Alhamisi, 18 Desemba 2014

KWANINI MAJINI WANATESA BINAADAMU?


MAJINI KUTESA WANADAMU (SPIRIT VENGEANGE)

Sababu ya ugomvi wa Binaadamu na Jini ni ugomvi wa madaraka,
QUR 761
mwanaadamu ni kiumbe wa mwisho kuletwa hapa duniani lakini kaja na kuwa KHALIFA,
Wakati wao majini walikuwepo kabla ya Mwanadam kisha wamekuwa WATAWALIWA, hili ni jambo ambalo majini wamelijengea CHUKI kiasi kwamba mwanadamu anapoishi nje ya sheria ya uislam huwa mwepesi sana kuingiwa na kudhurika kutoka na majini.
 © tibazakissuna.blogspot.com

MAJINI HUINGIJAE KWA MWANADAMU?

majini huingia kwa mwanaadamu kupitia tundu zilizopo katika mwili wake, na wanapita katika MISHIPA YA DAMU na kukaa katika MOYO  au UBONGO wa nyuma medula oblangata.

MIFUMO GANI HUTUMIKA KUMDHURU MWANADAMU??

mifumo ambayo jini anatumia kumumuumizia mwanadamu ni mitatu, ambayo ni mifumo ya kichawi.

1) KHOFU

2) USINGIZI

3) CHAKULA.

hii milango mitatu ambayo wachawi na majini huitumia kumuumizia mwanadamu, tibazakissuna.blogspot.com
mila ngo hii muwa inamuumiza vipi mwanadamu

1) mtu muoga huwa anaingiwa haraka na majini na ni mwepesi kurogeka

 2) mtu mwenye kulala lala hovyo rahisi kurogeka pia rahisi kuingiwa na majini

 3) mtu mlafi anarogeka haraka na rahisi kuingiwa na majini.

kama utajilinda na mifumo hii ambayo imetajwa basi ni vigumu kurogeka au kuingiwa  na majini.
tibazakissuna.blogspot.com


1 maoni:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    JibuFuta