Jumatano, 26 Agosti 2015

UGONJWA WA HIJABU


#HIJABU ( KISEYESEYE )

Vitamini C ni vitamini inayopatikana hasa  katika matunda na majani mabichi.

 Kikemia ni
aina ya ❄#asidi askobini na binadamu ni kati ya spishi chache ambazo haziwezi kutengenezaasidi hii mwilini.

Kwa hiyo watu hutegemea chakula chenye kiwango cha vitamini hii kutoka katika vyakula.

® tibazakissuna.blogspot.com

Vitamini C ina kazi muhimu katika mchakato  wa kuponya vidonda mwilini.

Uhaba wake kwa muda mrefu unasababisha ugonjwa wa kiseyeseye (au hijabu).

® tibazakissuna.blogspot.com

#HIJABU HUSABABISHA

kwenye ufizi wa meno kuwa na vidonda

¤ kuchoka sana na kuwa na mabadiliko ya hali kama kua na hasira za haraka

#kwa ngoz na sehemu za viungo  kuuma

® tibazakissuna.blogspot.com

#vidonda vingine mwilini kutopona

TIBA YAKE

Tumia vyanzo bora vya Vitamin C haswa  au vyakula vyenye uchachu

#limao

#Machungwa

#2. Tumia vyakula vyenye Asili ya kijani
Ubora wake unapatikana ikiwa hujapika zaidi ya dakika 10

#Usifunike utapoteza ule ukijan wake

 #Usikatekate mboga kisha ukaosha,  vyema uoshe  alafu ukate mboga kwan kukata kisha ukaweka kwenye maji utaacha madini yote kwenye maji

® tibazakissuna.blogspot.com

Ijumaa, 21 Agosti 2015

KUANGUKA SHULENI





KUANGUKA KWA WANAFUNZI SHULENI

tunapo ongelea sababu za maradhi ya kuanguka mashuleni basi tunaweza kuongelea janga la Kitaifa.

 na ndiyo maana pindi linapotokea janga hili huhitajika sana viongozi wa dini ili kuleta msaada. lakini kama ilivyo kawaida huwa kila kitu kina fani na mwenye fani. tatizo hili la kuanguka huambatana pia tatizo mwenza ambalo ni tatizo la kucheke cheka kwa watoto wa kike. Tanzania tatizo hili limewahi tokea Tabora girls na Mbeya Girls. lakini nini chanzo?
 chanzo cha tatizo hili ni 

1) KUJENGWA SHULE KATIKA UWANJA WA WACHAWI
 

2) KUJENGA KATIKA NGOME YA MAJINI

3).KUJENGA KATIKA MSAFARA WA MAJINI

© tibazakissuna.blogspot.com

sasa utajuaje sehemu iliyo au inayokaliwa na vikao na wachawi??
Wachawi huwa vikao vyao hukaa katika miti aina ya
 

1} MKUNGU

2} MKOROSHO

na ikiwa mji hauna miti hiii basi huangaliwa mti mkubwa ambao umefikia miaka 12 na zaidi mpaka 30
kisha hukalia vikao vyao mfano wa muembe nk.

hivyo ujenzi wa shule ukifanywa basi watoto watakuwa wanakutana na vitu vya ajabu na maradhi ya kushangaza yenye kushtukiza. na kama itakatwa kabla ya ujenzi basi watoto au walimu watakaa kwa shida na akili kuwa kama watu ambao si timamu iwapo hapakufanywa dua ya KUSWARIFU AMMAAR.

 
© tibazakissuna.blogspot.com 

Majini wana maeneo yao ambayo wanaishi kama vile baharini au mito na milimani au visimani na jangwani au chooni nk.
lakini elewa kuwa miongoni mwa maeneo wanayoishi ni katika miti kama 


Mibuyu 

Misufi 


Mikuyu


Mikenge


nk
na miti hii hupendwa sana mashuleni. sasa basi iwapo shule imejengwa hali miti ilikatwa jua kwamba wanafunzi wengi watapatwa tatizo la ugonjwa wa macho au vichwa na kupelekea kuvaa miwani ya macho.
na kama haiku katwa basi watakuwa na tatizo la kuanguka.

pia kuna kujenga katika njia ya majini.

