Ijumaa, 23 Januari 2015

JEE JINI ANAWEZA KUMPA HELA MWANAADAMU?????


Suala hili limekuwa likisemwa sana na baadhi ya watu,
haswa wale walio wavivu wa kufanya kazi na kupenda maisha ya starehe bila kutumia nguvu na akili zao.
utamsikia anasema kwamba,bora nioe jini nipate hela.
loh wewe hujui usemalo,
sababu ya kukwambia hivyo hujajua kuwa majini wana tawala na maisha yao kivyao kama ilivyo kwa binaadamu,

WAO WANA

 © tibazakissuna.blogspot.com

JESHI,

ASKARI,

MADAKTARI,

MAWAZIRI,

WABUNGE na MADIWANI wao,

kuna WASELA na WAVUTA BANGI.

hivyo wao wana serikali yao na HELA ZAO.
HELA YA JINI haitumiwi na mwanadamu,
kama vile pesa ya Misri haitumiki Malawi, 
wala ya Tanzania haitumiki Marekani.
na majini pesa yao haitumiki kwa wanadamu sababu serikali yao na wanadamu ni tofauti kabisa.

WALE WANAO SEMA WANAPEWA PESA NA MAJINI WANAPATA WAPI ?

pesa ile huwa majini WANAIBA katika MADUKA na BIASHARA  za watu kisha unahongwa,
MAJINI wenye kufanya haya ni wale majini mahaba aina ya GHUULI, wale wenye CHUMA ULETE.
kwani majini hawa hatari ni wezi sana na ndiyo wenye mambo ya kuiba watu na kuwafanya misukule. 
jambo hili halifai kabisa katika uislam 6:128-130 QUR AAN
kama ulikuwa unahongwa basi rudisha pesa ya watu, 
jini hana pesa ya kukupa zaidi ya pesa ya wizi
© tibazakissuna.blogspot.com

UGONJWA WA LIVER FAT {mafuta katika ini}



INI ni moja kati ya viungo ambavyo vinafanya kazi kubwa sana katika mwili wa mwanadamu,
kwa kuzingatia kwamba kiungo hiki hufanya kazi ya ushiriakiano baina yake na moyo, 
moyo na bandama vikishirikiana na figo.

KAZI YA INI KWENYE MWILI
  • HUTOA BILE AMBAZO HUSAIDIA KUFANYA MMENGENYO WA CHAKULA NA PIA KUKIBADILISHA CHAKULA MFUMO WAKE ILI KUUPA MWILI MFUMO UNAO TAKIWA
  • HUPUNGUZA KIWANGO CHA PROTEIN, MAFUTA NA SUKARI KATIKA NJIA ZA DAMU
  • HUVUNJA VUNJA DAWA PAMOJA NA ALCOHOL
  • HUZALISHA CHEMIKALI ZA CLOTTING AMBAZO HUSAIDIA KUGANDISHA DAMU PINDI UNAPOKUA UMEPASUKA AU KUPATA JERAHA
  • HUIIFAZI NUTRIENTS KAMA VITAMINI A MADINI YA CHUMA NA AINA NYINGINE
wakati moyo husafisha damu. hivyo ini linapozingirwa mafuta husababisha blood fat, wakati damu inaweza kukuletea cholesterol. na cholesterol huweza kusababisha hypertension 
INI likiwa na tatizo huweza kukusababishia maradhi ya ganzi mwilini ikiwa ni pamoja na kusinyaa mishipa ya damu.

