Jumanne, 22 Januari 2019

KUCHI




KUCHI

Kuchi ni nini?
Ni ndege walio katika aina kuku wafugwao nankupendwa sana nyama yake, na wengine huwafuga kuchi kama ndege wa pambo la nyumbani.

© tibazakissuna.blogspot.com

  TABIA ZA KUCHI

kuchi hufugwa na kuuzwa bei ghali ambapo kifaranga huweza kufikia elfu hamsini mpaka laki moja ya Tanzania, na akifika miezi sita hiweza kuuzwa laki tatu mpaka milion moja au zaidi, lakini wanao uza kuchi ukiwauliza kwanini unauza bei kubwa atakujibu kwa sababu ni kuchi.
Pia Wazungu na waarabu hutumia kuchi kwa kupiganisha ili kucheza kamari, na kuchi ni kuku hodari sana kwa kupigana.
Pia ni aina ya ndege mchoyo asiyependa wageni, na wakianza kupigana wenyewe kwa wenyewe bandani, basi huamuliwa kwa kurushiwa karanga au mahindi ndipo waache kupigana.


© tibazakissuna.blogspot.com

FAIDA ZA KUCHI KATIKA TIBA

Kuku kuchi ni ndege mwenye upeo na uwezo mkubwa katika kuona ushirikina, hutumika kwenye makafara mbalimbali kama kuzuia mtu asitolewe msukule, kuzindika nyumba wasiingie wachawi, pia yeye mwenyewe ana uwezo mkubwa kwa kuona na kuzuia wachawi, na ndipo utakapo msikia akiwika kabla ya saa tisa alfajiri pindi inapo tokea wachawi wameingia katika maeneo au mipaka ya maisha yake, hupiga kelele ili watu waamke kwani watu wakiamka na wachawi watalazimika kuondoka. Na kama italetwa uchawi mkubwa basi utakuta kuchi anakufa bila kuugua, na ukiona Mifugo inakufa hivyo jua ndani ya himaya hiyo kumetupiwa uchawi mkubwa. 

KUCHI KATIKA ZINDIKO


© tibazakissuna.blogspot.com

Kucha na mdomo wa kuchi hutumika kwa zindiko la mji, shamba au ofisi mbalimbali, kwa kuchanganya na madawa husika na visomo maalum shifaau l ajila huweza kutumika na majibu utayafurahia pindi mchawi akijipendekeza kwenye eneo lilifanyiwa zindiko kupitia kuchi

KUCHI KWA KUPANDISHA NYOTA

Kwa upande wa nyota kuchi hutumika kwa mvuto na mapenzi aina mbalimbali kuondosha nuks na mikosi kwa kuchanganya na dawa thalaathatu baidhwaaau na visomo vizito vya ayaatu l fatih .


© tibazakissuna.blogspot.com

  KUCHI KWA KUTEGULIA UCHAWI

Kuchi hutumika kugua uchawi iwapo nyumba au shamba imefungwa kichawi, ima mtu kachukuliwa nyota, basi kuchi hutumika na nyota pamoja na kimvuli hurejea haraka sana, iwapo utatumia kuchi kuliko kutumia ndege aina nyingine.
Hayo ni baadhi ya yale usiyo yajua kuhusu kuchi.

Chief Nusura
+255713826838
+255784638989
+255758711111

BATA BUKINI




BATA BUKINI NA FAIDA ZAKE

Bata bukini ni moja katika aina bata wafugwao kama walivyo Perkin, mallard, rouen, Swedish, cayuga, Muscovy, Indian runner, na magpie nk maana bata wapo aina nyingi sana lakini hapa nataka nimuongelee bukini kwa uchache.
Upo msemo kuwa mganga haagizi bata, au mgaga haagizi samaki hayo maneno ni ya uongo
Ila Bata bukini mara nyingi si bata anaye fugwa na masikini, kutokana na tabia za ajabu za huyu bata


MAAJABU YA BUKINI

© tibazakissuna.blogspot.com 

Bukini huwa wengi wanashindwa kumfuga kwa sababu huwa akiishi kwa masikini huwa hatagi, na ni mara chache kukuta kataga na akitaga atataga mayai manne kwa mwaka. Bukini akiona nyumba chakula shida na wewe utasahau kupata vifaranga vyake, akiwa na uhakika wa chakula hutaga mpaka mayai 12 kwa mzao mmoja na hutaga mara nne kwa mwaka mpaka mayai 48 kwa jumla ya mwaka.
Bukini hutambua kama mfugaji anahali mbaya ya uchumi au kapanda kiuchumi na yeye atakuonesha kuwa kakuelewa kwa kukuongezea mayai, lakini pia bata anaye penda utani sana kwa wenyeji wa nyumba anayo ishi.

TOFAUTI YA BATA MZINGA NA BUKINI

© tibazakissuna.blogspot.com

  kuna tofauti kubwa ya bukini na Bata mzinga, ambaye wengine humwita kuku mzinga, huyu anaona wachawi na akiwaona hufanya fujo sana na kuparua ukuta sana, lakini uonaji wake ni wa usiku tu, wakati bukini huona mpaka mchana. Pia Mzinga yeye kichwa chake hutumika uchawini kwa kutengenezea uchawi wa sihr tayla ambapo pia husbabisha maradhi ya kuanguka (kifafa) kwa atakaye fanyiwa ushikina. Audhu billahi min dhaalika
Kichwa cha bukini hutumika kutibia kifafa wakati mzinga anatumika kusababisha maradhi, japo nyama yake ni tamu na haina madhara.

FAIDA ZA BUKINI

Yai la bukini ndiyo yai lenye virutubisho vingi kuliko yai la ndege yeyote katika ndege wanao fugwa, nyama ya bukini na supu yake huongeza nguvu za tendo la ndoa yawezekana kuliko kitoweo aina yoyote kwa wingi wa virutubisho alivyo navyo, na ndiyo ndege msafi zaidi kuliko ndege wote.


© tibazakissuna.blogspot.com

MAAJABU YA BUKINI

Bata bukini huwa ana uwezo wa ajabu katika kuwatambua wachawi, kwa kuwaona na kuwakimbiza iwapo wameleta uchawi katika mazingira ya mipaka anayo ishi, pia humdonoa donoa mtu mwenye uchawi au mwenye dhamira mbaya na watu wa nyumba anayo fugiwa, supu ya bukini hutumika kutosha uchawi uitwao sihri aqumi moja katika aina za uchawi usababishwao na jini Ummu muldami, ambapo uchawi huu huwa unakaa katika viungo vya uzazi na kusababisha matatizo ya number of sperm na sperm motility kwa wanaume, kuwa na udhaifu wa mbegu na kushindwa kusababisha mimba, na kwa wananawake matatizo ya ovarian cyst, beta hormone, na female Hormones, ambapo pia hulazimika na dawa za swihat shifaa pamoja na shajarat maryam.
Bukini ni bata mwenye faida sana.
Mengine nanyamaza kuhofia watu wa kuedit mada wakati hawana wanacho kijua



© tibazakissuna.blogspot.com
 
Chief Nusura
+255713826838
+255784638089
+255758711111

Jumatatu, 15 Januari 2018

KUTO KUNYWA MAJI




KUTO KUNYWA MAJI

Inategemeana na umri ila kwa kawaida mtu hua na asiliamia 50 mpaka 75 ya kiwango cha maji mwili 
na kwa mtoto mdogo hupanda  75 mpaka 78 

MADHARA GAN HUMPATA ASIE KUNYWA MAJI KWA KIWANGO HUSIKA

tibazakissuna.blogspot.com

KUCHOKA SANA

maji ndo hufanya mmengenyo wa chakula kufanyika kwa wepes ila yakikosekana mmengenyo hucukua mda sana na kufanya mwili kuchoka sana na kukosa nguvu

tibazakissuna.blogspot.com

KUNENEPA

ulishawah skia njaa akat umekula mda sio mrefu ukahis ni njaa ya tumbo kumbe ni sell za mwili hazina nguvu hivyo zina toa viashiri vya kuhitaji maji ili mmengenyo ufanye kaz na sell zipate nguvu ila mtu anazidisha kula chakula na mwisho hujikuta mwil una ongezeka

PRESHA YA KUPANDA 

damu ina asilimia 92 ya maji sasa maji yanapo kosekana yanafanya damu kua nzito na kusababisha msukumo wa damu kua juu zaid na moyo kufanya kaz mara mbili na kupelekea presha ya kupanda

CHOLESTEROL KUPANDA

usipo kunywa maji ya kutosha cholesterol huongezeka kuzuia maji kidogo ndan ya mwilin kuto kupotea

MATATIZO YA MMENGENYO

tibazakissuna.blogspot.com

Unapo kua hujanywa maji na kukosekana kwa alkaline mwili na magnesium una jiweka katika hatar ya kupata maradhi ya vidonda vya tumbo na kupata kiungulia 

MARADHI YA KIBOFU AU FIGO

maradhi meng yana kua sana haswa panapo kua na mazingira ya asid unapo kosa maji ambayo yangesaidia kusafisha na kuondoa sumu una yapa nafasi maradhi kama bacteria na mengine kushambulia kibou nafigo

tibazakissuna.blogspot.com

 KUNA NJIA NYING ILA NJIA YA KUNYWA MAJI ASUBUHI NI NJIA AMBAYO INAWEZA KUONDOSHA MARADHI MENG HASWA 

KWA MWANZO ITAKUA TABU KUNYWA LITA MOJA NA NUSU AU HATA VIKOMBE VINNE VYA MAJI 

UNAWEZA ANZA KWA KUNYWA VIKOMBE VIWILI UKAPUMZIKA DAKIKA TATU KISHA UKAMALIZIA VIKOMBE VIWILI 

USINYWE POMBE USIKU WA KUMKIA SIKU UNA TAKA KUNYWA MAJI

INA TIBU MARADHI YASIO PUNGUA ISHIRINI IKIWA NI MARADHI YA MAUMIVU YA VIUNGO MATATIZO YA KUUMWA KICHWA NA KUTENGENEZA KINGA YA MWILI NA KUONDOA MARADHI NA MENGINE MENGI

 

Jumapili, 6 Agosti 2017

ASALI



ASALI

Na Mola wako mlezi amemfunulia Nyuki. Jitengezee majumba yako katika milima, na katika miti, na katika wanayoyajenga watu. Kisha kula katika kila matunda, na upite katika njia za Mola wako Mlezi zilizofanywa nyepesi kuzipita. Na kutoka matumbo yao kinatoka kinywaji chenye rangi mbali mbali, ndani yake kina MATIBABU KWA WANADAMU. Akika katika haya ipo ishara kwa watu wano fikiri.  Qur’an 16:68-69


UKIFIKIRIA NYUKI 60,000 HUTEMBEA ZAID YA MILE 55,000 KUTEMBELEA MAUA ZAID YA MILLION MBILI KUJA KUTENGENEZA ASALI JE KILA UA LINA TIBU NIN NA NIN

WENG TUNA SKIA KAMA SIO KUJUA ZAID KIUNDAN KUA ASALI INA MSAADA MKUBWA SANA KWA AFYA YA MWANADAMU

© tibazakissuna.blogspot.com

TUNA ASALI ZA NYUKI WAKUBWA NA ASALI ZA NYUKI WADOGO WANASEMA KUA ASALI YA NYUKI WADOGO NDIO NZUR ZAID NA ASALI AMBAYO MIMI NAJUA HAINA NGUVU NI ILE ASALI ILIO PITIA KWENYE JTO KALI MAANA HUUA VIRUTUBISHO

BASI LEO TUTAPITIA BAADHI YA MATUMIZ YA ASALI

KIFUA CHANGANYA  MAJI YA LIMAO ASALI UPATE KIJIKO KUTWA MARA TATU KWA SIKU

KUTOKUPATA USINGIZI KULA VIJIKO VIWILI VYA  ASALI


HUIMARISHA NA KUUKINGA MOYO KWA MARADHI YANAYO WEZA KUSHAMBULIA MOYO TUMIA KIJIKO KIMOJA CHA ASALI CHANGANYA KWA VIJIKO VIWILI VYA MDALASINI
 MUWASHO WA MBAA KICHWANI CHANGANYA MAJI KIDOGO NA ASALI PAKAA BAADA YA DAKIKA KADHAA MUASHO UNAKWISHA

© tibazakissuna.blogspot.com

ASTHMA CHANGANYA PILIPILI MANGA ASALI NA KARAFUU 

KWA KIDONDA KABLA YA PENINCILIN WATU WALIKUA WAKITUMIA ASALI KUKINGA KIDONDA KUTOKANA NA MAGONJWA SHAMBULIZI KWENYE KIDONDA ILA UKIUNGUA HAKIKISHA KWANZA UNAPOOZA KIDONDA KWA MAJI BARID KISHA UPAKAE ASALI

BAWASIRI CHANGANYA ASALI NA MAFUTA YA ZAITUNI PAKAA

HUTIBU UTI SUGU CHANGANYA ASALI NA UNGA WA MDALASINI TUMIA VIJIKO VIWILI MARA TATU KWA SIKU

HUSAIDIA MMENGENYO NA KIUNGULIA KULA KIJIKO KIMOJA KABLA AU BAADA YA KULA

© tibazakissuna.blogspot.com

HUTOA CHUNUSI NA HUTUMIKA KAMA SEHEMU YA KUFANYA UREMBO

KWA CHUNUSI CHUKUA LIMAO ASALI CHANGANYA PAKAA NA OSHA NUSUU SAA BAADA YA KUPAKAA KWA MAJI MOTO


KUONDOA UKAVU WA NGOZI CHANGANYA ASALI MAFUTA YA ALMOND NA MAFUTA YA ZAITUNI PAKAA

KUNUKA MDOMO CHUKUA ASALI NA MDALASINI CHANGANYA UPATE TOPE PIGIA MSWAKI


© tibazakissuna.blogspot.com

KUPUNGUZA UZITO TUMIA ASALI NA MDALASINI ANZA KUCHEMSHA MAJI WEKA MDALASIN UCHEMKIE NDSN YAKE KISHA IKIPOA WEKA ASALI KUNYWA MARA MBILI KWA SIKU ILA HAKIKISHA UNAPO KULA CHAKULA KULA USISHIBE

KUONGEZA NGUVU ZA KIUME TUMIA ASALI MDALASINI HABAT SAUDA NA TANGAWIZI 


KWA ALLERGY PENDA KUTUMIA ASALI KILA SIKU KIJIKO KIMOJA

© tibazakissuna.blogspot.com

LIMBWATA TUMIA ASALI KIJIKO KUTWA MARA TATU

HUIMARISHA AFYA NA KUMPA MWANADAMU NGUVU YA UTENDAJI WA KAZI ZAKE NA UBONGO KUA NA NISHAT YA KAZ

ASALI PIA ILITUMIKA KUPUNGUZA MAKALI YA BAADHI YA DAWA AMBAZO NI KALI UKITUMIA KAMA MWANADAMU

USIPENDE KUWAPA WATOTO WACHANGA ASALI MAANA MMENGENYO WAO BADO HAUJAKOMAA

KWA HAYA MACHACHE TUMSHUKURU MUUMBA NA KUMTUKUZA KWA MAPENZ YAKE KWETU 

Jumatatu, 31 Julai 2017

MAUMIVU YA KIUNO


MAUMIVU YA MGONGO

Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno 
hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea 

sababu ni nying kutegemeana na chanzo cha tatizo

KUNYANYUA VITU VIZITO
mara  nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya iuno kuvuta

MISULI KUUMA

 hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali

PINGILI ZA UTI WA MGONGO

 katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kaz yake sasa katika hizo pingili zipo kama donati na hua zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu

MKAO MBAYA NA MUONDOKO 

mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu

kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha kama nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali

MAGONJWA KAMA JIWE KATIKA FIGO , UTI NA ARTHRITIS 

moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni kama UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno
Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno

© tibazakissuna.blogspot.com 

PIA KUNA  MAMA KUA MJAMZITO MWANAUME KUA NA KITAMBI NA VINGINE MAANA NAKUMBUKA UKIWA KIJANA UKISKIKA UNA UMWA MGONGO UNAAMBIWA OA BHANA UONDOKANE NA TATIZO HILO

NAMNA YA KUTIBU UGONJWA HUU

NJIA YA KWANZA

TUMIA MAJI YENYE JOTO WEKA KWENYE CHUPA MFANO YA FANTA YALE MACHUPA MAKUBWA 

LALIA UKIWA MIGUU YAKO IPO JUU LALIA CHUPA HIYO KWENYE MGONGO WAKO  NDAN YA DAKIKA 15 AU CHINI HAPO 

© tibazakissuna.blogspot.com 

NJIA YA PILI 



CHANGANYA MAFUTA YA NANAA , HABAT SAUDA NA MKARATUSI   TUMIA KUJICHUA HAKIKISHA HUSUGUI MFUPA KAMA UNAVYO SHAURIWA NA WANA MASSAGE FANYA KUMASSAGE MPAKA CHINI YA KIUNO KWA SIKU MARA MBILI KWA UWEZO WA ALLAH UTATIBIKA 

© tibazakissuna.blogspot.com