Jumanne, 22 Januari 2019

KUCHI




KUCHI

Kuchi ni nini?
Ni ndege walio katika aina kuku wafugwao nankupendwa sana nyama yake, na wengine huwafuga kuchi kama ndege wa pambo la nyumbani.

© tibazakissuna.blogspot.com

  TABIA ZA KUCHI

kuchi hufugwa na kuuzwa bei ghali ambapo kifaranga huweza kufikia elfu hamsini mpaka laki moja ya Tanzania, na akifika miezi sita hiweza kuuzwa laki tatu mpaka milion moja au zaidi, lakini wanao uza kuchi ukiwauliza kwanini unauza bei kubwa atakujibu kwa sababu ni kuchi.
Pia Wazungu na waarabu hutumia kuchi kwa kupiganisha ili kucheza kamari, na kuchi ni kuku hodari sana kwa kupigana.
Pia ni aina ya ndege mchoyo asiyependa wageni, na wakianza kupigana wenyewe kwa wenyewe bandani, basi huamuliwa kwa kurushiwa karanga au mahindi ndipo waache kupigana.


© tibazakissuna.blogspot.com

FAIDA ZA KUCHI KATIKA TIBA

Kuku kuchi ni ndege mwenye upeo na uwezo mkubwa katika kuona ushirikina, hutumika kwenye makafara mbalimbali kama kuzuia mtu asitolewe msukule, kuzindika nyumba wasiingie wachawi, pia yeye mwenyewe ana uwezo mkubwa kwa kuona na kuzuia wachawi, na ndipo utakapo msikia akiwika kabla ya saa tisa alfajiri pindi inapo tokea wachawi wameingia katika maeneo au mipaka ya maisha yake, hupiga kelele ili watu waamke kwani watu wakiamka na wachawi watalazimika kuondoka. Na kama italetwa uchawi mkubwa basi utakuta kuchi anakufa bila kuugua, na ukiona Mifugo inakufa hivyo jua ndani ya himaya hiyo kumetupiwa uchawi mkubwa. 

KUCHI KATIKA ZINDIKO


© tibazakissuna.blogspot.com

Kucha na mdomo wa kuchi hutumika kwa zindiko la mji, shamba au ofisi mbalimbali, kwa kuchanganya na madawa husika na visomo maalum shifaau l ajila huweza kutumika na majibu utayafurahia pindi mchawi akijipendekeza kwenye eneo lilifanyiwa zindiko kupitia kuchi

KUCHI KWA KUPANDISHA NYOTA

Kwa upande wa nyota kuchi hutumika kwa mvuto na mapenzi aina mbalimbali kuondosha nuks na mikosi kwa kuchanganya na dawa thalaathatu baidhwaaau na visomo vizito vya ayaatu l fatih .


© tibazakissuna.blogspot.com

  KUCHI KWA KUTEGULIA UCHAWI

Kuchi hutumika kugua uchawi iwapo nyumba au shamba imefungwa kichawi, ima mtu kachukuliwa nyota, basi kuchi hutumika na nyota pamoja na kimvuli hurejea haraka sana, iwapo utatumia kuchi kuliko kutumia ndege aina nyingine.
Hayo ni baadhi ya yale usiyo yajua kuhusu kuchi.

Chief Nusura
+255713826838
+255784638989
+255758711111

BATA BUKINI




BATA BUKINI NA FAIDA ZAKE

Bata bukini ni moja katika aina bata wafugwao kama walivyo Perkin, mallard, rouen, Swedish, cayuga, Muscovy, Indian runner, na magpie nk maana bata wapo aina nyingi sana lakini hapa nataka nimuongelee bukini kwa uchache.
Upo msemo kuwa mganga haagizi bata, au mgaga haagizi samaki hayo maneno ni ya uongo
Ila Bata bukini mara nyingi si bata anaye fugwa na masikini, kutokana na tabia za ajabu za huyu bata


MAAJABU YA BUKINI

© tibazakissuna.blogspot.com 

Bukini huwa wengi wanashindwa kumfuga kwa sababu huwa akiishi kwa masikini huwa hatagi, na ni mara chache kukuta kataga na akitaga atataga mayai manne kwa mwaka. Bukini akiona nyumba chakula shida na wewe utasahau kupata vifaranga vyake, akiwa na uhakika wa chakula hutaga mpaka mayai 12 kwa mzao mmoja na hutaga mara nne kwa mwaka mpaka mayai 48 kwa jumla ya mwaka.
Bukini hutambua kama mfugaji anahali mbaya ya uchumi au kapanda kiuchumi na yeye atakuonesha kuwa kakuelewa kwa kukuongezea mayai, lakini pia bata anaye penda utani sana kwa wenyeji wa nyumba anayo ishi.

TOFAUTI YA BATA MZINGA NA BUKINI

© tibazakissuna.blogspot.com

  kuna tofauti kubwa ya bukini na Bata mzinga, ambaye wengine humwita kuku mzinga, huyu anaona wachawi na akiwaona hufanya fujo sana na kuparua ukuta sana, lakini uonaji wake ni wa usiku tu, wakati bukini huona mpaka mchana. Pia Mzinga yeye kichwa chake hutumika uchawini kwa kutengenezea uchawi wa sihr tayla ambapo pia husbabisha maradhi ya kuanguka (kifafa) kwa atakaye fanyiwa ushikina. Audhu billahi min dhaalika
Kichwa cha bukini hutumika kutibia kifafa wakati mzinga anatumika kusababisha maradhi, japo nyama yake ni tamu na haina madhara.

FAIDA ZA BUKINI

Yai la bukini ndiyo yai lenye virutubisho vingi kuliko yai la ndege yeyote katika ndege wanao fugwa, nyama ya bukini na supu yake huongeza nguvu za tendo la ndoa yawezekana kuliko kitoweo aina yoyote kwa wingi wa virutubisho alivyo navyo, na ndiyo ndege msafi zaidi kuliko ndege wote.


© tibazakissuna.blogspot.com

MAAJABU YA BUKINI

Bata bukini huwa ana uwezo wa ajabu katika kuwatambua wachawi, kwa kuwaona na kuwakimbiza iwapo wameleta uchawi katika mazingira ya mipaka anayo ishi, pia humdonoa donoa mtu mwenye uchawi au mwenye dhamira mbaya na watu wa nyumba anayo fugiwa, supu ya bukini hutumika kutosha uchawi uitwao sihri aqumi moja katika aina za uchawi usababishwao na jini Ummu muldami, ambapo uchawi huu huwa unakaa katika viungo vya uzazi na kusababisha matatizo ya number of sperm na sperm motility kwa wanaume, kuwa na udhaifu wa mbegu na kushindwa kusababisha mimba, na kwa wananawake matatizo ya ovarian cyst, beta hormone, na female Hormones, ambapo pia hulazimika na dawa za swihat shifaa pamoja na shajarat maryam.
Bukini ni bata mwenye faida sana.
Mengine nanyamaza kuhofia watu wa kuedit mada wakati hawana wanacho kijua



© tibazakissuna.blogspot.com
 
Chief Nusura
+255713826838
+255784638089
+255758711111