Jumatano, 24 Desemba 2014

JINI UMMU MULDAMI ANAVYO SABABISHA UVIMBE KATIKA KIZAZI.

 

 UMMU MULDAMI (EVIL SPIRIT/DJINN)

Ukiongea kuhusu jini aina hii aitwaye UMMU MULDAMI, jua kwamba unaongelea jini M^BAYA miongoni mwa MAJINI WAKOROFI.
Jini huyu huwa anakaa katika MFUKO WA KIZAZI na kutumia aina ya uchawi uitwao AQUMI.Kisha uchawi huo hukaa katika MIRIJA YA UZAZI na kusababisha UVIMBE katika kizazi.
Jini huwa ni hatari na ni msumbufu sana.
tibazakisunna.blogspot.com
Jini ummu muldami husababisha maradhi mengi katika mwili wa binaadamu,

DALILI ZA KUKUJULISHA UNA JINI UMMU MULDAMI

1) kushikwa ngiri wakati wa joto

 2) kushikwa chango linalo zuia mkojo

 3) mwanamke kukosa hedhi miezi mitatu hadi nane mfuatano

 4) mwanaume kuwahi kushusha manii haraka

 5) mwanaume kusinyaa uume wakati wa jimai katikati ya tendo

 6) mwanamke kuwa na maziwa kama mjamzito

tibazakisunna.blogspot.com
Jini huyu pia ni mgumu kupanda ila husababisha MAUMIVU MAKALI YA KICHWA maeneo ya KICHOGONI.kisha kujikuta midomo ikitetema na kushindwa kuongea.
lakini kwa neema ya Mola kuna njia ambayo ukitumia huondoka kisha mtu akapata mtoto,lakini bila kumuondoa huwa ni ngumu sana kwa wanandoa kupata mtoto.
tiba yake inakubidi upate mtu mwenye kujua na Ucha Mungu.ili afanye kisomo kwa muhusika.
aina ya dawa kwa mgonjwa huyu ni

1) sanamaki

 2) zattari

 3) hulba

 4) sufa

 5) khardal
tibazakisunna.blogspot.com


CHANGANYA ikiwa zote ni UNGA na upate kiasi cha gm 200
na kunywa katika uji wa MTAMA au ULEZI usiwekwa na kitu chochote zaidi ya sukari hafifu. siku 30. huku akifanyiwa kisomo cha yaasin saaqitw siku saba
in shaa Allah atakuwa mwenye kupona. na pia usisahau kumpa mafuta ya kupakaa kwa siku 30 ambayo ni ZAYT SHIFAA ili kumuua nguvu JINI.
tibazakisunna.blogspot.com

1 maoni:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    JibuFuta