TIBA YA INI

© tibazakissuna.blogspot.com
CHUKUA BINZALI YA UNGA ROBO KILO
kisha KOROGA KWENYE MAJI YA MOTO kikombe kimoja na kunywa asubuhi kabla ya kula.
Dumu hivyo kwa siku 45
in shaa Allah jambo hilo litakuwa limekwisha
© tibazakissuna.blogspot.com

Alhamisi, 22 Januari 2015

TIBA YA MTU MWENYE KUTEMBEWA NA VITU MWILINI



Maradhi haya ya kuwa unakaa na kuhisi vitu vinatembea mwilini kisha ukahisi wadudu mfano wa nyenyere, huwa ni miongoni aina ya uchawi na katika uchawi wenye kusumbua sana.
watu wanadhurika na uchawi huu ambapo mwisho wake kukufanya uwe mwenye kukosa kumbukumbu pamoja na mwili kufa ganzi.
kutibu kwake

TIBA YAKE

© tibazakissuna.blogspot.com
TAFUTA 

  • MAFUTA YA  NYANGUMI
  • MAFUTA YA FIGIRI
kisha changanya pamoja,
halafu uwe unapakaa kwa SIKU 11 ASUBUHI NA JIONI
kisomo cha kusomewa ni YAASIN SAAQITW

DAWA YA KULA

MJAAFAR

KAMUN ASWAD

siku 11
© tibazakissuna.blogspot.com

Jumapili, 11 Januari 2015

TIBA YA FIGO (KIDNEY TREATMENT)

TIBA YA FIGO (KIDNEY TREATMENT) 

Figo ni miongoni viungo katika mwili wa binaadamu ambavyo vina thamani kubwa sana,na ni katika viungo ambavyo vinaendesha mwili wa binaadamu,kama ilivyo MOYO,INI,na BANDAMA. 

Kiungo hiki figo iwapo itatetereka kwa namna moja au nyingine, basi mwanadamu italazimika aishi kwa mashaka kama si kumkosa.

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO

1) KUVIMBA MIGUU

2) MKOJO KUA NJANO

3)MWILI KUA MCHOVU

4) KUTAPIKA

5) KUPATA PUMZI KWA TABU IKIWA MAJI YATA JAA KWENYE MAPAFU

6) MAUMIUVU YA KIFUA (kama maji yatakua yapo  pembezoni mwa moyo)

7) MUWASHO USIO KWISHA

8) KUTOKUPATA USINGIZI


lakini pia figo huweza kutibiwa kwa taratibu kupia ulaji wa matango na vitu vywenye asili maji mfano wa peasi
ila kwa kuwa Mtume Muhammad (saw) ametufundisha na sisi tuelemishe
© tibazakissuna.blogspot.com

TIBA YA FIGO

© tibazakissuna.blogspot.com

ZAMDA YA UNGA

KUSTI YA UNGA

CHOTA KIJIKO KIKUBWA na kuweka katika UJI kikombe kimoja,
UJI ambao hauna SUKARI wa CHUMVI

lakini kabla ya kuanza tiba hii inakubi utanguliwe na unywaji dawa wa siku moja ambayo ni SANAMAKI.
 chota ujazo wa NGUMI yako kisha chemsa kwa maji NUSU LITA 
halafu unywe mara mbili kwa siku moja.
 baada ya hapo ingia katika tiba ILE YA MWANZO ukitumia kwa siku 7 hadi 21.
© tibazakissuna.blogspot.com

Jumatano, 7 Januari 2015

DAWA KIFUA NA MAFUA SUGU( SEVERE COUGH AND FLU )



Kuhusu ugonjwa wa kifua na mafua sugu, ni katika aina ya maradhi ambayo hufanya watu wapungue uchumi na utendaji katika kutafuta kipato cha halali
kwani ni maradhi yenye kuathiri sana
lakini kwa huruma ya Allah kumleta Mtume Muhammad (saw) imekuwa sababu ya sisi kunusurika na mengi na ndiyo mana akatupatia elimu yenye thamani ambayo ni elimu hii ya tiba

TIBA YA MARADHI HAYA

tibazakissuna.blogspot.com
 chukua  

1)  ASALI ROBO

 2)  SIKI YA NDIMU ml 50

 3)  HALMITI kijiko kimoja kisha isage

halafu changanya,baada ya kuchanganya vema.
Utakuwa unakula kijiko kikubwa kutwa mara tatu. 
kama ni mtoto atakula kijiko kidogo kutwa mara tatu
muda wa siku 11 unatosha sana kuondosha ugonjwa huu wa mafua sugu na kifua sugu
tibazakissuna.blogspot.com