ambapo huwa ni majengo yanayo kuwa maeneo ya jangwani huwa na mfumo wa upepo usio vuma na hewa nyepesi kama upepo wa bahari. maeneo hayo yakijengwa pia hupelekea watoto na walimu kuanguka au kucheka cheka hovyo.


 pia husababisha kupatwa na majini mahaba aina ya Bedui Biduan
ambapo madhara hupelekea watu kuwa na pepo la ngono
mtu anawaza ngono bila kuwaza lolote na ndiyo sababi zipo shule zina sifika kwa ukahaba hali yakuwa watoto walipelekwa wakiwa ni wenye maarifa na maadili

  
 © tibazakissuna.blogspot.com
 

NINI KIFANYIKE

kabla ya kujenga jengo basi ilitakiwa pasomwe suurat yaasin 21
kisha upatikane 


A} msaka uchawi


A} mdaula


A} mkunazi


yote iwe majani na kisha ilowekwe katika maji na kumwaga eneo la shule tarajiwa.
na kama imekwisha jengwa tayari
hapo panatakiwa ufundi wa kutosha. kwa sababu inatakiwa kwanza ipatikane zaytshifaa
kisha iwekwe katika maji yamwagwe katika madarasa yote na watoto na walimu wakae uwanjani wafanyiwe visomo vya harbu l qatl au Sayf l qatw ii. ambavyo huwa ni visomo vigomo sana kwa sababu hubadilika kutokana na visomo vinavyo kwenda na aina ya majini watakao panda kwa wagonjwa husika.


DAWA ZA KULA


B} msigi

B} mfuleta


B} mvuma nyuki


B} mfa usiku


B} mrehani


B} kamun as wad

kisha 


apakae zayt shifaa
siku 90
in shaa Allah watapona.
tibazakissuna.blogspot.com

NINI CHANZO CHA MARADHI



NINI CHANZO CHA MARADHI 

kuna aina aina ya tatu ya maradhi ambayo ni husda. 

maradhi haya hutokana na majini ama wanaadamu. na majini ndiyo wameshika maradhi haya kwa kiwango kikubwa sana. mfano tumefunzwa kwamba tunapoingia chooni tuseme 


Allahumma inniy audhu bika minal hubuth wal habaaith

 swali: hubuth na habaaith ni nini? 

jibu ni majini mke na mume ambao maisha yao ni kuishi katika vyoo. 

majini hawa huitwa Ummu Subiani majini aina hii husababisha maradhi ya kupooza na ndipo utagundua kuwa 90% ya waangukao chooni watapata maradhi ya kupooza sababu ya ummu subian hawa ni majini wasumbufu sana.

© tibazakisssuna.blogspot.com

TIBA

 dalili ya mtu ambaye ana jini mahaba aina ya Ummu Subian 

1) mwanamke kukosa hedhi 

2)  kukaa chooni muda mrefu bila sababu 

3)  kupenda kujitazama kwenye kioo

4)  sura kuwa na mikunjo ya kiutu uzima au kizee 

5)  kuota unafanya jimai na watu wazima mara kwa mara 

6)  kuto penda kuongea na watu wa rika lako ila wazee 

7) kutopenda manukato 

8)  kuto hitaji ndoa na kuazimia kufunga ndoa na watu wazima bila mafanikio hizi ni baadhi tu ikiwamo kuto penda manukato.

 iwapo Ummu subian uliye naye si mahaba kwako basi utakuwa na tabia ya baridi mwilini kama mtu mwenye bone GOUT au RHEUMATISM mana mwili huwa na ganzi sana pamoja na maumivu ya viungo. 

© tibazakissuna.blogspot.com 

 tiba yake kwanza umsomee mgonjwa

 HASANTU NAFSIY BIL HISWNI LLADHII LAA ILAAHA ILLA LLAAH WABAABUHU MUHAMMAD RASUULU LLAAH WAHAITWAANUHU SALAAMUN QAULA MIN RABBI RAHIYM WASUQFUHU JAA A L HAQU WAZAHAQA L BAATWILA INNA L BAATWILA KAANA ZAHUUQA. 

kisha umfanyie visomo viitwavyo MUHLIKAAT. yani aya za maangamizo. ndipo umtoe jini huyu mkorofi. lakini ukikosea kanuni itakuwa mchezo ule wa maigizo ya kusema katoka na kisha kurudi tena. 

