Jumamosi, 5 Julai 2014

PUMU (sehemu ya pili)



Chukua dawa iitwayo KAL KAARIYAT. kisha uchemshe kwa MAJI lita 3.

KUMBUKA UJAZO WA DAWA UWE gr 100. 
kisha MAJI yachemke mfano wa maji ya ugali.
halafu utakuwa unakunywa ujazo wa KIKOMBE CHA CHAI mara mbili kwa siku. 
Dawaa hii huua hata MALARIA SUGU.
Siku ya kwanza kwa mgonjwa wa pmu ni siku pumu imemshika, atatumia hadi yatakapo ishia maji yake.

0 maoni:

Chapisha Maoni