Jumanne, 6 Januari 2015

TIBA YA BAWASILI {MGORO}





BAWASILI / MGORO { hemorrhoid }

Huu ugonjwa huwa watu huuita kwa majina tofauti, kama  BAWASIRI, MGORO au TUMBO LA MGONGO

Ni mshipa kuvimba katika TUNDU LA HAJA KUBWA huweza kutokea ndani ya tundu au nje ya tundu la haja kubwa au zote kwa pamoja.

pindi mishipa inapo vimba hua inajitengeneza kama vijipu au tumbo kwenye kuta za tundu au mdomon mwa tupu ya nyumahivyo hupelekea maumivu makali na hata utokwaji wa damu pindi mtu anapo fikia hali ya kwenda haja kubwa.

Ugonjwa huu  hupelekea kupata ugumba au kupoteza maisha kama hautawah kupata tiba na bahat mbaya hospitali hazitibu zaidi ni operation na mzizi wa tatizo hauja ondolewa

© tibazakissuna.blogspot.com

SABABU ZA TATIZO HILI 

© tibazakissuna.blogspot.com

>>   Kupata mgandamizo / kujikamua sana wakati wa haja kubwa

 >>  kua na uzito wa mwili ulio kithiri

 >> kuwashwa sehemu za tupu za nyuma

 >> wanawake wajawazito katika mienzi sita ya ujauzito wanaweza kupata ugonjwa huu kwakua kuna ongezeko la uzito na msukumo wa mishipa haswa sehemu za kiunoni

 >> kukaa muda mrefu chooni huku ukiwa unajikamua kutoa haja kubwa au ndogo

© tibazakissuna.blogspot.com

 
 TIBA YAKE

1) HABAT SAUDA YA UNGA  kiasi cha kikombe cha KAHAWA kisha weka katika MAZIWA YA MOTO kikombe kimoja au chemsha kwa maji kikombe kimoja, lakini maziwa ni bora sana kuyapata, halafu kunywa mara mbili kwa siku

2) WAKATI UNAENDELEA NA DOZI HII UTACHUKUA

  • MAFUTA YA HABAT SAUDA 


  • MAFUTA YA NYONYO 
tibazakissuna.blogspot.com
  • MAFUTA YA ZAITUNI  
© tibazakissuna.blogspot.com
 
ujazo sawa kila moja iwe ml 100
kisha utakuwa unapaka nyuma huku ukirudisha lile nyama
utatumia kwa siku 13 hata kama nyama litakuwa limesha rudi lakini utaendelea kupaka mafuta hayo.tibazakissuna.blogspot.com
Allah ndiye mponyaji
 © tibazakissuna.blogspot.com


Ijumaa, 2 Januari 2015

TIBA YA KUKUZA NYWELE



Unajua kwamba nywele ni moja kitu chenye thamani kubwa sana katika maisha?

watu hutumia pesa nyingi sana kwa ajili ya kutengeneza  nywele, kiasi kwamba wale wenye nywele vipilipili huwa katika  wakati mgumu mpaka huamua kusuka nywele za kuunga ambapo ni KINYUME  na UISLAM
lakini sababu ya yote ni nini?

Lengo anataka na yeye aonekane ni mwenye nywele ndefu.
Pia isitoshe nywele ni katika urembo wenye kuvutia sana kwa mwanamke pindi akijua kuzilinda. sasa ni vipi utakuza nywele na kuzilinda ili zisikatike?
tibazakissuna.blogspot.com   hapa unapata njia bora isiyo kupatia dhambi kwa mola wako.

