANGUKA KUTOKA SEHEMU ILIO JUU NA KUANGUKA UMBALI MREFU SANA

© tibazakissuna.blogspot.com

JAPO MATATIZO HAYA YANAWEZA KUA YA KISAIKOLOGIA AU KUTOKUA NA MBINU SAHIHI ZA KUKABILIANA NA HALI HALISI YA KILE UNACHO KITAKA ILA PIA NI MUHIMU KUJUA KWAMBA KAMA UMEFANYA JITIHADA ZA KUTOSHA KATIKA HAYA NA BADO JAMBO HILO LIPO BASI JUA HUENDA UNA MATATIZO MENGINE HASWA YANAYO SABABISHWA NA JINI MWENYE KULETA NUKSI AINA YA ANKIS 

©tibazakissuna.blogspot.com 

ILI KUJUA KAMA SIO SAIKOLOGIA BAS NI MUHIMU KUCHUNGUZA NDOTO ZAKO MAANA NDO DIRA YA MAISHA YAKO YA KIROHO AMBAPO HUKUELEZEA MAGONJWA YANAYO KUSIBU AMBAYO HOSPITALI HUWEZ KUYAONA

3 maoni:

  1. Sheikh tunaomba ufafanuzi wa hivi visomo maana wengine tumezoea RUQYA n.k ila kwenye blog yako naona kuna visomo vya Khawatim n.k. Tunaomba shule maalim.

    JibuFuta
  2. visomo vipo vingi sana na vyote kafundisha mtume s.a.w kama unataka darasa ni mpaka tuonane

    JibuFuta
  3. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta