Jumanne, 28 Julai 2015

JINI 3



JINI NI NINI?

Q:: JEE MAJINI WANA DINI?

jibu ndiyo majini wanayo dini. 

© tibazakissuna.blogspot.com 


Q:: VIPI MAJINI WANADINI

Wana dini kwa sababu wameletwa ili wamuabudu Allah na wasipo abudu wataenda motoni 7:179 Quran
Na kwa hali hiyo majini wanapo kusumbua utajua dalili kuwa ni dini gani kabla ya kujua umtoe vipi. 

© tibazakissuna.blogspot.com 


JINI YAHUDI: utakuwa ukiota watu wamevaa nguo za rangi ya bluu na wewe kupenda sana rangi ya bluu samaawati pamoja na kutopenda kufanya ibada hata kama umesoma uislam.pia kuwa ukilala kuota unapaa juu kuwa mnafiq na muongo na kuto wapenda waislam hata kama wewe ni muislam.

JINI MKRISTO : kupenda nguo za njano. Kulala na kupiga miayo sana unaposali au unapo soma Quran pamoja na kupenda kusikia muziki.

JINI MPAGANI: kupenda sana nguo nyeusi na kupenda ngoma na nyimbo za asili.pia kuota watu wamevaa nguo nyeusi na makaniki.

JINI MUISLAM : kupenda nguo nyeupe au kijani au bluu bahari. Manukato pamoja na kujifanya unapenda ibada lakini huna ufanyalo ki ikhlasw sababu hufanyi kwa ridhaa na ndipo ikisomwa qur an unalia au kutoka machozi bila kujua fasiri ya neno.
© tibazakissuna.blogspot.com 


tibazakissuna.blogspot.com

JINI 2



JINI NI NINI?
 
Kwanini majini wanasumbua binaadamu?

 
Majini kusumbua binaadamu in kutokana wivu ambao majini wamekuwa nao nafsini mwao kwa ajili ya wivu na uroho Wa madaraka. 


Kumbuka kuwa majini waliumbwa kabla ya binaadam na walikuwepo ardhini kabla ya mwanaadam na mwanadamu ni kiumbe Wa mwisho kuja duniani 76:1-2 Quran
 
Hivyo kuwa mwanadam kiumbe wa mwisho kuja duniani maana ni kuwa majini waliishi kabla yetu na kutawala ardhini. Lakini walimuasi Allah na kuangamizwa na kubaki wachache ambao walikimbia na kujificha kama vile


© tibazakissuna.blogspot.com 

baharini 

 
mitoni

 
visimani

 
milimani

 
Majumba mabovu

 
Chini ya miti na mitaroni nk.

 
Kwa wale walio salia ikiwamo Ibilisi mlaaniwa wao baadhi wakachukua jukumu la kuto kukubali kumheshimu mwanaadam pindi Allah alipo sema Inniy jaailun film ardh khaliyfat.

 
Ibilis alionesha ukaidi na kuanza kupinga amri ya kumheshimu mwanaadam kwa amri ya Allah alipo waambia malaaika
Sjuduu li Aadama. Fasajaduu illaa iblisa abaa wastakbara wakaana minal kaafiriyna

 
Kwanini awe miongoni mwa makafiri? Sababu yeye sio kafiri Wa kwanza ila walianza kukufuru baba zake
Alipokataa akalaaniwa na yeye kuamua kufanya juhudi ya kumpoteza mwanaadamu ili mwanaadamu aharibikiwe. 

© tibazakissuna.blogspot.com
Ndipo yeye na vizazi vyake na washirika wake wakawa na Nazi maalum kumsumbua mwanaadamu ili mwanaadamu ashindwe kumhishimu muumba na kuwatukuza majini na majini kutaka kuheshimiwa kwa majina matukufu kama kuitwa walimu au mawalii au masharifu au ruhani ima akataka aitwe Suleiman bin Daud
Audhu billaahi min dhaalika.
tibazakissuna.blogspot.com

JINI 1


Jini ni nini?
 
Ukiongea kuhusu jini basi unaongelea aina za viumbe ambao wameumbwa na Allah.

 Tofauti ya jini na binaadam ni kuwa jini kaumbwa kwa MOTO na binaadam kwa UDONGO. 15:26-28 qur an

© tibazakissuna.blogspot.com 
 

Lengo la kuumbwa ni kumuabudu Allah 51:56 qur an
 
Hivyo katika majini na binaadam wapo wenye kutii na wapo wenye kuasi.
Mwenye kutii katika binaadam na majini huwa muislam na mcha Mungu na Mwenye kuasi hutegemea dini yake ni ipi na kuingia katika makafiri 6:112 Quran

 
Binaadam tumeitwa INSAAN sababu wamaa summiya l insaan Illa binisyaan
Yani hatukuitwa kuwa binaadam isipokuwa ni kwa sababu ya usahaulifu. 


Na Majini wameitwa JAAN kwa sababu ya kuto onekana kwa macho ya kibinaadam ima tuseme wameitwa majini kwa kuto kuwa wazi na kufahamika mbele ya binaadam au kilicho fichwa mbele ya binaadam. 

© tibazakissuna.blogspot.com

Kama vile mtu ambaye akili haipo active akaitwa majnuun sababu akili yake imefichika au pepo kuitwa Jannat kwa kufichika na vivuli.
 
Majini wamegawika aina tofauti 660 kama vile wasemavyo katika suurta l jinn AYA 11 kunna twaraaiqa qidada. 

Kwamba majini wapo aina tofauti na makundi tofauti
tibazakissuna.blogspot.com

Jumamosi, 18 Julai 2015

KUNYONYESHA ( BREAST FEEDING )




KUNYONYESHA ( BREAST FEEDING )

  Ni hali ya kumlisha maziwa  mtoto mchanga au mdogo kwa kupitia chuchu za mwanamke kwa kunyonya mtoto huweza kupata maziwa mdomoni na kumeza kama chakula ambacho humpa nguvu na afya.

SASA kuna jambo ambalo wengi wetu hulifanya yaan kuwa nyonyesha watoto kupitia maziwa ya vibobo yaliyo andaliwa maalumu kuwalisha watoto () hali hii ime UA watoto weng kwani huleta  HALI YA KUHARISHA kwa watoto wadogo sio  magharibu tu hata huku kwetu

hushauriwa kumnyonyesha mtoto isipite lisaa limoja baada ya kujifungua kisha kuendeleza hali ya kumnyonyesha mtoto ZAIDI ya mwaka mmoja.Suratul al -Baqarah {2:233}

© tibazakissuna.blogspot.com


FAIDA YA KUNYONYESHA KWA MAMA NA MTOTO.

1)  NI CHAKULA CHENYE KUMENGENYEKA UPESI KWA MTOTO AMBAPO HUMPA HAMU YA KULA MARA KWA MARA

2)  NI ULINZI KIAFYA  KWA MTOTO >> Maziwa ya mwanzo anyo toa mzazi hua na PROTEIN nyingi na SUKAR kidogo ambayo humlinda mtoto kutokana na magonjwa mfano kisukari type 1 magonjwa ya utumbo mdogo limonia na homa

3)  HUTIMIZA HISIA ZA MTOTO >> kuna research inayo thibitisha watoto njiti au premature hufa kwa kukosa hali ya kubwebwa na kubembelezwa

4)  HUKUZA AKILI  >> Ukiuliza watoto wanao fanya vyema shuleni utagundua watoto walio nyonyeshwa vyema na piakupata chakula vyema utotoni hua na akili sana na maendelo ya kifikra

5) HUCHOMA MAFUTANA KUONDOA KITAMBI >> Huenda umesha sikia kua kunyonyesha hupoteza kalori 20 kwa unapo nyonyesha mara moja hivyo mpaka kalori 500 hupotezwa kwa siku moja

© tibazakissuna.blogspot.com

6) HUTIBU KIZAZI  >> Homoni inayo itwa OXYTOCIN pindi inapo toka wakat wa kujifungua humsaidia kwa kiwango kikubwa mama kuweza kujua mahitaji ya mwanawe pindi anapo kua na matatizo pia OXYTOCIN iapo toka akati mama ana mnyonyesha mwanawe husaidia kizazi kujirudi na kuimarika na pia husaidia kutokuvuja damu kwa mzaz

7) HUUMBA UHUSIANA KATI YA MAMA NA MWANA >> Hali ya mama kumnyonyesha mtoto humsaidia mama kua na huruma kubwa kwa mwanawe pia kuna mahusiano makubwa ya kitabia hujengeka kati ya mama na mwana ndio maana mmoja wa wenye elimu alifikia kusema mnyanganyeni mtoto mwanamke ambae haja tulia kwa maana moja huenda mtoto akaathiriwa na tabia za mama yake au ikawa sababu ya mtoto kupata magonjwa hatari 

8) HUPUNGUZA KASI YA KUPATA KANSA YA MATITI NA KIZAZI  >> Ni faida ya kipekee kwako unae nyonyesha kwan hupunguza uhatarishi wa kupata kansa ya kizazi na ya matit na pia humkinga mwanao kwa kansa na magonjwa ambukizi

VIPI HUSAIDIKA MAMA AMBAE MAZIWA YAKE HAYATOKI AU NI MADOGO

© tibazakissuna.blogspot.com

NUNUA DAWA INAYO ITWA UWATU

TUMIA KIJIKO KIMOJA KWENYE UJI MARA TATU KWA SIKU

HUENDA UKAARISHA MAANA TABIA YA UWATU HUSAFISHA  UTE UTE (mucus) HALI AMBAYO HUIFANYA KUA DAWA NZUR KWA PUMU NA KIKOHOZI