Ijumaa, 25 Desemba 2015

TATIZO LA KUTO SHIKA MIMBA



TATIZO LA KUTO SHIKA MIMBA

katika vitu vina pelekea ndoa nyingi kuvunjika,ima kufanya wanawake kuishi bila furaha ya moyo, ni kukosa uzazi, kwa maana kuto shika mimba, na tatizo la uzazi lina sababu zaidi ya moja iwapo mwanamke huyo hakuwahi kutumia uzazi wa mpango.

1 OVARIAN CYST, ni tatizo ambalo kawaida hushika watu wazima kuanzia miaka 50, kwa sababu huwa ni kizuizi cha Mimba,lakini anapo kuwa mtu was chini ya umri huu basi inabidi atibiwe kwa kuwa ni ngumu kupata uzazi.

2 FIBRONEGEN Ni tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi.lakini waweza shangaa kwamba mtu anatibiwa kwa kuzibua hospital na baada ya miezi sita tatizo kurudia tena. 

ni wazi tatizo hilo lina sababu tofauti na mtazamo wa kidaktar,kwa sababu kama ilivyo ovarian cyst na fibronogen ni maradhi ambayo 85% husababishwa na majini mahaba aina ya UMMU MULDAMI ambao huwa wana uchawi uitwao AQUMI
uchawi ambao huwa unafunga hedhi kwa mwanamke au kumfanya mwanaume awe na tatizo la number of sperms au sperm motility
kuto kuzalisha mbegu za uzazi
 
pia mwanamke anaweza kutokwa na maji mazito ukeni na kuwa rangi ya NJANO au NYEUPE
kinyume na yale maji ya MULAABA wa jimai,  maji ambayo huwa na hali ya ACID na kuua mbegu za kiume na kumfanya mwanamke huyo asishike mimba
hizi Ni dalili mbaya kwani unaweza kuhaha matibabu bila mafanikio
ili kujua kama tatizo ni jini, utakuwa na tatizo la KUJAA maziwa au KUUMA IMA kuwasha kama mjamzito  pia tumboni kuwa hali ya KITU KUCHEZA kama mtoto tumboni mfano wa MJAMZITO.   kutopenda JIMAI na kushindwa kupata RAHA halisi ya tendo la ndoa.

 
tiba ya tatizo hili
kwanza ni kupata mjuzi wa kweli,
ufanyiwe visomo na kupata dawa za SWIHAT SHIFAA ili kuondoa tatizo la uzazi,na kuyeyusha uvimbe.
msaada zaid