DAWA ZA KULA

1 > kaamun as wad 

2 > hulba 

3 > sufa 

4 > habat sauda 

© tibazakissuna.blogspot.com

 kama alikwisha strock basi aongezewe kuchua mafuta ya 

1} mafuta ya kenge 

2} mafuta ya khardal 

3} mafuta ya thaum 

4} mafuta ya habat sauda

 siku 45 hadi 90 atakuwa amepona In shaa Allah wabillahi taufiq kwa leo naishi hapa 
© tibazakissuna.blogspot.com

Ijumaa, 14 Agosti 2015

KUTOKWA MAJI MAJI UKENI ( VAGINAL WETNESS )



KUTOKWA MAJI MAJI UKENI ( VAGINAL WETNESS )

Kitu kikubwa katika kufurahia jimai kwa mwanamke na mwanaume ni sehemu ya mwanamke kupata hali ya unyevu nyevu au maji maji  ambayo hupelekea mwanaume na mwanamke kufurahia tendo la ndoa ndio maana MWENYE ELIMU kubwa alisema ni haramu mwanaume kumuingilia mwanamke bila kumuaandaa

Wakati kuna wanawake wenye tatizo la maumbile yao kua makavu wapo ambao maumbile yao hutoa maji maji ( sio squirting ) pindi unapo waandaa  kiasi ambacho hupoteza ladha ya mwanaume kufurahia tendo hilo kwan hakupatikan msuguano ambao hua ni sababu ya mwanaume na mwanamke kushuka stendi kwenye safari yao

sasa jambo hili hua ni jambo la aibu ila aibu itakusaidia nin kama ndoa yako inateketea
Kikubwa ni kupatia ufumbuz wa tatizo husika na kutumia dawa

#SABABU

1} KUTUMIA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO >.>.>

ESTROGEN ni homoni inayo husika katika kukuza na kufanya usawazishaji wa mwili wa mwanamke pia hutumika kufungua njia ya hedhi ikiwa hedhi haifunguki.

Dawa za uzazi wa mpango husababisha kiwango kikubwa cha estrogen katika njia za damu ambapo INI ambapo huzibadilisha estrogen ambazo sio za asili ( artificial estrogen ) kua za asili ( natural estrogen ) na kufanya estrogen kuwa nyingi katika mwili na kufanya uwepo wa maji mengi katika maumbile

Pia husababisha kutanuka kwa maumbile ya kike ndipo hupelekea habar ya kusafiri kua nzito kwan hakuna kufika stendi kwa raha

® tibazakissuna.blogspot.com

 
sababu nyingine inayo weza kusababisha maji ukeni

® tibazakissuna.blogspot.com

2} kufanya kazi ngumu baada ya kujifungua kabla ya miezi minne pamoja na kuanza jimai mapema kabla ha miezi minne.

3} kuvaa nguo mfano turubai ama suruali za jins na kutembea mwendo mrefu wa miguu

hizi ni miongoni mwa sababu. japo kuwa zipo nyingi ila tosheka na hizo.

® tibazakissuna.blogspot.com

TIBA

chukua ASALI changanya na MDALASINI na MWIFI
kisha kunywa vijiko viwili vikubwa kutwa mara tatu kwa siku 19 pamoja na kutwanga majani ya MBAAZI na kuvaa kam ped kwa  kila mchana wa tiba.

® tibazakissuna.blogspot.com

Jumatano, 12 Agosti 2015

CHUNUSI


CHUNUSI

ngozi hua na vitobo/tundu  ndogo ambapo tundu hilo hushuka mpaka kwenye kimfuko kinacho zalisha majimaji yenye mafuta ( oil gland ) ambapo maji hayo hutumika kulainisha ngozi, pia tundu hilo hutumika kusafirisha seli iliyo kufa kuipandisha juu ya ngozi 

pia tundu hilo hutumika kupandisha nywele japo hata unywele utokelezee kwenye ngoz tundu hilo hubakia 

