Alhamisi, 17 Novemba 2016

CHANGO LA MTOTO




MCHANGO WA MTOTO

kwa uzao wa kwanza katika kitu kinacho msumbua sana mama na baba wa mtoto mchanga ni kilio ambacho hudumu hata ndan ya masaa mawili au matatu ni kilio tu mchana na hata jioni
mara nyingi hali hii huwasumbua watoto walio ndan ya wiki moja mpaka tatu 

® tibazakisssuna.blogspot.com

utaona mtoto anajikunja na kutupa tupa miguu kujamba na pia kuharisha mavi ya kijani

USHAURI

® tibazakisssuna.blogspot.com

MAMA ANAE NYONYESHA ASITUMIE VYAKULA VYA AINA ZIFUATAZO KWA WINGI

>> KABICHI

>> CHOCOLATE

>> MAYAI

>> SOYA
 
>> DAIRY PRODUCT

>> MAZIWA YA NGOMBE

>> VITUNGUU MAJI

>> KUVUTA SIGARA 

>>  KAHAWA

VYAKULA VYA AINA HIZI HUPELEKEA ALEJI KWA MTOTO AU MAZIWA YA MAMA KUA NA GESI KWA MTOTO PINDI ANAPO YANYONYA HIVYO NI VYEMA KUAACHA VYAKULA VYA AINA HII KWA MUDA MPAKA PALE MTOTO MFUMO WA MMENGENYO WAKE UTAKAPO KUA TAYARI 

PENDA KUMNYONYESHA MAZIWA YAKO MWANAO YANASAIDIA KUOKOA VIFO VYA UTOTONI IKIWA NI MAUMIVU YA CHUCHU UNAYA HOFIA BASI UKIMALIZA KUNYONYESHA CHUKUA KABICHI YA TATU KUTOKA JUU YA GAMBA KATA KIWANGO SAWA NA ZIWA LAKO NA FUNIKIA ZIWA BAADA YA HAPO UTAOSHA KWA MAJI BARIDI MAUMIVU YA KUVUTWA YATAISHA

IKIWA HUTOI MAZIWA TUMIA MAJI NUSU LITA  CHANGANYA NA UWATU KIJIKO KIMOJA KISHA KUNYWA MARA MBILI KWA SIKU
 KUNYONYESHA KUNA FAIDA IKIWA NI PAMOJA NA KUKUONDOLEA SABABU ZA KUPATA KANSA YA MATITI NA UKARIBU WA MAMA NA MWANA

KAMA UNAKUMBUKA KUNA SWALA LA ZONGO AMBALO NALO LINA FANANA NA JAMBO HILI TULISHA LIONGELEA HAPA KIKUBWA NI KUA MAKINI TU KUANGALIA IKIWA MTOTO ALISIFIWA SANA NA MTU KISHA ALIPO ONDOKA TABU IKAANZA KWA MTOTO NA HAPO AWALI ALIKUA HANA SHIDA JUA NI TATIZO LA HUSDA

 ® tibazakisssuna.blogspot.com

NINI CHA KUMSAIDIA MTOTO

HAKIKISHA MWANAO ANA FUNIKA CHUCHU KILA ANAPO NYONYA ASIPITISHE HEWA WAKAT ANA VUTA MAZIWA

  CHUKUA CHUPA MFANO WA KILIMANJARO NDOGO KISHA WEKA MAJI YA MOTO YASIWE YENYE KUUNGUZA KISHA ZUNGUSHIA TAULO CHUPA HIYO ALAFU MKANDE NAYO SEHEMU ZA TUMBONI KWA UANGALIFU 

® tibazakisssuna.blogspot.com

CHUKUA MAFUTA YA ZAITUN YAWEKE KWENYE MAJI YA MOTO KAMA UNAVYOFANYA UKITAKA KUFANYA MASSAGE YAKIPATA JOTO MFANYIE MASSAGE TUMBONI KWA MFUMO WA KUZUNGUSHA KIGANJA KAMA MSALE WA SAA UFANYAVYO 

® tibazakisssuna.blogspot.com
 

1 maoni:

  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    JibuFuta