Jumatatu, 7 Julai 2014

TIKITIKI MAJI




Leo tutaona faida zaid za TIKITIKI MAJI kwa mujibu wa TIBA ZA KISUNA
MTUME (s.a.w) amesema kuna aina mbili za elimu moja ya DINI nyingine ya MWILI.
Pindi unapo kula tunda unashauriwa kula TIKITIKI MAJI kwani ni tunda la peponi
MTUME (s.a.w) alikua akila TIKITIKI MAJI akichanganya na TENDE

FAIDA ZA TIKI TIKI MAJI

© tibazakissuna.blogspot.com

MTUME (saw) amesema hakutakua na moja kati ya wake zenu ambae atakula MATIKITI MAJI asijifungue MTOTO alie na AFYA njema na AKILI. Na Wanasayansi wameithibitisha kauli kua ni KWELI  (2003 study in the International Journal of Gynecology)

Husaidia kuondoa kiungulia kwa Mama wajawazito Pamoja na magonjwa yanayosababishwa na ujauzito

Lycopene hutolewa na Matikitiki  ambayo Huondoa hatari ya kutokupata mimba (pre-eclampsia) au mimba kuharibika

Husafisha KIBOFU CHA MKOJO huondoa harufu mbaya UKENI ukila kwa wingi ILA ISIPITE KIWANGO na pia kukulinda na cancer 

Lycopene hutolewa na Matikitiki husaidia kuimarisha Mbegu za Kiume

Hupunguza unene na kitambi (obesity) 




1 maoni:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta