Ijumaa, 27 Mei 2016

KISUKARI ( diabetes mellitus )


KISUKARI ( diabetes mellitus )

Pindi mwanadamu anapokula chakula huvunjwa vunjwa na moja ya matokeo ni mwili kupata SUKARI (GLUCOSE) ambayo kazi yake ni kuzipa nishati chembe za mwili (ubongo,misuli chembe chembe damu nyekundu ) 

tibazakissuna.blogspot.com

sasa kongosho (pancreas) kwenye chembe ya beta cell huzalisha homon inaitwa INSULIN ambayo hii kaz yake ni unapo kula kiwango cha sukar huweza kupanda na kongosho hutoa kiashirio kwa beta cell kutoa insulin katika mfumo wa damu na kuzi taarifu chembe kunyonya sukar hitajiyo ili itumike kama nguvu.

KUNA AINA MBILI ZA KISUKARI

tibazakissuna.blogspot.com

KISUKARI AINA YA KWANZA husababishwa na kutokuwepo kwa insulin kwa sababu beta cell  zime athirika au hazifanyi kazi ipasavyo

KISUKARI YA AINA YA PILI watu wa aina hii ni kwamba kongosho yao haizalishi kiwango kidhi cha kuweza kudhibit wingi kiwango cha sukari kwenye damu  (hyperglycaemia) au ni upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.

DALILI ZA KISUKARI

 A) kukojoa mara kwa mara kupita kiasi cha kawaida hasa usiku

B) kusikia kiu sana

C) kujiskia kuchoka hasaa

D) kuwashwa sana sehemu za uume au ukeni

E) kupoteza uzitowa mwili kwa muda mfupi

F) kuchelewa sana kupona vidonda au mikato ima michubuko

G) kuto kuona vyema

H) kupoteza au kuto kusimamisha vyema uume na kwa mwanamke pia kukosa ham ya tendo


tibazakissuna.blogspot.com

USHAURI

kisukari aina ya pili ukianza kuona dalili na kuwa mwenye kufanya mazoez ni rahisi kujitibu
fanya mazoez na punguza vyakula vyeupe, chips, vitu vitam,pombe,nyama nyekundu  na kula mboga za majan kwa  wingi kula taratibu ungate vyakula ipasavyo kama MTUME MUHAMMAD rehema na aman ziwe juu yake ANAVYO SHAURI ule ukiwa na njaa na usile ukashiba.

tibazakissuna.blogspot.com

TIBA

vijiko viwili vya unga wa mdalasin
kijiko kimoja cha unga wa uwatu 
kijiko kimoja cha unga wa habat sauda

changanya kwenye kikombe kimoja cha maji ya moto 
kunywa mara mbili kwa siku ndan ya masiku 21

kwa tiba zaidi tuwasiliane


Jumatano, 11 Mei 2016

MAUMIVU YA HEDHI (dysmenorrhea)

 

KILA mwenzi kizazi hutengeneza mfano wa ukuta ( lining ) ikiwa ni maandalizi ya mimba ikiwa mbegu ya kiume itakutana na yai, Hivyo kama hakuna mbegu ilio kutana na yai kinacho jiri ni ukuta huo hutanuka na mwisho wa siku huvunjika na kutoka kama moja ya damu ya hedhi
hivyo ukuta huo unapo vunjika prostaglandins hutoka pindi homoni hii inapo toka kizazi hujiminya kama reaction kwa kutoka kwa homoni iyo
 hivyo inaaminika kua homoni hio hua chanzo cha maumivu ya hedhi

 https://www.tibazakissuna.blogspot.com

na maumivu huzidia pindi mabonge ya damu yanapotoka na kugusa mdomo wa kizazi ambao bado haujatanuka na kupelekea maumivukua makali
hivyo ukiuliza kwanin wengi wa walio jifungua hawana maumivu utakua umepata jibu hapo juu

HIVYO

MAUMIVU ya Tumbo wakati wa hedhi (menstrual pains) au kitaalamu dismenorrhea, ni maumivu yanayojitokeza sehemu ya chini ya kitovu au kiunoni kabla au baada yakupata siku.
  
https://www.tibazakissuna.blogspot.com

KUNA AINA MBILI YA MAUMIVU

AINA YA KWANZA (Primary dysmenorrhea) maumivu yake hua ni chini ya kitovu na nyuma kwenye mgongona sababu yake kitaalamu haijulikani

AINA YA PILI (Secondary dysmenorrhea) ni husababishwa na magonjwa yanayo julikana na kupelekea chanzo cha maumivu mfano wa magonjwa hayo  ni uvimbe wa kizazi,magonjwa kama pid na endometriosis 

 https://www.tibazakissuna.blogspot.com
 

 USHAURI UNAO WEZA SAIDIA

ogea na jikande na maji ya moto

Punguza mawazo na penda mazoez

kula chocolate

kunywa maji ya uvuguvugu kwa wingi

TIBA 

 https://www.tibazakissuna.blogspot.com

NUNUA DAWA INAITWA KALKARIYAT 
CHEMSHA NA KUNYWA KIKOMBE KIMOJA KUTWA MARA MBILI SIKU MBILI

Jumamosi, 7 Mei 2016

MAPELE BAADA YA KUNYOA



KWANINI TUNATOKEWA NA MAPELE BAADA YA KUNYOA

tutajiuliza kwanza swali hili ivi ni kwanin watu kama wazungu waarabu na watu wa asia mara nying hawapati tatizo hili la mapele au vidonda baada ya kunyoa
ukichunguza utagundua ya kua sisi nywele zetu ni zenye kuji sokota au kujinyongorota
hivyo unapo nyoa na kukata mzizi wa nywele kabisa una jiweka katika hatar ya kupata mapeli

SABABU

 Bahat mbaya hakuna alie wah kutufundisha namna ya kunyoa ndo maana utakuta mtu haoshi uso wala kichwa kwa maji ya moto KABLA YA KUNYOA kwa ajili ya kuua bacteria waliopo kwenye uso na kwenye kichwa ambapo mtu huyo akisha nyolewa bacteria hao huingia kwenye matundu hayo
ndo maana ukiwachunguza wazee wanao nyoa na viwembe hawana mapele maana wana jisafisha kabla ya kunyoa

Sasa Matundu hayo yanapo ingia bacteria huziba na pia ukinyoa nywele zote kwenye ngozi kumbuka nywele zetu ni za kujisokota hivyo nywele hujisokotea ndan kwa ndan ( ingrowing ) na huleta muwasho na uvimbe 

sasa kwanin wale walio chonga nyuma hupata mapele mwisho wa siku 

sababu ni kwamba ukisha nyoa ukapata vidonda ngozi hutoa (collagen) hii ni kwa ajili ya kurepair ngozi iliyo aribika hivyo unapo LINYOA tena lile jeraha unatengeneza hali ya ngozi kuvimbiana na kutengeneza kama uvimbe ( keloid scarring ) wa mfano wa alie katwa na wembe na ngozi yake ikipona hua ni yenye uvimbe maana ngozi hujirepair kama nilivyosema hapo awali 
 
 https://www.tibazakissuna.blogspot.com

USHAURI

Unapo taka kunyoa ziwe ni nywele za chumban, kikwapan au popote hakikisha una jisafisha kwa maji ya moto kuondoa bacteria na kulainisha ngozi

asubuh unapo nawa uso hakikisha maji hayabaki kwenye kidevu maana nadhan kila mtu anajua mikono yake USIKU hujisika wapi hivyo unapo osha uso hakikisha maji yanatiririka yote chini kuondoa bacteria

Nyoa nywele kwa muelekeo wa nywele zako ili usizikate nywele zote kwan utafanya nywele kuto kutoka kwenye ngozi

 https://www.tibazakissuna.blogspot.com

kuna aina ya mafuta husaidia sana kulainisha na kusimamisha nywele unapakaa kabla hujanyoa na baada ya kunyoa ukipakaa huondosha msuguano unao pelekea mzizi wa nywele kunyolewa na pia huondoa mauvimbe tuliyo yaongelea ila kwakua hatutoag sadaka kwa mtoa post sinta taja
 https://www.tibazakissuna.blogspot.com

Jumatano, 4 Mei 2016

KUTOKWA NA MAZIWA BILA KUTEGEMEWA ( GALACTORRHEA)




KUTOA MAZIWA KWENYE CHUCHU BILA KUTEGEMEWA


hali hii huwachanganya sana wasichana haswa pale ambapo atapima na kujikuta hana ujauzito wala hana historia ya kunyonyesha
tatizo hili mara nying hua lina tokana na homoni (prolactin) ima madawa

SABABU YA TATIZO 

MADAWA :: mfano wa madawa ambayo hufanya proclain iwe juu ni uwatu,madawa ya pressure madawa ya kuzuia mimba n.k

tibazakissuna.blogspot.com

KUVIMBA KWA PITUITARY pituitary ni sehemu katika ubongo ambapo husaidia kuweka uwiano sawa wa homon nying hivyo kupata kwake hitilafu hufanya homon kuzid na kuletea mabadiliko hasi katika mwili

KUCHEZEWA AU KUNYONYWA KWA CHUCHU hali ya kujichezea,kuchezewa,kunyonywa chuchu kwa muda mrefu hufanya proclain kuongezeka na kukufanya utoe maziwa kama vile unavyotafuna meno au bablish na hukupelekea kupata njaa kwa wepes .

KUUMIA KWA SEHEMU YA ZIWA AU KUUMIA KWENYE SEHEMU ZA UTI WA MGONGO

MAGONJWA SUGU YA FIGO figo husafisha damu hivyo kama proclain yako ipo juu tunaamin damu ikisafishwa vizur na figo hali ya mwanamke kutoa maziwa itakua chini hivyo kuathirika kwa figo kunapelekea mwili kusambaza proclain mwilin na kufanya utokaji wa maziwa bila kutegemea

UGONJWA WA UVIMBE KWENYE ZIWA ( Intraductal papilloma ) hii ni hali ya kupata uvimbe kwenye ziwa ambapo hupelekea hali ya utokwaji wa maziwa ila ikumbukwe kwamba uvimbe huu wa kwenye ziwa sio uvimbe wa kansa (benign)

TIBA YAKE

tibazakissuna.blogspot.com


chukua vitunguu thaum na vitunguu maji
halafu unga wake weka katika asali

kisha weka mafuta ya zaytun na mafuta ya habat sauda
baada ya mchanganyo huo
mgonjwa anywe kijiko kimoja asubuhi kabla ya kula na usiku baada ya kula
siku saba mfuatano

itazuia kutokwa maziwa

pia itazuia yasiendee kukua

lakini haita weza kufanya yanywee.
tibazakissuna.blogspot.com