Alhamisi, 3 Julai 2014

TIBA YA MTOTO ANAYE STUKA NA KULIA SANA USIKU




MTOTO KUSTUKA NA KULIA ANAPO LALA

katika dini ya kiislam watu wamekatazwa kukujoleaya matunda yaliyo anguka kwenye mti ukiwa wima au kukojolea mitaro na mengine mengi kama tahadhari kwako 
sababu mazingira hayo hukaa majini aina ya Ankis ambayo ukiyakojolea unakua umeyachokoza na unapo yachokoza hukuvaa na kukupa athari ya KIJICHO ambacho hua ni mionzi ya sumu ya kijini  baadhi

© tibazakissuna.blogspot.com

ndipo unaona mwenye mionzi hii ( iriso,zongo,mhai,evil eye) akimwangalia MTOTO hulia au kuvimba tumbo baada ya mtu huyo kuondoka na  usiku mtoto huyo hustuka na kulia na hata kupelekea kifo

AKIANGALIA ngombe maziwa hayotoki akiangalia chakula ukila unavimba tumbo na kuumwa
mara nyingi wazazi haswa wakike wamekua wakiteseka sana kwa watoto wao pindi wanapo ona mtoto kastuka  na kuanza kulia 
tatizo hili mara nying halionekan hospital
  
© tibazakissuna.blogspot.com

SABABU NYINGINE HUA

###Nyumba kuwa inaingiliwa sana na wanga
###Mama kuwa na majini mahaba.
 NJIA YA KUONDOSHA TATIZO

KWA ALIE FANYIWA KIJICHO 
chukua MAGADI weka kwenye maji kisha muogeshee mtoto kutwa mara mbili
  kama nyumba inasumbuliwa na WANGA upate

MDAULA na MTUNDA kisha loweka katika maji muda wa SAA NZIMA halafu mwaga mwaga ndani ya nyumba nzima,
 kisha mtoto awe anapakwa MAFUTA YA NDIMU kwa miezi sita

© tibazakissuna.blogspot.com

 NJIA YA PILI YA KUONDOSHA TATIZO

 kama ni mama ana majini mahaba basi mtoto awe anapakwa MAFUTA ZAITUNI mwili mzima na ASITUMIE mafuta mengine yeyote kupaka zaidi ya mafuta ya zaytun adumu kwa MIAKA MIWILI. hapo mtoto hatodhuriwa na majini ya mama yake

pia kama mama ana majini ya kuapanda na ni majini mahaba au wale wajiitao wa kimila au uganga, wao pia ni majini mahaba japo huwa visingizio vya uongo ili waogopewe na watu wasio na imani kamili kidini.
mtoto atapakwa MAFUTA YA ZAITUNI mchanganyo na mafuta ya VITUNGUU SWAUMU.  mpaka aache kunyonya.
© tibazakissuna.blogspot.com

1 maoni:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta