Jumapili, 6 Agosti 2017

ASALI



ASALI

Na Mola wako mlezi amemfunulia Nyuki. Jitengezee majumba yako katika milima, na katika miti, na katika wanayoyajenga watu. Kisha kula katika kila matunda, na upite katika njia za Mola wako Mlezi zilizofanywa nyepesi kuzipita. Na kutoka matumbo yao kinatoka kinywaji chenye rangi mbali mbali, ndani yake kina MATIBABU KWA WANADAMU. Akika katika haya ipo ishara kwa watu wano fikiri.  Qur’an 16:68-69


UKIFIKIRIA NYUKI 60,000 HUTEMBEA ZAID YA MILE 55,000 KUTEMBELEA MAUA ZAID YA MILLION MBILI KUJA KUTENGENEZA ASALI JE KILA UA LINA TIBU NIN NA NIN

WENG TUNA SKIA KAMA SIO KUJUA ZAID KIUNDAN KUA ASALI INA MSAADA MKUBWA SANA KWA AFYA YA MWANADAMU

© tibazakissuna.blogspot.com

TUNA ASALI ZA NYUKI WAKUBWA NA ASALI ZA NYUKI WADOGO WANASEMA KUA ASALI YA NYUKI WADOGO NDIO NZUR ZAID NA ASALI AMBAYO MIMI NAJUA HAINA NGUVU NI ILE ASALI ILIO PITIA KWENYE JTO KALI MAANA HUUA VIRUTUBISHO

BASI LEO TUTAPITIA BAADHI YA MATUMIZ YA ASALI

KIFUA CHANGANYA  MAJI YA LIMAO ASALI UPATE KIJIKO KUTWA MARA TATU KWA SIKU

KUTOKUPATA USINGIZI KULA VIJIKO VIWILI VYA  ASALI


HUIMARISHA NA KUUKINGA MOYO KWA MARADHI YANAYO WEZA KUSHAMBULIA MOYO TUMIA KIJIKO KIMOJA CHA ASALI CHANGANYA KWA VIJIKO VIWILI VYA MDALASINI
 MUWASHO WA MBAA KICHWANI CHANGANYA MAJI KIDOGO NA ASALI PAKAA BAADA YA DAKIKA KADHAA MUASHO UNAKWISHA

© tibazakissuna.blogspot.com

ASTHMA CHANGANYA PILIPILI MANGA ASALI NA KARAFUU 

KWA KIDONDA KABLA YA PENINCILIN WATU WALIKUA WAKITUMIA ASALI KUKINGA KIDONDA KUTOKANA NA MAGONJWA SHAMBULIZI KWENYE KIDONDA ILA UKIUNGUA HAKIKISHA KWANZA UNAPOOZA KIDONDA KWA MAJI BARID KISHA UPAKAE ASALI

BAWASIRI CHANGANYA ASALI NA MAFUTA YA ZAITUNI PAKAA

HUTIBU UTI SUGU CHANGANYA ASALI NA UNGA WA MDALASINI TUMIA VIJIKO VIWILI MARA TATU KWA SIKU

HUSAIDIA MMENGENYO NA KIUNGULIA KULA KIJIKO KIMOJA KABLA AU BAADA YA KULA

© tibazakissuna.blogspot.com

HUTOA CHUNUSI NA HUTUMIKA KAMA SEHEMU YA KUFANYA UREMBO

KWA CHUNUSI CHUKUA LIMAO ASALI CHANGANYA PAKAA NA OSHA NUSUU SAA BAADA YA KUPAKAA KWA MAJI MOTO


KUONDOA UKAVU WA NGOZI CHANGANYA ASALI MAFUTA YA ALMOND NA MAFUTA YA ZAITUNI PAKAA

KUNUKA MDOMO CHUKUA ASALI NA MDALASINI CHANGANYA UPATE TOPE PIGIA MSWAKI


© tibazakissuna.blogspot.com

KUPUNGUZA UZITO TUMIA ASALI NA MDALASINI ANZA KUCHEMSHA MAJI WEKA MDALASIN UCHEMKIE NDSN YAKE KISHA IKIPOA WEKA ASALI KUNYWA MARA MBILI KWA SIKU ILA HAKIKISHA UNAPO KULA CHAKULA KULA USISHIBE

KUONGEZA NGUVU ZA KIUME TUMIA ASALI MDALASINI HABAT SAUDA NA TANGAWIZI 


KWA ALLERGY PENDA KUTUMIA ASALI KILA SIKU KIJIKO KIMOJA

© tibazakissuna.blogspot.com

LIMBWATA TUMIA ASALI KIJIKO KUTWA MARA TATU

HUIMARISHA AFYA NA KUMPA MWANADAMU NGUVU YA UTENDAJI WA KAZI ZAKE NA UBONGO KUA NA NISHAT YA KAZ

ASALI PIA ILITUMIKA KUPUNGUZA MAKALI YA BAADHI YA DAWA AMBAZO NI KALI UKITUMIA KAMA MWANADAMU

USIPENDE KUWAPA WATOTO WACHANGA ASALI MAANA MMENGENYO WAO BADO HAUJAKOMAA

KWA HAYA MACHACHE TUMSHUKURU MUUMBA NA KUMTUKUZA KWA MAPENZ YAKE KWETU 

Jumatatu, 31 Julai 2017

MAUMIVU YA KIUNO


MAUMIVU YA MGONGO

Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno 
hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea 

sababu ni nying kutegemeana na chanzo cha tatizo

KUNYANYUA VITU VIZITO
mara  nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya iuno kuvuta

MISULI KUUMA

 hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali

PINGILI ZA UTI WA MGONGO

 katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kaz yake sasa katika hizo pingili zipo kama donati na hua zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu

MKAO MBAYA NA MUONDOKO 

mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu

kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha kama nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali

MAGONJWA KAMA JIWE KATIKA FIGO , UTI NA ARTHRITIS 

moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni kama UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno
Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno

© tibazakissuna.blogspot.com 

PIA KUNA  MAMA KUA MJAMZITO MWANAUME KUA NA KITAMBI NA VINGINE MAANA NAKUMBUKA UKIWA KIJANA UKISKIKA UNA UMWA MGONGO UNAAMBIWA OA BHANA UONDOKANE NA TATIZO HILO

NAMNA YA KUTIBU UGONJWA HUU

NJIA YA KWANZA

TUMIA MAJI YENYE JOTO WEKA KWENYE CHUPA MFANO YA FANTA YALE MACHUPA MAKUBWA 

LALIA UKIWA MIGUU YAKO IPO JUU LALIA CHUPA HIYO KWENYE MGONGO WAKO  NDAN YA DAKIKA 15 AU CHINI HAPO 

© tibazakissuna.blogspot.com 

NJIA YA PILI 



CHANGANYA MAFUTA YA NANAA , HABAT SAUDA NA MKARATUSI   TUMIA KUJICHUA HAKIKISHA HUSUGUI MFUPA KAMA UNAVYO SHAURIWA NA WANA MASSAGE FANYA KUMASSAGE MPAKA CHINI YA KIUNO KWA SIKU MARA MBILI KWA UWEZO WA ALLAH UTATIBIKA 

© tibazakissuna.blogspot.com 



Ijumaa, 28 Julai 2017

KUKOSA USINGIZI



KUKOSA USINGIZI

Kukosa usingizi ni tatizo ambalo weng wetu tumewah lipitia mara moja moja katika maisha yetu 
lakin kuna ambao hili ni tatizo amblo kwao limeweka makazi ya kudumu na kua ni ugonjwa

© tibazakissuna.blogspot.com 

 mtu mzima pumziko la usingizi ina kadiriwa kua masaa nane au saba kutegemeana na hali ya mtu
dalili zake mara nying hua kuumwa na kichwa mara kuangusha au kuvunja vitu kwa kukosa umakini kwa sababu ya ubongo kuchoka 

SABABU ZA KUKOSA USINGIZI

KIAFYA

kuna baadhi ya madawa ukiyatumia yanasababisha hali ya kukosa usingizi mfano wake ni kama dawa za PUMU, Dawa za  Allergy, maumivu ya uti wa mgongo,  Dawa za Kusisimua misuli,  Dawa za msongo wa mawazo, Dawa za pressure

Kuna aina nyingine ambazo pia huleta tatizo hili ambapo ukitumia unapoteza usingizi 
KUNYWA KAHAWA, KUNYWA POMBE, UVUTAJ SIGARA UNENE HASWA KUA NA KITAMBI

© tibazakissuna.blogspot.com 

Kula sana wakat wa usiku kunapelekea  tumbo kufanya mmengenyo sana na kukukosesha usingiz haswa ulaji wa vitu vigumu kusagika mfano wa nyama

© tibazakissuna.blogspot.com 

MATATIZO YA KISAIKOLOJIA 

hofu juu ya mambo ya kaz au mahusiano na mengine hupelekea kukosa usingizi
mambo madogo madogo kama vile mwanga wa taa au mtaa wenye fujo kama mbwa disco na mengine

TIBA YA TATIZO

chukua maziwa na asali

changanya chemsha Maziwa fresh kikombe kimoja kisha changanya  Asali vijiko viwili kwenye kikombe kimoja tumia na ulale baada ya dakika 20

Tumia biringanya katika kila mlo wako

© tibazakissuna.blogspot.com 

kwa mwanaume alie oa bas ajitahid kufanya jimai maana baada ya jimai na mkeo kuna kemikal za usingizi hutoka ndo maana weng wakimaliza jimai hupata usingizi

© tibazakissuna.blogspot.com 

Ijumaa, 30 Juni 2017

UKE KUTOA SAUTI




UKE KUTOA SAUTI

Kwa mwanamke ambae ameshawah kukutana na jambo hili zaid ya mara moja basi anajua ni fedhea kiasi gan hua anapata na kukosa hamu kabisa ya kuendelea na jimai 

SASA TATIZO SIO KUSKIKA KWA SAUT HUYO ILA NI MUME KUTO KUJUA NI NN HALI HIYO JE NI UGONJWA TATIZO AU NI JAMBO LA KAWAIDA AKISHA JUA HILI HATA WEZA KUMCHEKA MWANAMKE NA KUMUONA WA AJABU KIMAUMBILE

© tibazakissuna.blogspot.com 

KWANINI UKE HUTOA SAUTI 

Umbo la uke lipo katika hali ya mikunjo mikunjo kitaalam huitwa VAGINA RUGAE ambapo mikunjo hiyo ipo kama mikunjo ya bati sasa pindi inapo ingia hewa huiminya na kutoa nje ndo maana kuna mikao ukikaa hufanya uke kufinya hewa ile na hewa kutoka kwa kutoa sauti ima kwenye jimai kwenye mazoez au hata ukiwa unafanya usafi

© tibazakissuna.blogspot.com 

 IKIWA IMETOKEA WAKATI WA JIMAI

nilisha sema kua uke na uume hua mfano wa sindano za hospital ( injection ) unapo vuta hutoa fyonza hewa ilio ingia ndan au hufyonza dawa ulio iweka kwenye kichupa kitendo hiki hakina tofaut na uume kuiingia kwenye uke na kutoa 

kuna mikao ambapo hupelekea hewa kuingia na uume unapo toka ima kuingia huiminya hewa hiyo na hapo hutoa mlio 

ukiangalia kwa makini ni kama vile koromeo likipitisha jesi/hewa  hutoa mlio sawa sawa na huo japo huu unauita kucheua na ule una sema ni kama ushuzi lakin sio hivyo ikiwa utatafakari

© tibazakissuna.blogspot.com 

SABABU ZA UKE KUTOA MLIO 

UREFU WA UKE kutoka katika kizaz japo sio wote

UDOGO WA UUME HASWA UPANA (GIRTH) unaweza kua na uume mrefu na bahat mbaya ukawa sio mnene kuweza kushika kuta za uke na upepo kuweza kuingia pindi unapo ingiza

WATU WALIO JIFUNGUA japo sio wote

KUTANUA UKE kupita kias chake haswa katika mikao

© tibazakissuna.blogspot.com 

NINI CHA KUFANYA

ANGALIA MIKAO YA KUFANYA AMBAYO HAITA RUHUSU HEWA KUINGIA NDANI

TUMIA MAJI YA BARIDI KUJISAFISHIA UKE KILA UNAPO MALIZA RAUNDI KATIKA JIMAI AU KUJISAFISHA IMA UKIWA UMETOKA CHOONI AU ASUBUHI

FANYA MAZOEZI YA KEGEL yana faida nying sana na nimeshaelezea sana kwenye group la ilinde ndoa yako

© tibazakissuna.blogspot.com 

Jumatano, 21 Juni 2017

MWANAUME KUPOTEZA HAMU YA JIMAI BAADA YA KUOA



KWANN WANAUME HUPOTEZA HAMU YA TENDO LA NDOA HASWA NDAN YA NDOA

Ukiuliza kuhusu hili utaambiwa tatizo kubwa ni upungufu wa homoni ya TESTOSTERONE majukumu na watoto 

© tibazakissuna.blogspot.com 

ila mbona wanaume walio achana na wake zao na walio na watoto wanakua na nguvu na hamu hali yakua na yeye pia anamajukumu na watoto 

sasa mimi sio mwanasayansi ukisema kuhusu testosterone nataka niijue ina muathiri vipi mwanaume na ina faida gan kwake

 kwa ufupi testosterone ni kitu kinacho mfanya mwanaume kua mwanaume yaan humfanya yeye KUPATA HAMU yakufanya mapenzi, humfanya kupata saut nzito na kutoka nywele na  kukua kwa uume na kadhalika

sasa kwa mwanamke yeye ya kwake huitwa estrogen ambayo hii humpa hamu ya kufanya mapenzi na ni homon yenye kumuunganisha  kwa upendo wa jamii na urafiki 

Bahat mbaya vyakula tunavyo kula wanaume vina wekewa estrogen ili kunenepesha miili ya kuku na wanyama kama ngombe na kadhalika unapo kula vyakula hivi vyenye homon ya kike MWANAUME unakosa hamu ya kufanya mapenzi

© tibazakissuna.blogspot.com 

sasa lingine linalo shusha hamu ya mwanaume ni pamja na kua katika ndoa mda mrefu

BIBI zetu walifundishwa KUKAA KIMYA yaan wanawake kuto kubishana na wanaume ili dumisha ndoa zao lakini tatizo Hii ilikua busara ya kuepusha kuto kuelewana maana mwanamke anapo sema hua haangalia anasema nin kikubwa anacho taka DUKUDUKU la moyoni limtoke kwan yeye kuongea ni njia ya kumpa faraja

sasa katika kuongea huko mwanaume huona HILI ni tatizo ima mwanamke anakelele sana maana wanawake ni wenye kumbukumbu nzur akianza kuongea atayasema hata ya miaka 5 yaliyo pita JAMBO hili HUFANYA MWANAUME KUTOA HOMON YA ESTROGEN ambayo ni homon ya kike hii humfanya mwanaume achoke na kuchanganyikiwa kutokana na hasira na kuto kumuelewa mwanamke SASA ikifikia hapo mwanaume HUONDOA HISIA kutoka kwa MKE WAKE

Mwisho mume huyo hua ni mkimya tu akiulizwa swali hajibu wala hajishughulishi kujali sas mwanamke huumizwa tena na hali hii na kujiuliza je mwanaume huyu ananin na bado ananipenda kweli

WANAWAKE WA SIKU HIZ NI WASEMAJI SISEMI KUA WASIWE WAONGEAJI ILA WAANGALIE KWANZA WANACHO KISEMA KISHA WAJUE KUSHUSHA SAUT ZAO

MWANAUME ASITOE USHAUR MPAKA AOMBWE NA MWANAMKE KIKUBWA MWANAUME AMSIKILIZE TU MKEWE MPAKA ATAKAPO MALIZA KUYATOA YA MOYONI KISHA AMAHID KUYATENDEA KAZI

KWANI NINAVYO JUA MIMI WANAUME WENYE KUONGEA SANA KULIKO WANAUME MARA NYINGI HAWAPAT TENDO LA NDOA KUTOKA KWA WANAWAKE WAO NA HUAMBULIA KUAMBIWA WANAGUGU

MWANAMKE KUA NA HALI YA KUJISAHAU KUA MAPENZ NI SUMAKU KUA ANATAKIWA AWE KAMA CHUMA CHENYE KUNGAA NA KUVUTIA NA KUCHEZA NA UZUR WAKE KUJIPAMBA NA PIA AWE MWENYE KAULI NJEMA ZA KUMPA MOYO MWANAUME NA KUMSIFIA KAMA KIDUME WAKE ILI IMNYANYUE HOMONI MWANAUME WAKE

© tibazakissuna.blogspot.com 

NINI MWANAUME AFANYE KUNYANYUA HAMU YA TENDO NA KUMPENDA 

kwakua testosterone ndio huongeza hamu ya mwanaume bas 

1) MWANAUME ANAPO KUMBWA NA TATIZO HOMON YAKE ILE HUTOKA HARAKA NA KUMPA HALI YA KIUME KUTATUA TATIZO NA AKIFANIKIWA KUTATUA BAS HUJISKIA FURAHA SANA SASA KIKUBWA UNACHOTAKIWA KUKIFANYA NI KUJISHUGHULISHA HATA KAMA NI MAZOEZ AU KAZ ILI HOMON HIZI ZITOKE 

2) JITAHID KUJUA KUMVUMILIA MWANAMKE AKIONGEA USIMJIBISHE BALI MWACHE AONGEE NA WEW ITIKIA NDIO SAWA KISHA MUOMBE AKUPE MDA BAADAE AKISHAPOA NDO UMREKEBISHE 

NILIPO KUA NAANGALIA WANAJESHI WA KIMAREKAN WANAVYO FANYIWA MAFUNZO HUTUKANWA NA KUSEMESHWA MANENO MABAYA HATA KUTUKANIWA MAMA NA WAKIANGALIWA USONI HURUHUSIW KUJIBU KITU  NI KUVUMILIA TU ukijibu una pushup 20 HII NI KWAKUA MWISHO WA SIKU UKISEMA UNAFATA HASIRA ZAKO MWENZAKO ULIO MSHIBA AKIPIGWA RISAS HUKAWII KUCHARUKA NA KUPIGA RISAS OVYO MWISHOWE UKAFA KIZEMBE

3) PENDA KUTUMIA MAKOKO MANGA MATUNDA YA ZAITUNI AU NAZI HIZI ZITAKUONGEZEA HOMON YAKO NA KUKUPA HAMU 

© tibazakissuna.blogspot.com 

Alhamisi, 8 Juni 2017

NYOTA NA MILANGO YA MARADHI


NYOTA NA MLANGO WA MARADHI

nyota zina mgawanyo wa hali na tabia, pia huongoza maarifa ya kazi
Lakini leo tunaangalia mlango wa maradhi wa kila nyota
tibazakissuna.blogspot.com
1. Punda 

Nyota hii mwenyewe husumbuliwa na maradhi ya kichwa na moyo, kwa sababu huwa wanasumbuliwa au hurogwa kwa jini Khafqaan
Mwili huwa na joto unababua kama Moto mwilini
Tabia ya nyota ni moto
Kazi zake ni usafirishaji na utumishi ,siku ya bahati jumanne na nuks jumapili

2. Ng'ombe

Hii Nyota hufanyia kazi katika udongo, siku yake ya bahati ijumaa na nuks jumatano
Maradhi yake, viungo kulegea kama mtu aliye choka na majini kama maymuna huusumbua sana mwili huo, wanapenda mapenzi sana
kazi ni biashara ya mazao au uchimbaji madini
3. Mapacha
Inafanya kazi jumatano, na nuks jumatatu
Tabia yake upepo, kazi za mawasiliano au elimu ya anga
Biashara zote za vyombo vya mawasiliano
Maradhi
Husumbuliwa kwa marogi kupitia jini twayr, huwa wanaota kupaa, chunus sugu, na matatizo ya uzazi
tibazakissuna.blogspot.com
4. Kaa 

Ina fanya kazi jumatatu na nuks yake jumamosi
Nyota hii ni nzuri kwa utawala japo kuwa mara nyingi haipati sifa hata ikitawala vzuri, utendaji ni maji
Kazi huduma zote za jamii, utumishi na kutumika kwa maslahi machache pia hujiamini sana
Maradhi huingiwa sana na maradhi ya mapenzi kama limbwata, husda ya ndugu na marafiki kumuona kama ana nufaika hali hana maslahi zaidi ya utumishi

