TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM
MADA YA LEO ITAHUSIANA NA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume limekua sugu miongoni mwa jamii zetu waathirika wakubwa wakiwa vijana
Tatizo hili limegawanyika kwa aina mbali mbali kutegemeana sana na chanzo cha tatizo
tibazakissuna.blogspot.com
Tatizo hili limegawanyika kwa aina mbali mbali kutegemeana sana na chanzo cha tatizo
tibazakissuna.blogspot.com
AINA ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA SABABU
(( 1 )) KUWAHI KUFIKA / KUMWAGA MANII UPESI
Weng wamekua wakiuliza ni kiwango gan cha muda kinasema kwamba nina tatizo la kuwahi kufika
kiukweli ni chini ya dakika TANO ILA SABABU HUA NI
Weng wamekua wakiuliza ni kiwango gan cha muda kinasema kwamba nina tatizo la kuwahi kufika
kiukweli ni chini ya dakika TANO ILA SABABU HUA NI
KISAIKOLOGIA
- HOFU NA PUPA: hii hutokea pale ambapo Mwanaume hupatwa na tamaa haswa ya jimai na kushindwa kujizuia, humpelekea kumaliza mapema chini ya dakika mbili na kushindwa kusimamisha dhakari hivyo HOFU huingia na kuzuia mawazo ya msisimko wa tendo na kusababisha dhakari kusinyaa
- KUPOTEZA MSISIMKO: Hii hutokana na kupoteza hamasa ya tendo kwa yule unae fanya nae ama akili kutokusisimka kutokana na Utendaji Mbaya wa Jimai ulio pita pia Msongo Wa Mawazo kutokana na matatizo ya kimaisha au kuto kumridhia unae fanya nae.
KIMWILI
- UDHAIFU WA MISHIPA YA PUBOCOCCYGEUS (PC):
Kama Misuli ya Pubococcygeus (pc) ikiwa dhaifu humpelekea mwanaume kushindwa kujizuia kutokana na kufika upesi na pia humfanya mwanaume ashindwe kua na nguvu za kunyanyua dhakari pindi inapo sinyaa
Wakat wapo watu wanalia kuhusu kuwahi kufika wapo watu ambao wanaweza kwenda hata dakika 35 bila kupata goli hata moja hili pia ni tatizo la nguvu za kiume NA SABABU ZAKE HUA NI
TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM
- MARADHI YA KIJINI NA UCHAWI
(( 2 )) KUCHELEWA KUFIKA KILELE / KUCHELEWA KUMWAGA MANII
TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM
TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM
Wakat wapo watu wanalia kuhusu kuwahi kufika wapo watu ambao wanaweza kwenda hata dakika 35 bila kupata goli hata moja hili pia ni tatizo la nguvu za kiume NA SABABU ZAKE HUA NI
- KUPIGA PUNYETO ( masturbation ) SANA NA KUANGALIA PICHA ZA NGONO
TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT.COM
- KUTUMIA DAWA NA KUFANYIWA UPASUAJI WA KENDE MBILI
Kuna baadhi yetu wenye maradhi ya KISUKARI, PRESSURE YA KUPANDA NA ALLERGY mara nying dawa zao hupelekea tatizo hili hivyo vyema ukiwa na shida hii uongee na daktar wako akubadilishie dawa
Kuhusu operation za kende kwa wale walio fanyiwa naamin madktar walisha waarifu tatizo la kuto kumwaga au kumwaga hewa lipo kwa upande wao
hata wenye KUENDESHA BAISKELI kwa mda mrefu sana jambo hili HUENDA likawatokea
MATIBABU
TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT
Kuhusu operation za kende kwa wale walio fanyiwa naamin madktar walisha waarifu tatizo la kuto kumwaga au kumwaga hewa lipo kwa upande wao
hata wenye KUENDESHA BAISKELI kwa mda mrefu sana jambo hili HUENDA likawatokea
MATIBABU
TIBAZAKISSUNA.BLOGSPOT
-
TANGAWIZI - Chemsha Tangawizi gramu 100 kwa maji lita moja na nusu baada ya kuchemsha haswa changanya na asali lita moja .Matumizi - vijiko vitatu asubuhi na jioni
- MAFUTA YA KHARDAR NA UNGA WAKE - chukua mafuta ya khardar changanya na unga wake kisha chua Dhakari kila unapo taka kulala pia hukuza dhakar na kuipa nguvu haswa