1) ILI NYWELE ZIKUE

chukua vifuavyo:
chukua HULBA {uwatu} kisha chota vijiko 5 vikubwa halafu CHEMSHA kwa maji lita 2,
yakisha chemka vema, oshea nywele na baada ya kuosha  chukua kitambaa UZIFUNGE vyema kichwani kwa muda wa nusu saa, 
baada ya nusu saa fungua na uoshe kwa maji ya KAWAIDA.  
fanya kwa siku 11 basi utakuwa na nywele ndefu zenye kuvutia.

2) ILI ZISIKATIKE

Chukua HINA na SANAMAKI
, kisha chemsha pamoja halafu oshea nywele kama unavyo oshea shampoo, 
basi utaondoa mba na nywele kuto katika katika.
tibazakissuna.blogspot.com

DUA NI BAKORA YA MASHETWANI

ANGALIA JINSI MASHETWAN WANAVYO ANGAMIZWA NA QURAN BILA HATA YA KUSOGELEWA WALA KUGUSWA

BILA KUSAHAU MAFUTA YA ZAYTU SHIFAA AMBAYO NI MCHANGANYIKO WA MITI ALIYO TUELEKEZA MTUME IWE BAKORA KWAO


Alhamisi, 1 Januari 2015

TIBA YA KIHARUSI (STROKE DISEASE)

KIHARUSI (STROKE DISEASE)

ubongo wa mwanadamu huitaji kiwango kizur cha DAMU kuweza kufika kwenye ubongo kwa sabab damu hubeba virutubisho na oxygen inayo tumika kwenye ubongo na ubongo ukikosa oxygen ndan ya dakika 5 cell zake huanza kufa na mwisho mtu kufariki dunia

© tibazakissuna.blogspot.com 

Kiharusi ni maradhi yanayo tokea haswa baada ya mishipa ya damu kushindwa kufikisha damu inayo hitajika katika ubongo 

kuna sabab nying zinazo pelekea damu kushindwa kufika ipasavyo kwenye ubongo nazo ni kupasuka kwa mishipa au mishipa kuziba kutokana na mafuta kuzid kwenye mishipa ya damu

© tibazakissuna.blogspot.com 

piakuna  KIHARUSI ambayo husababishwa na majini aina ya UMMU SUBIANI
Ambayo hii hutoka na mtu KUANGUKA CHOONI japo pia kuanguka bafuni husababishwa na mtu kuwah kuosha kichwa na maji barid inaya sababisha mishipa kusinyaa ghafla na kupelekea kupasuka kwa sabab ya ujazo wa damu inayo pita kwenye mishipa.

DALILI ZA KIHARUSI

© tibazakissuna.blogspot.com 

unaweza mgundua mtu kama ana kiharusi kwa kuangalia dalili zifuatazo

FACE mwangalie usoni kisha muombe atabasamu je UPANDE MMOJA WA USO KAMA UMEANGUKA

ARMS mwambie anyanyue mikono miwili juu je  MKONO MMOJA UMELEGEA AU KASHINDWA KUUNYANYUA

© tibazakissuna.blogspot.com 

SPEECH muuombe arudie sentence utayo sema je ANA MUMUNYA MANENO 
ikiwa ndio bas

TIME usipoteze mda muwahishe hospital haraka iwezekanavyo

kama hospital washindwa kujua tatizo ni nin basi fanya ifuatavyo

© tibazakissuna.blogspot.com 

TIBA

KWANZA pata  kisomo cha harbu l qatwui na sayfu l qatw I

CHANGANYA MAFUTA YA NDIMU NA MAFUTA YA NYANGUMI

CHANGANYA APAKAE KUANZIA KICHWANI KISHA IFATE MWILI MZIMA

kisha dawa ya kunywa ni
  • KAMUN AS WAD
  • HABAT SAUDA za UNGA, 
© tibazakissuna.blogspot.com 

unachanganya kisha unachemsha KIJIKO KIKUBWA halafu unaweka maji Vikombe vikubwa VITATU yachemke mpaka yabaki vikombe 2 kisha unakunywa asubuhi na usiku siku hizo hizo.
tibazakisunna.blogspot.com