5. Simba

Inafanya kazi jumapili na nuks ijumaa
Maradhi yake, vidonda vya tumbo, kiungulia na kuchukiwa haswa na majirani
Hutumika sana subian kudhuru watu hawa
Kazi ni usimamizi na uangalizi wa mali, na kutunza amana za watu japo uaminifu kwao huwa mdogo,tabia moto

6. Mashuke

Hufanya kazi jumatano na nuks jumatatu
Nyota yenye asili ya kipato kwa kazi za mahesabu au uhasibu na mambo ya utunzaji amana
Hutenda kazi katika udongo
Husumbuliwa kurogwa kwa jini Ummu subian
Maradhi ya strock, ganzi na baridi kama rheumatism
Maradhi ya moyo na cholesterol tatizo la kushindwa kufanya jimai

7. Mizani

Inatenda kazi ijumaa na nuks jumatano
Husumbuliwa na husda na wivu, majini kama tawaabia, alkhannaas, zawaabil husumbua sana watu hawa.
Hawa watu ni upepo na hawana misimamo

8 Nge

Hutenda kazi jumanne na nuks jumapili
Hutenda kazi kwa maji, watu wenye jadhba na maamuzi ya kujilaumu, wana mikono ya kuharibu na kuto dumu na vitu. Wana maeneno mengi, na akili huwa vichwa vyao vipo haraka kidogo
Majini aljinnu saakiniyna au khaadimu sihr huwa athiri sana
Wengi wao husumbuliwa na chale za wanga huwa wana maradhi ya kukakamaa misuli
tibazakissuna.blogspot.com
9. Mshale 

Inatenda kazi alkhamis na nuks jumanne
Nyota ya biashara, nyota hii hata iuze matapishi itaingiza pesa
Ni nyota hatari kwa kuchezewa na washirikina, wengi wao hupatwa uchizi wa ghafla kwa kuchukuliwa nyota, ni nyota yenye uaminifu zaidi na misimamo, pia maamuzi yao ni makubaliano huwa hawaamui wenyewe kwa matakwa yao. Wavivu sana wa kula na kunywa, husumbuliwa haraka na sukari, figo na homa za matumbo

10. Kondoo (mbuzi) 

Ina tenda jumamosi na nuks alkhamis
Tabia udongo
Maradhi ya kichwa, khofu, matatizo ya viungo kulegea na kuishiwa nguvu na macho kusumbua bila sababu za kidaktary, hutokana na kusumbuliwa na husda za wachawi
Kwani kwa kazi za shamba nyota hii ina nguvu sana pia elimu ya misitu na mimea. Majini kama hamaatu nnisaai, jinnu saakiniyna na ummu subian, huwafanya wakawa na madhaifu mengi ya ndoa na uzazi

11. Ndoo 

Inafanya kazi jumamosi na nuks alkhamis
Husumbuliwa na matatizo ya akili, moyo pamoja na matatizo ya kuanguka, si ajabu kwa mtu huyo
Na ikitokea wanaishi karibu na makaburi rahisi kukumbwa na jinni mayyit
Na wazuri kwa kazi na elimu ya kuhifadhi na usindikaji, au ujasiriamali
tibazakissuna.blogspot.com
12. Samaki 

Hutenda alkhamis na nuks jumanne
Husumbuliwa na awaaridhwu, riyh riyhaan, na majini wengi sana kwa kuwataja mmoja mmoja ni ngumu
Pia huwa ni watu wenye kuandamwa na mambo ya kiasili kuanzia maradhi, afya na rizqi
Husda nyingi hufanyiwa na wanawake
Kazi ya kuhudumia jamii kama Jeshi, utabibu na sheria zinawafaa sana
Kama unaziada karibu inbox
Vigezo na mashart kuzingatiwa
tibazakissuna.blogspot.com


Baada ya kujua ulivyo ndiyo uweze kusaidika kwani wapo ambao nyota zao huahama na wengine kutembelea nyota ya washirika, ili kusaidiwa tatizo la kinyota huhitajika sana utumiaji wa Aayatu rizqiya, ayaatu l fat hi, na ayaatul khawaatimu
Swihat shifaa na zaytu shifaa ni lazima kupatikana kwa dawa za kula,kuoga na kupakaa 

Jumapili, 7 Mei 2017

KIUNGULIA KWA MAMA MJAMZITO



KIUNGULIA KWA MAMA MJAMZITO

KIUNGULIA naamini weng miongon mwetu wanajua ni nn kiungulia haswa kama umeshawah kuhisi kitu kichungu chenye kuchoma kinapanda kooni na gesi

sasa tatizo hili limekua likiwasumbua wakina mama wajawazito sana japo sio wote ila weng wao mwanzon au mienz mitatu ya mwishon mwa ujauzito

KIPI HUPELEKEA KIUNGULIA KUTOKEA


unapo kula chakula kinapita kwenye esophagus na kuingia tumbon ila mwisho wa esophagus kuna valve ambapo huruhusu chakula kupita na hukizuia chakula ambacho kitaingia kwenye TUMBO kisirudi juu

© tibazakissuna.blogspot.com 

SABABU YA KIUNGULIA

kiungulia hutokea pale ambapo TINDIKALI ( acid ) itokayo kwenye utumbo na kupita kwenye ile valve ambayo ilitakiwa kuto kuruhusu kitu chochote kisitoke na kupanda mpaka juu na kusababisha maumivu kwenye kifua na hali ya uchungu ikiambatana na gesi

kwa mama mjamzito valve ile ya kuzia huathiriwa na homon ya progestorene  kwa kuisababisha kulegea na hivyo acid kupita

kutanuka kwa kizaz kwa sabab ya ukuaji wa mtoto husukuma utumbo na kusababisha hali ya valve ile kufunguka kirahisi na mjamzito kupata kiungulia

© tibazakissuna.blogspot.com 

USHAUR GAN ANAPATA

jitahid kula chakula kias yaan usile ukashiba jitahid kula kias hata kama utakula mara tano kwa siku ila usile mlo mmoja na ukashiba kabisa 

usile vyakula vyenye asili ya tindikali (chips, chocolate,machungwa mengi, nyanya na vingine) au vyenye mafuta sana na ukiweza chunguza nn unakula kinacho kuletea hali ya kiungulia

kula taratibu uweze kuvifanyia umengenyaji mzur chakula unacho kula kisha usinywe maji wakat unakula mpaka baada ya dakika 10 za kula

hakikisha una fanya mazoez ya kutembe unapo maliza kula hakikisha hulali maana utazidisha tatizo 

© tibazakissuna.blogspot.com 

TIBA YA TATIZO

IKIWA UMEKUTWA NA TATIZO LA KIUNGULIA BAS FANYA YAFUATAYO

LIMAO LINA SIFA YA KUPUNGUZA ACID ILIO TUMBON NA MAFUTA FUTA 
CHUKUA LIMAO MOJA MINYIA MAJI YAKE KWENYE GLASS YA MAJI UTUMIE 

© tibazakissuna.blogspot.com 

CHEMSHA MAJI YA TANGAWIZI NA TUMIA NUSU KIKOMBE

TUMIA TUNDA LA APPLE AU SIKI YA APPLE KIJIKO KIMOJA KWENYE MAJI MARA MBILI KWA SIKU 

ALLAH MJUZ ZAID

Jumapili, 23 Aprili 2017

ILIKI



ILIKI

NI KITU KINACHO JULIKANA SANA NA WANAWAKE NA WANAUME HASWA WALE WENYE KUPENDA KUPIKA ILIKI SIO KITU KIGEN HASWA KATIKA KULETA HARUFU KWENYE CHAKULA CHAO

LAKIN KWA BAHAT MBAYA SANA WAO HUKIONA KAMA KIKOROMBWEZO TU CHA KUTIA HARUFU JE WANAJUA KUA KWAMBA ILIKI NI MALKIA WA MIMEA MIDOGO MIDOGO

© tibazakissuna.blogspot.com

NZUR ZAID NI ILE YA KIJANI

WALICHUKULIWA WATU 20 WALIO NA PRESSURE YA KUPANDA WAKATUMIA ILIKI NDAN YA WIKI 12 MATUMIZ YA GRAM 3 KILA S MATOKEO BAADA YA KUPIMWA PRESSURE YAO ILIONEKANA KUSHUKA NA BAADA YA MIENZ MITATU SUMU ZILIZO KUA NDAN YA MWILI ZILIONDOSHWA NA DAMU KUA SAFI NA FAIDA NYINGINE NYINGI

FAIDA ZA ILIKI

1 HUONDOA SUMU MWILINI

2 HUTIBU MAGONJWA SAMBULIIZ KWENYE NJIA YA MKOJO

3 HUSAIDIA MARADH YA MFUMO WA UPUMUAJI ( ASTHMA PRESHA )

4 HUTIBU MAGONJWA YA MENO KWA KUUA BACTERIA PAMOJA NA KUONDOA HARUFU MBAYA

© tibazakissuna.blogspot.com

5 HUONDOA MAFUTA KWENYE MISHIPA

6 HUSAFISHA NA KUNGARISHA NGOZI

7 MAFUTA YA ILIKI HUSAIDIA KUWEKA NGOZ YA MDOMO VIZUR KWA KUPAKAA

8 HULETA AFUEN KUBWA KWA MAFUA NA KIFUA

9 HUSAIDIA KUTULIZA TATIZO LA MSONGO WA MAWAZO

© tibazakissuna.blogspot.com

10 HUTIBU KWIKWI

11 HULETA HAMU YA JIMAI KWA MWANAMKE NA MWANAUME UKICHANGANYA NA TANGAWIZI

12 HULETA HAM YA KULA NA KUONDOA KICHEFU CHEFU

© tibazakissuna.blogspot.com

13 HUONDOA KIUNGULIA

KWA MADOGO HAYA NADHAN INA TOSHA 

Alhamisi, 13 Aprili 2017

MAWE KATIKA FIGO



MAWE KATIKA FIGO

mara nying tumekua tukishauriwa kunywa maji kwa siku isipungue vikombe nane mpaka kumi kwa ila sio mfululizo maana kunywa maji mfululizo ni kutoa madini mwili

 Pindi figo linapo chuja uchafu kutoka kwenye damu na kubalansi maji unapatikana mkojo sasa mkojo unapo kua na asid sana (uric acid) inachanganyikana na chumvi na madini mengine  ( crystalline mineral ) hutengeneza vijiwe kwenye njia ya mkojo au ndani 

© tibazakissuna.blogspot.com

vinaweza kua vidogo sana kama punje za sukari kias zikipita kwenye njia ya mkojo mtu hawezi jua ILA pia zinaweza kua kubwa na hapo ndo hua tatizo haswa likianza kupita kwenye njia ya mkojo

© tibazakissuna.blogspot.com

DALILI ZA TATIZO

>> KUPATA MAUMIVU MWISHO WA TUMBO MWANZO WA PAJA

>> KUPATA MKOJO WA DAMU

© tibazakissuna.blogspot.com

>> KUPATA MUWASHO UNAPO MALIZA KUKOJOA

>> HALI YA KUHISI HAM YA KUKOJOA JAPO HUKOJOI

>> KICHEFU CHEFU NA KUTAPIKA

TIBA YAKE

MAFUTA YA ZAITUNI VIJIKO VINNE

MAJI YA LIMAO VIJIKO VINNE

 CHANGANYA TUMIA KUTWA MARA MBILI

© tibazakissuna.blogspot.com

KUMBUKA CHANZO CHA TATIZO NI KUTO KUNYWA MAJI HIVYO UKINYWA MAJI KUNA NAFAS KUBWA YA KUPONA GONJWA HILI AU KUTO KULIPATA KABISA
ALLAH MJUZ ZAIDI

Jumamosi, 25 Machi 2017

JIAMINI UWE TOFAUTI





KUJIAMINI

KUTOKUJIAMIN KWA MWANAUME NI KITU ASICHO KIPENDA MWANAMKE YOYOTE YULE
KUONDOA HOFU KWANZA  UJUE HOFU YAKO IPO WAPI

*TATIZO*

1⃣  Bahat mbaya hakuna alie wah kutufundisha juu ya tabia za miili yetu kua hujirekodi mambo tuyafanyayo na yanapo jirudia rudia hua ni TABIA za miili yetu sasa unapo fanya PUNYETO mara nying huwez fanya ndan ya dakika 30 ila huishia ndan ya dakika mbil au tatu
Sasa wew ndo unae weza tofautisha kua sasa unafanya punyeto BILA MWANAMKE na sasa unafanya na mkeo kitu hichi mwili hukirekod kama kitu kimoja hivyo unapo fanya na mwanamke unaishia ndan ya dakika 3 maana mwil wako ulishaji program kuishia dakika tatu

® tibazakissuna.blogspot.com
 
2⃣ Inaweza pita siku nzima mwanaume hajasimamisha uume hunywea kitu ambacho kinaweza kua ni sababu moja wapo ya kupungua kwa uume chukulia mfanya mazoez ya kifua pindi anapo jaza mishipa yake ya damu kwa kunyanyua vyuma na anapo acha kupiga chuma hua sawa

3⃣  MWANAUME YOYOTE HUONEKANA KILAZA KAMA HAJUI KUMUANDAA MWANAMKE KWA MDA MREFU kwan hutaweza mfikisha mkeo hata kama ungekua unalo la tembo sanasana utamuumiza na hata taman kukujua tena ima kukutolea maneno ambayo huenda yakakukosesha KUJIAMINI

  *JIBU LETU*

💝ACHA pupa na vuta pumzi ndefu kisha achia taraaatibu unapo taka kuanza mechi kisha jitahidi KUMUANDAA mkeo kwa mda mrefu isipungue dakika 20 hii itasaidia wew kujizuia kufika na kuvumilia pili itasaidia kulainisha zoez utalo enda fanya next time tutatazama kwenye namna ya kumuandaa mkeo

® tibazakissuna.blogspot.com

💞 MKEO KUKUTIBIA

Mkeo ajaribu kuifuta TABIA YA KUWAHI kufika atakacho kifanya atakuchezea mpaka upandishe joto dhakar ifikie hal ya kutaka kutoa manii kisha aache kwa wew kumwambia kua sasa naziskia zinakuja aache dhakar ilainike kias cha kua haijasimama kisha arudie zoez hilo mara tatu au zaid HILI LITAKUSAIDIA pale unapo kua umewahi kufika unakua na uwezo wa kusimamisha na kufanya tena bila kupoteza mda na pia inauwezo wa kukufanya kuzoea msisimko wa kufika tafadhalj usijifanyie wew nina maana yangu kusema ni mwanamke kukufanyia ikiwa hutaweza ni bora utafute mazoez ya uume na pia dawa za kuimarisha uume

💘 AMA KUHUSU UREFU WA UUME 

usipate tab sana juu ya hili pata tabu juu ya pumzi yako na namna ya kumuandaa mwanamke kwan hakika kuna kiongo kimoja cha mwanamke kina mishipa ya faham 8000 ambapo ukipachezea vyema unafaida ya kumfikisha kabla ya jimai na akaridhika kabisa
 
bibi harus hua na urefu wa kuanzia inchi 4 akiwa hajaandaliwa na mpaka inchi 5 au 7 kutegemeana na mtu na maandalizI

na raha ya mwanamke ipo juu inchi 3 au zaidi ntaelezea zaid siku ingine kwamba dhakar ilio pinda kuelekea juu ina athar gan katika kumfiksha mwanamke na hasara gan

ila mwanamke anapo sisimka ndan mwake hujaadam kwenye yale matuta na hapo hua inakaa tayar kuendan na kitacho ingia ikiwa ni kidole kimeingia bas uke hunywea sawa sawa na ukubwa wa kidole kitu ambacho humpa faida ambae ana dhakar ndogo

® tibazakissuna.blogspot.com

ila pia kuhusu dhakar inafanana sana na sindano ile yenye bomba la kat unapo lisukuma hutoa dawa na unapo vuta lile bomba hua na tabia ya kuvuta dawa hivyo hivyo kwa mwanaume alie na umbile dogo huvuta uke kupitia yale maskio yake ya mbele ya uume na kizaz cha mwanamke husogea karib ikiwa kuna hewa bas akiwa anatoa dhakar hutoka na ile hewa ambayo dhakar iliingiza awali
sasa sio juu ya mwanaume KUMFIKIRIA/KUMTOLEA MANENO MABAYA mwanamke kua mbona kuna saut kama kupumua anayo iskia ikitoka kwan wew ndo ulie ingiza upepo na ukautoa (queefing)

NIA SIO KUKUPA ELIM YA ZINAA LAA NI ELIM AMBAYO WENG WANAIDHARAU KWA KUIONEA HAYA AU VINGINE MWISHO WA SIKU HUARIBU NDOA ZAO KWA KUTO KUA NA ELIM SAHIHI

KARIBU ILINDE NDOA YAKO KUJUA ZAIDI

Jumapili, 5 Machi 2017

KWANIN MOTO HAUWAKI TENA



NIMEONA LEO TU TIBU NDOA

KWANIN MOTO  HAUWAKI TENA NA YAPI MADHARA YAKE

Hamna kitu mwanaume huumizwa nacho kama mwanamke kumkatalia pindi anapo omba jimai haswa kama ikiwa teyari alishawah kupewa

Hamna kitu mwanamke huchukia kama jimai bila maandalizi

Nimekua nikistakiwa sana sheikh sasa ni miaka 20, 3 au 12 tupo ndan ya ndoa ila jimai sheikh wangu kupata saa zingine ni mpaka  ulazimishe

sasa nimejiuliza sana kwanini na kama sintalisemea hili bas ndoa nyingi huingia matatizo na mwisho talaka huweza kufatia ambapo ni jambo Mungu asilo lipenda

MWANAUME ni kiumbe ambae sio mzur sana katika mambo ya hisia kitu ambacho huwachanganya sana wanawake
utaskia mwanaume akisifia sana bwana wee mke wangu mjuz sana kwenye kitanda anajui hiki anajua kile aaah wacha tu ananichanganya haswa hata kutoka naona sintaweza kabisa
KITU hiki huwachanganya sana wanawake na kuona kama wanatumika tu kama chombo cha kuwakidhia haja zao lakini kumbe haipo hivyo

MWANAUME hujifunza kupenda kupitia jimai yaan anapo toka kutafuta milango yake yote ya hisia hufunga na hufungua akili kutafuta kufanya hivi mara vile kulipa kodi kupata pesa ya kujenga kibanda yakuwa visha mke na wanawe mara nyingi hisia zake hupotea kabisa HIVYO anapo kuja na kukutana na mkewe HISIA zake huchanua na hapo ndipo akipewa Chakula cha usiku ndipo mapenz yake hukua kwa mkewe na utaona Wengi wa wanaume hupenda mwanamke afike kwanza au askie raha sana ndo na yeye afike

MWANAMKE hupenda sana mawasiliano yaani ili kuweza kupata kiu ya jimai lazima kwanza ajione anapendwa na anahitajiwa yaani sio uje tu nyumban na uombe inatakiwa atleast umtumie meseji mchana umuulize mahabuba umekula nin au njoo sehem flani tule pamoja au txt yoyote ya kumpa furaha na kumchekesha kiasi ajihisi mwanaume wangu ananipenda hapo moyo wake hupata joto na kuchanua kias cha hata ukitaka utapata

SABABU NI NIN SASA JIMAI HUPOTEA

Kuna mtu alishawah kusema MWANAUME ni kama sufuria yaan hupata joto haraka sana unapoweka tu juu ya moto na pia huwah kupoa lakini MWANAMKE ni kama chungu huchukua mda sana kupata joto na pia huchelewa sana kupoa kikisha pata joto