© tibazakissuna.blogspot.com

sasa ikiwa tundu hilo litashambuliwa na bacteria au kitu kuziba hupelekea yale maji maji kuganda na kuwa mafuta pia unywele ndani kukatika kama ni eneo la nywele pia seli seli zilizo kufa hukaa kama uchafu ndo maana unapo uminya hunuka , baada ya muda ngozi kujaa na watu kuiona kama CHUNUSI maeneo ya mgongoni na usoni

© tibazakissuna.blogspot.com

SABABU ZA KUOTA CHUNUSI


hakuna sababu ya kitaalamu ya kusema moja kwa moja kua chunusi husababishwa na nin ila

  •  UMRI WA MIAKA 11 MPAKA 30 kutokana na mabadiliko ya mwili na ongezeko la androgen 
  •  MAJINI MAHABA

DAWA YA MAPELE 


© tibazakissuna.blogspot.com

basi chukua SHUBURI SOKOTARI
kisha yeyusha kwa maji safi.
baada ya kwisha kuoga paka yale maji yenye shubiri katika sehemu zilizo athiriwa na ugonjwa.
kipimo
chukua SHUBIRI SOKOTARI vijiko viwili vikubwa na uweke katika maji lita moja. na iyeyuke vizuri. utatumia kwa siku 9
itakusaidia hata kuondoa athari za maradhi au alama za makovu yaliyokuwepo kutokana na ugonjwa huo.


© tibazakissuna.blogspot.com

Alhamisi, 6 Agosti 2015

MAGONJWA YASIYO ONEKANA



KWANINI UGONJWA WAKO HAUONEKANI HOSPITAL KATIKA VIPIMO??

 HUO NDIYO UCHAWI AINA YA NAAFITH 

suurat l falaq

{{ Wamin sharri nnaffaathaat fil uqad  }} 

Umetajwa hivyo katika  Uchawi huu ni uchawi hatari sana.wachawi kwa kutumia miti ya haijal na fayjal huwa wanachanganya na vitu fulani hivii kisha wanaongea maneno yao ya kichawi unatoka kama mvuke wa moshi na kwenda kwa mlengwa anaye kusudiwa kufanyiwa uchawi huo.

 kisha unakamata sana sehemu ya akili na kichwa kuwa kama kina maji au moshi na akili kuwa si yako.mapigo ya moyo kuwa mbio sana na pressure kuwa juu muda wote na kukosa amani. hushuka mpaka katika bandama na kufanya ngozi ipauke ikibidi kuvuka ngozi kama nyoka. 

mwili kuisha na kukonda kama mgonjwa wa sukari na ngozi kuwa imepoteza uhalisia wake.macho yanapauka na kisha hushuka mpaaka kwenye figo. ikifika hapo mtu anaweza kuwa na sukari ya ajabu sana. ndiyo mnamuona mtu ana sukari 27 lakini anakula vitu vyote mpaka Daktar anashangaa hali ya mgonjwa. mtu ana pressure 260/170 na bado anatembea tatizo nini? ni uchawi aina ya Naafith ambao huwa unashikwa na majini aina ya Swaariu. 

na majin hao utajuaje kuwa ndiyo wenye kukudhuru? tembelea tibazakissuna.blogspot.com ukisha wajua basi ujue kuwa ndiyo wenye kubeba uchawi huu mbaya sana duniani.na ndiyo mama ya uchawi wote maana mchawi asiyejua uchawi huo bado hajafuzu mafunzo ya kichawi. 

mtu akisha dhulika kwa ugonjwa huu huwa kila aina ya ugonjwa atakao pima ataonekana anao na akila Dawa haponi wala hapati nafuu na mwishowe huonekana ni muathirika wa UKIMWI

TIBA YAKE 

lazima kupatikana wajuzi na siyo wajanja wa mjini. na wala si kuchukulia simple kuna aina ya visomo vya QASAM yani visomo vya kiapo asomewe mgonjwa. pamoja na dawa za kula na kupakaa 1 ZAYT shifaa 2 SWIHAT shifaa hizi ni dawa tumeziandaa kifundi sana na Alhamdu lillaah mgonjwa akitumia kwa siku 27 hupona bi idhni llaah tibazakissuna.blogspot.com