0713826838
0784638989
الشيخ إيل

Alhamisi, 17 Desemba 2015

DALILI ZA KUA UNA UCHAWI AU MAJINI MWILINI





DALILI ZA MWENYE KUSIBIWA NA MAJINI

1 Kuota ndoto za jimai Mara kwa Mara

2 Kuota ndoto za ujauzito Mara kwa Mara

3 Kunyonyesha au kujifungua

4 Kuota unakimbia na kupaa au kuelea angani

5 Kuota una shambuliwa au kufukuzwa na wanyama wakali

6 Kuota majoka

7 Kutopenda kukaa na watu, kupenda kuwa peke yako

8 Kulala hivyo ama kukosa usingizi bila sababu za msingi

9 Maumivu makali ya kichwa yasiyo sikia dawa hospital

10 Kuwa na ganzi bila sababu za msingi

11 Kuota kufa kufa au kuzikwa

12 Kuota watu walio kufa zamani

13 Kuwa na Maumivu ya kuhama hama

14 Kuota watu wa ajabu, warefu sana IMA wafupi sana

15 Kuchukia manukato ima kutopenda usafi

16 Kuumwa macho,meno, sikio bila sababu za msingi

17 kupatwa michubuko au Maumivu makali ufanyapo jimai

18 Kuchukia jimai

19 kukasirika hovyo hovyo

20 kukosa amani unapo kaa,kuhisi watu nyuma hali hawapo

21 kutokewa na watu njiani na kukupote

22 kuwa na mwili wa kustuka stuka ima kusisimka 

23 kukosa hedhi au kupata bila mpangilii

24 Kuchezwa vitu tumboni kama mjamzito

25 Kuwa unavimba,kuwasha,kuumwa maziwa kama mjamzito

26 Kuwa na mwili unawaka moto ima barafu mwilini

27 Kusikia kama upepo unavuma masikioni

 
tibazakissuna.blogspot.com

         0655 826 838
 
DALILI ZA MWENYE KUROGWA AU NYUMBA INAYO WANGIWA

1 Kusikia kama miguu ya watu wanatembea nje

2 kuwa na tabia ya milango kugongwa na hakuna mtu anagonga

3 Kusikia sauti za watu wanaogea nje na hakuna mtu

4 kuwa na vitimbi ndani ya nyumba

5 kuwa na vitu vinatembea mwilini

6 kutetemeka mwili upande mmoja kama kiharusi

7 Kusikia kama mchanga umemwagwa juu ya bati

8 Kusikia kama kishindo juu ya bati

9 Kusikia milio ya wanyama wakilia kiajabu ajabu

10 kuwa na ugonjwa usio onekana hospital

11 kuwa na ugonjwa wenye kujirudia rudia muda mfupi mfupi

12 kuwa na Mtoto analia sana usiku kuanzia sàa sita

13 Kuota kula kula 

14 kuwa na hali ya kutembelewa na vitu mfano wa nyenyere

15 kuvimba mwili kama mpungufu wa damu

16 kupauka mwili kama mgonjwa wa bandana

17 kuvuka ngozi 

18 kuchanjwa chanjwa usingizini

19 kukatwa sehemu ya kiungo usingizini mfano nywele nk

20 kuwa na upotelewaji wa nguo za ndani kwa mazingira ya utata

21 Kuota Mara kwa Mara ukifanya kazi ngumu

22 kuota unasafiri safiri Mara kwa Mara

23 Kuota unapika shughulini

24 kuchukiwa na watu bila sababu


© tibazakissuna.blogspot.com

 0758 711 111
 
Ukiona una moja wapo ya hizo si vibaya kuwasiliana 

+255 772 156 789
Ili upate msaada
الشيخ إيل

Jumamosi, 12 Desemba 2015

ISTIHAADHA



ISTIHAADHA NI NINI

Istihadha ni damu ya HEDHI isiyo katika 

Tatizo la istihaadha ni miongoni mwa maradhi yenye kutesa sana na watu baadhi yao wamekuwa wakiteseka na kusababisha talaka ima utelekezwaji wanawake kutokana na mwanaume kukosa imani. 


SABABU YA ISTIHAADHA

 Sababu zipo Aina nyingi Lakini zenye nguvu ni 

1* KUTUMIA UZAZI WA MPANGO
 
2**MAJINI


3*** UCHAWI WA KUROGWA

© tibazakissuna.blogspot.com 

4*** DAWA >> kukukataa basi rudi kwa aliye kushauri kutumia na asipo kuponya lazima ufumie gharama kwa dawa ya SWIHAT SHIFAA 

5*** MAJINI  >> Inapo kuwa majini mahaba kuna tofauti ya aina ya jini Kuna JINI MAHABA ambaye yeye anamtoa DAMU mwanamke ambaye alikaa mbali na MUMEWE na siku wanakutana tu mwanamke anatoka damu ya muda mrefu Pia kuna jini hataki mwanamke AOLEWE ina kuwa akipanga tu mwanaume basi anaingia katika hedhi mpaka waahirishe mipango 

6*** KUROGWA  Huu ni miongoni mwa uchawi ambao ni hatari sana 

© tibazakissuna.blogspot.com 

Ukiongea uchawi huu utahurumia na kuwa na huzuni kwa sababu wale wenye imani haba na kutojua uislam husababisha wanawake wengi wakatae matala Audhu billahi min dhaalika
 Uchawi huu unao sababisha istihaadha huwa wanarogwa wanawake na ima mwanaume aliye mkataa kwa kuchukua moja kati ya nguo zake za ndani au kitambaa alicho jisitiria hedhi. Pia hushauriwa sana WANAWAKE KUTOTUPA PEDI ZAO HOVYO kwa kuhofia maradhi haya 

Na kuna wale wanao rogwa na wake wenza ambapo hutokwa DAMU NYEUSI  mithili ya SUMU Na ina weza kutoka kila siku japo mgonjwa haoneshi dalili ya kuishiwa damu Na kuna inayo toka pindi mwanaume anapofika zamu yake. Wanawake wabaya lakini wote Na ndiyo sababu wanawake wengi walio sikia haya hawapendi ukewenza 

Uchawi huu ni MGUMU sana kwani lazima upate dawa za kuua sihr Visomo vikali vya ruqyat na dawa za kunywa ikiwamo kuandika au kusomea maji suurat NNABAI 49 Hapo ndipo aponywe mgonjwa huyu Na huitajika ujuzi sana kwa sababu Istihaadha ipo aina tatu na kila moja ina njia zake Pia swihat shifaa na zayt shifaaa Inatakiwa itumike siku 11 za kisomo.
 © tibazakissuna.blogspot.com

Jumapili, 1 Novemba 2015

MAPAFU KUJAA MAJI





MAPAFU KUJAA MAJI

MAPAFU ndio kiungo kinachotegemewa sana katika mwili kama utafanya mazingatio maana UBONGO ukikosa oxygen ndani ya dakika 5 kwenda juu  seli za ubongo hupata athari na hufaa,

Mapafu yana husika katika uchukuaji wa oxygen inayo toka puani au mdomoni na kuipeleka katika sehemu husika mwisho hufika katika vifuko vidogo sana (( alveoli )) vipo million 300 na zaidi ambapo oxygen hutoka kwenye kuta hizo na kuingia katika damu na kushambazwa sehemu zote za mwili kupitia moyo 




SABABU ZA KUJAA MAJI

sababu hua ni maji kuwepo kwenye mapafu ambapo humpelekea mgonjwa kupata tabu sana kupumua na hua sababu kubwa ni Moyo kushindwa kusukuma damu kwenye sehemu za mwili

Moyo kushindwa kufanya kazi kama inavyo takiwa kutokana na mishipa kuathirika na kupitisha maji (congestive cardiac failure)

kufaili au kuto kufanya kazi vyema kwa ini

kuathirika kwa mapafu kutokana na magonjwa au kuumizwa

kufaili au kuto kufanya kazi vyema kwa figo

TIBA YAKE


chukua MBEGU ZA PAPAI uzikaushe kwa moto kama una kaanga kisha zisage. 

Baada ya kusaga upate unga kiasi cha gr 125 changanya na ASALI nusu lita.

 MATUNIZI YA DAWA

 tibazakissuna.blogspot.com 

 chukua kijiko kikubwa cha chakula kisha kunywa vijiko viwili asubuhi na vijiko viwili usiku kwa siku 29 utapona in shaa Allah

Ijumaa, 9 Oktoba 2015

VIKANGA AU SUNZUA ((GENITAL WARTS ))


SUNZUA ni ugonjwa wa ngozi unao sababishwa na virusi vya aina ya HUMAN PAPILOMA {{ HPV }} ambapo huota kama vipele au vinyama ambapo mara nying unapo kitumbua ndo huongeza vingine

© tibazakissuna.blogspot.com

SUNZUA mara nyingi huota kwenye sehemu za siri haswa sehemu za siri za mbele na pembene mwa uume au uke na hata nyuma ndo sababu ya watu weng kutopenda kusema kwa kua huona aibu

ni ugonjwa unao weza tokea sehemu nyingine za mwili kama vile mikononi usoni  na  mdomo haswa pembezoni mwa mdomo kwa wale wenye kunyonya sehemu za siri, 

huu ugonjwa husambwazwa kwa kupitia kufanya jimai haswa panapo kua na michubuko ndo maana wanawake wengi hupata ugonjwa huu kutokana na maumbile yao kua malaini

 © tibazakissuna.blogspot.com

MADHARA YA UGONJWA HUU


HPV sio kwamba ni kirusi cha aina moja hapana wako wa aina mia moja 30 kati yao husababisha maradhi ya ngozi kwenye sehemu za siri na vipele KUONEKANA hao ni type 6 na type 11 

70 ya wanao bakia hua ni wale wanao athiri sehemu zingine za mwili kama mkononi usoni na miguuni

ILA HPV ISIYO ONEKANA KWENYE VIUNGO VYA SIRI YAANA VINAVYO OTA NDANI MARA NYINGI HUPELEKEA KANSA YA SHINGO YA KIZAZI NA ATAKAE NYONYA KIUNGO HICHO HUPELEKEA KUPATA KANSA YA KOO

© tibazakissuna.blogspot.com

MATIBABU YAKE



Jumatano, 26 Agosti 2015

UGONJWA WA HIJABU


#HIJABU ( KISEYESEYE )

Vitamini C ni vitamini inayopatikana hasa  katika matunda na majani mabichi.

 Kikemia ni
aina ya ❄#asidi askobini na binadamu ni kati ya spishi chache ambazo haziwezi kutengenezaasidi hii mwilini.

Kwa hiyo watu hutegemea chakula chenye kiwango cha vitamini hii kutoka katika vyakula.

® tibazakissuna.blogspot.com

Vitamini C ina kazi muhimu katika mchakato  wa kuponya vidonda mwilini.

Uhaba wake kwa muda mrefu unasababisha ugonjwa wa kiseyeseye (au hijabu).

® tibazakissuna.blogspot.com

#HIJABU HUSABABISHA

kwenye ufizi wa meno kuwa na vidonda

¤ kuchoka sana na kuwa na mabadiliko ya hali kama kua na hasira za haraka

#kwa ngoz na sehemu za viungo  kuuma

® tibazakissuna.blogspot.com

#vidonda vingine mwilini kutopona

TIBA YAKE

Tumia vyanzo bora vya Vitamin C haswa  au vyakula vyenye uchachu

#limao

#Machungwa

#2. Tumia vyakula vyenye Asili ya kijani
Ubora wake unapatikana ikiwa hujapika zaidi ya dakika 10

#Usifunike utapoteza ule ukijan wake

 #Usikatekate mboga kisha ukaosha,  vyema uoshe  alafu ukate mboga kwan kukata kisha ukaweka kwenye maji utaacha madini yote kwenye maji

® tibazakissuna.blogspot.com

Ijumaa, 21 Agosti 2015

KUANGUKA SHULENI





KUANGUKA KWA WANAFUNZI SHULENI

tunapo ongelea sababu za maradhi ya kuanguka mashuleni basi tunaweza kuongelea janga la Kitaifa.

 na ndiyo maana pindi linapotokea janga hili huhitajika sana viongozi wa dini ili kuleta msaada. lakini kama ilivyo kawaida huwa kila kitu kina fani na mwenye fani. tatizo hili la kuanguka huambatana pia tatizo mwenza ambalo ni tatizo la kucheke cheka kwa watoto wa kike. Tanzania tatizo hili limewahi tokea Tabora girls na Mbeya Girls. lakini nini chanzo?
 chanzo cha tatizo hili ni 

1) KUJENGWA SHULE KATIKA UWANJA WA WACHAWI
 

2) KUJENGA KATIKA NGOME YA MAJINI

3).KUJENGA KATIKA MSAFARA WA MAJINI

© tibazakissuna.blogspot.com

sasa utajuaje sehemu iliyo au inayokaliwa na vikao na wachawi??
Wachawi huwa vikao vyao hukaa katika miti aina ya
 

1} MKUNGU

2} MKOROSHO

na ikiwa mji hauna miti hiii basi huangaliwa mti mkubwa ambao umefikia miaka 12 na zaidi mpaka 30
kisha hukalia vikao vyao mfano wa muembe nk.

hivyo ujenzi wa shule ukifanywa basi watoto watakuwa wanakutana na vitu vya ajabu na maradhi ya kushangaza yenye kushtukiza. na kama itakatwa kabla ya ujenzi basi watoto au walimu watakaa kwa shida na akili kuwa kama watu ambao si timamu iwapo hapakufanywa dua ya KUSWARIFU AMMAAR.

 
© tibazakissuna.blogspot.com 

Majini wana maeneo yao ambayo wanaishi kama vile baharini au mito na milimani au visimani na jangwani au chooni nk.
lakini elewa kuwa miongoni mwa maeneo wanayoishi ni katika miti kama 


Mibuyu 

Misufi 


Mikuyu


Mikenge


nk
na miti hii hupendwa sana mashuleni. sasa basi iwapo shule imejengwa hali miti ilikatwa jua kwamba wanafunzi wengi watapatwa tatizo la ugonjwa wa macho au vichwa na kupelekea kuvaa miwani ya macho.
na kama haiku katwa basi watakuwa na tatizo la kuanguka.

pia kuna kujenga katika njia ya majini.

ambapo huwa ni majengo yanayo kuwa maeneo ya jangwani huwa na mfumo wa upepo usio vuma na hewa nyepesi kama upepo wa bahari. maeneo hayo yakijengwa pia hupelekea watoto na walimu kuanguka au kucheka cheka hovyo.


 pia husababisha kupatwa na majini mahaba aina ya Bedui Biduan
ambapo madhara hupelekea watu kuwa na pepo la ngono
mtu anawaza ngono bila kuwaza lolote na ndiyo sababi zipo shule zina sifika kwa ukahaba hali yakuwa watoto walipelekwa wakiwa ni wenye maarifa na maadili

  
 © tibazakissuna.blogspot.com
 

NINI KIFANYIKE

kabla ya kujenga jengo basi ilitakiwa pasomwe suurat yaasin 21
kisha upatikane 


A} msaka uchawi


A} mdaula


A} mkunazi


yote iwe majani na kisha ilowekwe katika maji na kumwaga eneo la shule tarajiwa.
na kama imekwisha jengwa tayari
hapo panatakiwa ufundi wa kutosha. kwa sababu inatakiwa kwanza ipatikane zaytshifaa
kisha iwekwe katika maji yamwagwe katika madarasa yote na watoto na walimu wakae uwanjani wafanyiwe visomo vya harbu l qatl au Sayf l qatw ii. ambavyo huwa ni visomo vigomo sana kwa sababu hubadilika kutokana na visomo vinavyo kwenda na aina ya majini watakao panda kwa wagonjwa husika.


DAWA ZA KULA


B} msigi

B} mfuleta


B} mvuma nyuki


B} mfa usiku


B} mrehani


B} kamun as wad

kisha 


apakae zayt shifaa
siku 90
in shaa Allah watapona.
tibazakissuna.blogspot.com