MWANAUME huumia sana anapo kataliwa huona huyu ana mtu au hanipend na mwanaume huchanganyikiwa, anapo katishwa tamaa kua huwez kunifikisha hapa kama fulani, au kuambiwa mzee juma wako ni mdogo au unawahi sana kama kuku
tatizo hua ni namna mwanamke alivyosema laiti angetumia njia ya kumbembelezea na kuto kumkatisha tamaa bas huenda mwanaume huyu asinge jenga chuki ya jimai na KUJIONA kua sio mwanaume mkamilifu kwako na kuanza kutafuta mwanamke mwengine ambae ana mridhia kwa mapangufu aliyo nayo

tibazakissuna.blogspot.com

MWANAMKE hujihisi hapendwi pale anapo jaribu kujipambana na kuvaa vyema jicho lako limuone na husemi lolote anatokea mshamba flan tu ana msifia kila siku kua umeumbika na umzur sana kias cha kuupa joto moyo wake na mwanamke kuangukia kwenye moja kati ya hatua nne za usaliti
jitahidi kumsifia mwanamke wako hata kama hatoki nyumban sifia usafi anao ufanya msifie kwa uimara wa kuwalea wanao mtoe mpeleke sehem hajawahi fika msikilize mtomase tomase sio lazima iwe kwenye mechi hata nje ya kitandan

tibazakisssuna.blogspot.com
TIBA YA TATIZO

JIMAI huyeyusha yote yaliyomo vifuani mwa mwanaume na mwanamke haswa ukiifanya vyema kisha baada ya jimai yaongeeni yataisha asikudanganye mtu kua mwanamke hapendi jimai
mwanamke ana vilele aina 99 achana na G spot A spot C spot zipo nyingi mno ila kubwa ya yote ukumbuke kua mwanamke ulimuangaikia kipindi ukimtaka awe mkeo hivyo angaikia hisia zake ziku ridhie hata ukimsemesha tu kwa mahaba anaweza kufika akijua tu anapendwa na wewe

Mwanamke jua mwanaume hujitahid zaid kukuonyesha mapenz yake nje lakin kubwa ya yote ni jimai hivyo usijione kua ni chombo cha kutumika kua haoni mengine ukiweza vuka mtihan huo hasa kwa kumuelewesha kwa njia laini na ya kumridhisha haswa siku kama haupo sawa kabisa ataelewa na ile hali ya kuona kua humpi nafas ya kukuonyesha upendo itatoweka na mtakua na amani


Alhamisi, 16 Februari 2017

HABAT SAUDA

 

HABAT SAUDA
 
Mada itakua ndefu ila kwa mwenye kujua umuhimu wa afya hakika akuna lilo refu kama moyo umeridhia
kua makini wako watu huuza mbegu za vitunguu maji maana hufanan kabisa na habat saud na pia mafuta yake uakikishe ni yenyewe hasaa au yawe heman

Amesema kipenzi chetu Rehema za mwenye Mungu ziwe juu yake kua hakika habat sauda ni ponyo ya kila maradhi isipo kua kifo na uzee

ASTHMA, KIKOHOZI NA ALEJI
kikombe kimoja maji ya moto weka kijiko kimoja cha asali na mafuta ya habat sauda kijiko kimoja kunywa asubuh kabla hujanywa chochote na usiku unapo taka kulala

® tibazakissuna.blogspot.com

MARADHI YA MOYO
tumia kikombe kimoja cha maziwa ya mbuzi weka kijiko kimoja cha mafuta ya habat sauda na tumia mfululizo masiku kumi

MAUMIVU YA TUMBO GESI VICHOMI  NGURUMO
chukua kijiko kimoja cha mchujo wa tangawizi kisha changanya na nusu kijiko cha mafuta ya habat sauda ila mchanganyiko huu utakufanya uwe mwembamba maana huchoma mafuta na kusafisha mishipa

KUPARALAIZI NA POLIO
chukua kijiko kimoja cha asali changanya na nusu kijiko cha mafuta ya habat sauda mara mbili kwa siku

MATATIZO YA KUTO KUPATA HAM NA UDHAIFU WA MAPENZI
Vijiko viwili vya asali kijiko kimoja cha mafuta ya habat sauda na unga nusu kijiko cha kungu manga

UDHAIFU WA KINAFSI
kijiko kimoja cha asali nusu kijiko cha habat sauda na punj moja ya kitunguu swaumu

KUHARISHA NA KUTAPIKA
kijiko kimoja cha siki ya apple na nusu kijiko cha habat sauda

KUNGAA KWA NGOZI 
chukua mafuta ya zaituni 50gram na mafuta ya habat sauda 50gram changanya uwe unatumia kijiko kimoja kutwa mara mbili kwa kunywa ama kupakaa

® tibazakissuna.blogspot.com

KUKUZA NYWELE KWA WENYE VIPARA
kamua maji ya vitunguu maji pakaa kichwan kisha acha ndan ya nusu saa osha kichwa na pakaa kichwan mchanganyiko wa mafuta ya habat sauda na mafuta ya zaituni

KICHWA KUUMA UPANDE MMOJA
dondoshea tone kwenye pua ya upande unao umwa kichwa kisha unywe kijiko kimoja cha mafuta ya habat sauda

KUUMWA MENO NA KUVIMBA KWA FIZI
finya chumvi kiwango cha vidole vyako kisha chukua mafuta ya habat sauda na mafuta ya karafuu sukutulia baada ya kupiga mswaki

UVIMBE WA KUNGATWA NA WADUDU (nyuki)
pakaa kwenye jeraha hilo uvimbe utapotea

KUVUNJIKA MGUU/KUPATA JERAHA 
changanya asali habat sauda na mafuta ya nyonyo pakaa kwenye tatizo 

® tibazakissuna.blogspot.com

MARADHI YA MACHO NA KUONA
 juisi ya karoti dondoshea matone matano ya mafuta ya habat sauda kisha kunywa

KUPARA LAIZI KWA USO
chemsha maji kisha dondoshea vijiko vitatu vya habat sauda na ujifushe

KUIMARISHA AFYA
kila siku hakikisha una kunywa kijiko kimoja cha habat sauda

KUFUKUZA MBU
choma habat sauda tone la mafuta ulale unono

PUMU YA NGOZI 
pakaa mafuta ya habat sauda itakisha

KUUMWA KIBOFU
asali nyuki wadogo na habat sauda kijiko kimoja changanya tumia

KIFUA KUBANA 
changanya mafuta ya habat sauda na kitunguu maji na asali kisha pakaa

MGORI / BAWASIRI
changanya mafuta ya habat sauda mafuta ya zaitun na asali kisha kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku na upakae kwa pamba sehem yenye kuuma 

® tibazakissuna.blogspot.com

KUPANDISHA CD4
kwa mapenz ya Allah tu chukua maziwa fresh ulio chemsha kikombe kimoja na ckijiko kimoja cha habat sauda kiini cha yai kijiko kimoja cha asali nyuki wadogo kisha vyote korogea kwenye maziwa yako fresh uliyo yachemsha kisha tumia doz hii mara tatu kwa wiki 

