Jumatano, 25 Machi 2015

MUHOGO



MUHOGO ni aina ya chakula chenye asili ya mzizi.

Na ni katika vyakula vya wanga na wingi wa VITAMIN A.
Pamoja na kudharauliwa kwa mlo huu wa muhogoleo ntakufungulia habar za chakula hiki japo kwa uchache leo

HUSAIDIA

  • kurudisha number of sperms (WINGI WA MANII) 
  •  © tibazakissuna.blogspot.com
  • sperm motility( MANII KUA NA NGUVU YA KUSAFIRI HARAKA KWA WEPESI ). Kwani kuna wengi hufanya tendo la ndoa na kukosa au hushusha mbegu kwa shida. 
  •  Mwanamke mwenye UKAVU UKENI juis hii itamsaidia sana kurudisha unyevu wenye ladha katika jamai.
  • © tibazakissuna.blogspot.com
Lakini ulaji wa muhogo mbichi kwa NAZI MBATATA huzalisha sperm kwa wingi.
Pia waweza kutumia juis ya MUHOGO NUSU LITA NA ASALI UJAZO WA KIKOMBE CHA KAHAWA kurudisha wingi wa manii

© tibazakissuna.blogspot.com

Jumanne, 24 Machi 2015

UTAJUAJE UNASUMBULIWA NA JINI


Mtu anayesumbuliwa na maradhi ya kijini,huwa na dalili nyingi kumfahamu, kwa sababu hawi na hali ya kawaida inayo stahiki kwa mwanadamu kamili.  

japo kuwa ndugu na jamaa watapata tabu na ikibidi kutumia gharama nyingi ili kumtibu au kumnasua katika janga la maradhi,lakini kama hawakujua dalili ya mwenye kusibiwa na maradhi ya kijini,basi penya nyingi itakuwa ikitumika bila mafanikio.
mtu mwenye kusibiwa na majini huwa dalili kama :
©tibazakissuna.blogspot.com

1# kulala hovyo

2# kukosa usingizi

3# hasira bila sababu

4# huota anashambuliwa na wanyama wakali mara kwa mara

©tibazakissuna.blogspot.com

5# huota anaporomoka katika milima au makorongo mara kwa mara

6# kuweweseka sana anapolala mara kwa mara

7# kuumwa kichwa,meno,macho sikio mara kwa mara

8# kutopenda manukato

9# kutopenda jimai

©tibazakissuna.blogspot.com

10# kutohitaji ndoa

11# kupatwa michubuko na maumivu wakati wa jimai

12# kuota safari safari

13# kupigana ndotoni mara kwa mara

14# kuota wafu mara kwa mara

15# kuota watu wamevaa nguo rangi moja tu

16# kuota watu wasiojulikana,warefu au wafupi sana

17# kusikia makelele masikioni na kutamani kukimbia

©tibazakissuna.blogspot.com

18# moyo kwenda mbio na kutamani kulia

19# kukaa na kuwa na dalili kama kuna mtu nyuma hali hayupo

20# kuota unafanya jimai mara kwa mara

21# kuota una mimba au kunyonyesha au kujifungua

22# kukosa hedhi

23# kuishiwa nguvu wakati wa jimai

24# kuto kuona ladha ya tendo la ndoa

©tibazakissuna.blogspot.com

25# kulala msikitini wakati wa khutba au mawaidha

26# kila unapota kusoma qur an au kusali kujikuta na miayo ima kulala.

27# kuumwa kila siku bila kuonekana ugonjwa hospital
nk
©tibazakissuna.blogspot.com
hii ni baadhi ya dalili ya kujijua kuwa unaathiriwa na majini. kama utapata ZAYT shifaa, na kufanyiwa visomo basi haya yataondoka na kurudi katika ya furaha na amani. 
©tibazakissuna.blogspot.com

Jumapili, 22 Machi 2015

TANGO ( CUCUMBER )




TANGO  (CUCUMBER)

tunda hili ni miongoni mwa matunda muhimu sana,lakini MTUME (S.A.W) kasema lisiwe pamoja na chakula, 
yaani kwa mfumo kama kachumbari,bali liliwe bila chakula.

FAIDA YA TANGO

ulaji wa tango kila siku ni sababu tosha ya kuepukwa na maradhi mengi sababu,

HUTIBU MARADHI YAFUATAYO

 © tibazakissuna.blogspot.com

1 U T I, na kusafisha MAPAFU na KIBOFU CHA MKOJO

2) HUSAFISHA MCHAFUKO WA DAMU

3) HUSAIDIA MMENGENYO WA CHAKULA

4) HUONDOA MUWASHO WA MWILI NA FANGASI

 © tibazakissuna.blogspot.com
 
5) HUTIBU HOMA YA MANJANO

6) HUSAFISHA FIGO KWA KUA MAJI MAJI HAYO HUONDOA MAWE YALIYOKO KWENYE FIGO

7) HUONDOA UVIMBE

8) HUTIBU VIPELE VYA JOTO,

9) HUTIBU MATATIZO YA MIFUPA NA JOINT ZA MIFUPA KWAKUA INA URIC ACID 

 © tibazakissuna.blogspot.com

 10) HIVYO HUTIBU MAUMIVU YA JOINT NA MIFUPA



11) HUTENGENEZA NGOZI NA KUINGARISHA (magnesium,pottasium na silcon)

12) HUSAIDIA  KUONDOA MAUMIVU KWA MWENYE HERNIA

13) HUKUZA NYWELE KWAKUA TUNDA HILI LINA SILCON NASULPHUR HIVYO 

14) HUPELEKEA NYWELE KUOTA KAMA UTACHANGANYA NA KAROTI 

15) KINGA DHIDI YA SARATANI KWANI SELI ZA SARATANI HAZIWEZ SHAMBULIA SEHEMU ILIYO NA ALKALINE (UCHACHU) AMBAPO TANGO HUA NA ALKALINE KWA WINGI


16) HUONDOA UVIMBE IWAPO UTACHANGANYA NA KUNGU MANGA NA MAZIWA YA NGOMBE
 
ulaji wa matango MATATU kwa siku MAABARA TOSHA.
 

yaliyomo ndani ya tango
 

vitamin c,
vitamin A,
maji 93%, 
sukari 6%, 
vitamin p.p, protin,nk
 

tango ni katika matunda yenye wingi wa madini mbalimbali.
kula matango matatu kwa siku ili uokoe gharama ya kupatwa homahoma bila sababu ya msingi.