Alhamisi, 25 Desemba 2014

DAWA YA HOMA YA MATUMBO



HOMA YA MATUMBO (TYPHOID FEVER) 

ni maradhi mabaya tena yanakosesha raha na amani popote unapokuwa kutokana na adhabu inayokuwepo tumboni mwa mwenye kuumwa.

SABABU LA TATIZO HILI

  • Utumiaji vyakula visivyo vya moto au vilivyo poa kwa lugha nyepesi, 

  • Unywaji wa maji yasiyo salama, 

  • Kula kwa mikono michafu. 

Sababu ni nyingi kwa kweli.
 © tibazakissuna.blogspot.com
lakini pia ugonjwa huu ni wenye kutibika kwa haraka iwapo utatumia njia ya kujitibu kisuna, na kufuata maelekezo kamili.

DAWA ZA KUTUMIA

1) HULBA YA UNGA [uwatu]

2) SANAMAKI YA UNGA.

tibazakissuna.blogspot.com
kisha changanya vyema halafu ukisha changanya utakuwa unachota ujazo wa kijiko kikubwa kimoja na kuweka katika uji mwepesi usio na sukari na kisha unywe asubuhi na jioni kwa siku 9. utapona kabisa in shaa Allah
tibazakissuna.blogspot.com

1 maoni:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    JibuFuta