JAMAN SIWEZ MALIZA YOTE KWAN HAJASEMA MTUME WA MWENYEZ MUNGU BALI ALIYO YASEMA NI YA HAKI NA KWEL TUPU

Jumamosi, 14 Januari 2017

UNAKULA NIN LEO



UNAKULA NINI LEO

una kula nini na je unajua ulicho kula kina saidia mwili wako au kina endelea kuongeza matatizo katika maendeleo ya mwili wako

mara nyingi daktari atakuambia jitahid sana ule mboga mboga NA PUNGUZA MAWAZO SANA bila wew kujua ni kwann anasema 

watu siku hizi hawapat usingizi mzur watu siku hizi wanaugua sana ugonjwa wa kansa watu siku hizi vitambi vina wasumbua sana watu siku hizi wanaumwa mifupa na maumivu ya meno na maumivu ya kiuno na miguu imekua tatizo

® tibazakissuna.blogspot.com

matatizo yote haya huweza mkuta mtu mmoja na akajiuliza kwann mim
 sasa ili twende sawa kuna kitu kinaitwa pH baadhi yetu tulisha soma shule ya msingi tukapewa kakaratas cha kupima na rangi ina badilika ukiweka kwenye maji ya limao

sababu ya mim kuongelea pH ni kwamba vyakula tunavyo kula mwisho wa siku huangukia kwenye TINDIKALI NEUTRAL na ALKALI ambapo kipimo hicho hua kuanzia 0 ambayo ni acid kali zaid mpaka 14 ambayo ni alkali kali zaidi na KATIKATI NI 7.0 ni neutral ambayo unaweza angalia kwenye maji mfano kilimanjaro utaona pH yake ni 7.0
sasa

® tibazakissuna.blogspot.com

☑ KUANZIA 7.1 8 9 10  ⤴ 14 ni ALKALI  (BASE) ambavyo vyakula vyake ni kama vile 

APPLE, NYANYA, SPINACH, KAROTI, PARACHICHI, TANGO,  MAJI YA MTO, MAJI YA BAHARI, VIAZI VITAM, ZABIBU, BINZI, TENDE, NANASI, VITUNGUU MAJI, LIMAO, NDIMU, TINI, UYOGA, TIKI TIKI MAJI NA KADHALIKA 

✅NA KUANZIA 6.9, 5, 4, ⤵ 0  NI ACID AU (TINDIKALI) AMBAPO VYAKULA VYAKE NI KAMA VILE

NGANO, NYAMA YA NGURUWE, WINE, KAHAWA, CHOCOLATE NYAMA NYEKUNDU,MIKATE MEUPE, BIA, KIINI CHA YAI, SAMLI, MCHELE, POPKONI, CHAI, SODA VINYWAJI VYA KUONGEZA NGUVU, PINATI, MAZIWA YA SOYA, COCOA, MAINI NA KADHALIKA

ILI MWILI UWEZE KUFANYA KAZ YAKE VYEMA NI LAZIMA VITU HIVI VIWILI VIWE SAWA YAAN ASIDI NA ALKALI ZIWE ATLEAST ZIKO SAWA TOFAUT NA HAPO UTAONA MTU ANASUMBULIWA NA YAFUATAYO

HOMONI HAZIKO SAWA,UPUMUAJI WAKE UNATABU,  KUNENEPA SANA AU KUKONDA, KIBOFU NA FIGO KUA HATARINI, KINGA YA MWILI KUSHUKA, FANGASI KUONGEZEKA NDAN YA MWILI, UVIMBE KUTOKEA, MMENGENYO KUCHUKUA MDA MREFU SANA NK

® tibazakissuna.blogspot.com

ILA UKINIULIZA MIMI NI KIPI BORA 

NTAKUAMBIA KUA NI BORA MWILI  UZIDIE ALKALI KIDOGO KWA SABABU MWILI UKIWA UNA MAGONJWA MARA NYINGI MWILI WAKO HUA NI WENYE ACID ZAID MAANA MWILI UKIZIDIA HALI YA ALKALI UNAKUA NA UWEZO WA KUPAMBANA NA MARADHI KWA SABABU UNAKUA NA UWEZO WA KUFYONZA MADINI YANAYO SAIDIA MWILI KUJIIMARISHA 
 
ACID INA UMUHIM PIA HUITAJIKA KATIKA MMENGENYO WA CHAKULA

LAKINI KWENYE MWILI WENYE HALI YA ACID ZAID MARADHI HUPATA NJIA YA KUJIKUZA

UKIANGALIA WATU WENYE KANSA VIPIMO VYAO VINAWEZA AMBATANA NA MENGINE LAKINI LAZIMA UTAKUTA ACID IMEZIDI NA  OXYGEN KUA PUNGUFU MAANA SELI YA CANCER NI YA ACID NA HAIWEZI KUISH KWENYE MAZINGIRA YA OXGEN HIVYO MAZINGIRA YAKIWA ALKALI NA OXYGEN MARADHI YANACHUKIA

MWILI UNAJIELEWA VYEMA KUA SASA IMEZIDIA ALKALI AU IMEZIDIA ACID  KWA KULAMBA KWENYE DAMU  HIVYO KAMA IMEZIDIA ACID ITAKACHO FANYA LAZIMA ITAFUTE ALKALI POPOTE ILIPO ILI KUSAIDIA VIUNGO VYA MWILI KUFANYA KAZI IPASAVYO NDO PALE INAKIMBILIA KWENYE MIFUPA NA KUFYONZA CALCIUM NA MADIN MENGINE KWENYE MIFUPA YAKO NA KUKUFANYA UWE NA MIVUNJIKO AU MARADH YA MIFUPA TARATIBU TARATIBU

 NA CALCIUM INAJULIKANA KUSAIDIA MAMBO MENG IKIWA NI PAMOJA NA KUPATA USINGIZ HIVYO IKIKOSEKANA UTAONA MTU HUYU ANA UMWA MIGUU AU SEHEM ZINGINE ZA MIFUPA NA PIA USINGIZI NI TATIZO KWAKE

KUNA WATU PIA HUPAMBANA NA KITAMBI SANA KWA MAZOEZ NA MAMBO MENGINE LAKIN HAKITOKI KIRAHIS JUA TU KUA MWILI WAKO UNA ACID AMBAYO HUCHOCHEA INSULINI AMBAPO ITALETA NAFASI YA KUCHUKUA MAFUTA ZAIDI NA MWILI UTASHINDWA KUPAMBANA NA KUONDOA SUMU HIYO NDAN YA MWILI IPASAVYO

® tibazakissuna.blogspot.com

SASA KUMBE IKO HIVYO NDO MAANA NILIPO KUA NA KITAMBI NILIAMBIWA NINYWE MAJI YA LIMAO NAFKIRI IMEANZA KUKAA SAWA KIDOGO KICHWAN

NAMNA YA KUTATUA NI KUFANYA KINYUME CHA KILE UNACHO KULA KINACHO ATHIRI MFUMO WA MWILI NA KUPUNGUZA MAWAZO MAANA HUPELEKEA KUCHOCHOEA ACID MWILINI

® tibazakissuna.blogspot.com

NINGEPENDA UFANYE KU LIKE AU KUSHARE WENZAKO WAONE NAO