SIFA NJEMA ZOTE NI ZA MWENYEZI MUNGU AMBAYE NI VYAKE VILIVYOMO MBINGUNI NA VILIVYOMO ARDHINI.
ANAYAJUA YANAYOINGIA KATIKA ARDHI NA YANAYOTOKA HUMO NA YANAYOTEREMKA KUTOKA MBINGUNI NA YANAYOPANDA HUKO NA YEYE NI MWENYE KUREHEMU, MWINGI WA MAGHUFIRA.
Kwa leo tutaangalia kwa ufupi kuhusu mmea uitwao UWATU umekua na faida nying sana kwa kiumbe mwanadamu kutokana na kutibia baadhi ya maradhi na kumponesha kabisa kwa uwezo wa MUUMBA
✅ FAIDA ZA UWATU
® tibazakisssuna.blogspot.com
1) TUANZE KWA KUWAJALI WANAWAKE SIFA YA KWANZA HUSAIDIA MWANAMKE AMBAE HATOI MAZIWA PINDI ANAPO JIFUNGUA KWA KUTUMIA UWATU KIJIKO NA UNGA WA JIRA NDANI YA MASAA 24 KWA UWEZO WA MUNGU UTAPATA MAZIWA YA MTOTO
2) HUMPA MSAADA MWANAMKE AMBAE ANAENDA JIFUNGUA KUTO KUSUMBUKA KUTOA MTOTO NA PIA HUPUNGUZA MAUMIVU YA HEDHI KWA WENYE KUTESEKA NA MAUMIVU HAYO
® tibazakisssuna.blogspot.com
3) HUONGEZA HISIA ZA JIMAI KWA WALE AMBAO HUSUMBUKA NA KUSUMBUKA KUA HAWANA HAMU YA TENDO HII NI KWA WANAWAKE NA WANAUME
4) HUSAIDIA NGUVU ZA KIUME KWAN HUSAFISHA KIBOFU NA KUSAIDIA MATATIZO YA NGIRI NA PIA KWA WANAUME WENYE KUFANYA MAZOEZ DAWA HII HUMUONGEZEA NGUVU NA KUMSAIDIA KUTANUKA MISULI
5) HUTIBU MB'A NA KUZUIA NYWELE KUKATIKA KATIKA
6) HUSAIDIA MMENGENYO NA KUMPA MTU HAMU YA KULA NA PIA KUONDOA CHOLESTEROL
7) HUTIBU MTU MWENYE UPARA NA KURUDISHIA NYWELE PIA HUTIBU PUMU YA NGOZI
8) HUTIBU ULCERS YA KWENYE ULIMI NA YA MGUUNI PIA VIDONDA VYA MAJERAHA NA GOUT
® tibazakisssuna.blogspot.com
9) HUTIBU UGONJWA WA KISUKARI
10) HUSAIDIA MTU ALIE VIMBIWA NA KUSIMAMISHA KUARISHA KWA ANAE HARISHA
11) HUPUNGUZA UZITO PIA NI DAWA NZUR KWA WANAO KOSA USINGIZI USIKU
12)HUSAIDIA KIFUA KILICHO SHINDIKANA PIA NA MAGONJWA YA UPUMUAJI
13) HUONDOSHA MAJINI WALIO KAA MDA MREFU KWA KUCHANGANYA NA SUPU YA NDEGE KUJUA WA AINA GANI NITAFUTE
14) KWA WANAUME AMBAO HUTOA MANII NYEPES HII NI DAWA NZUR YA KURUDISHA MANII KUA NZITO
NAMNA YA KUTUMIA NI VYEMA KUULIZA KWA MJUZI KABLA YA KUTUMIA
™ © TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM
shaibu naomba kujua matumizi ya uwatu maana manii Yang ni mapesi sana
JibuFutaMarietha
FutaNaam I ope itakua bora zaid endapo utatufunza namna ya kutumia ustadh
JibuFutaNatakakujua namnayakutumi uwatu yaan matumiz
JibuFutaUwatu kwa Kingereza ni nini?
JibuFutaFenugreek
FutaJe ni nzuri kwa mjamzito kwa kutumia
JibuFutaNaomba kujua matumizi ya uwatu kwa kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke
JibuFutaKwa kuleta ham ya tendo la ndoa Kwa wanawake chukua kijiko kimoja Cha chakula Cha fenugreek ya unga mchaichai, tia sukari kiasi ndani ya Lita Moja nusu kweny sufuria chemsha then kunywa ikiwa ya moto asubuhi kabla ya kula then jioni we muhusika atasweat👌👌
FutaJaman mbn hamna majibu humu
JibuFutaNapenda kujua matumizi ya uwatu hasa ktk kuongeza hisia na wingi wa manii nitumia uwatu wa unga au mbengu
JibuFutaAhsante..!!
JibuFutaUwatu unatumiaje kuzuia maumivu ya tumbo la hedhi
JibuFutaJe uwatu inasaidia kupunguza tumbo au mafuta mwilini?
JibuFutaJe uwatu inasaidia kupunguza tumbo au mafuta mwilini?
JibuFutaKwa tumbo la hedhi matumizi yake yakoje
JibuFutaNakupataje
JibuFutaHabari zenu, nipo hapa kushuhudia, jinsi nilivyo kuwa mwanamitindo tajiri na maarufu duniani mwenye mafanikio makubwa, nimekuwa nikipitia magumu miaka nenda rudi, tangu nilipofiwa na wazazi wangu wote wawili, sikuweza kuendelea zaidi na mshikaji wangu kutokana na Suluhu la kifedha basi, hadi miezi mitano iliyopita, nilimaanisha rafiki ambaye aliniingiza kwenye familia ya freemason, mwanzoni niliogopa kujiunga, kwa sababu nimesoma habari nyingi za uongo kwenye mtandao kuhusu familia ya freemasonry, na ambayo sasa ninaijua. hiyo sio kweli, zote zilikuwa habari za uongo, na napenda kutumia fursa hii kusema asante sana kwa familia ya freemason, ndugu wote wa familia hii, nawashukuru sana kwa support mnayonipa, na kwa waliodhani familia ya freemasonry ni mbaya, haijui sheria na kanuni za huyu jamaa, tafadhali acha kuhukumu ulikuwa hujui, na acha kusambaza habari za uongo, kama una nia ya kuwa mwanachama ufurahie. faida za familia ya freemasonry, contact off anuani icial hapa chini kwa taarifa zaidi.
JibuFutaWhatsApp; +31 687 329 133
Barua pepe; info.masonic.oregon@email.cz
Barua pepe; info.masonic.oregon@gmail.com
Au soma zaidi kuhusu sisi kwenye kiungo cha ukurasa wa Facebook; https://web.facebook.com/infomasonicoregon