Jumamosi, 5 Julai 2014

TIBA YA PUMU (sehemu ya kwanza)



Pumu ni ugonjwwa ambao husababishwa na matatizo ya Mapafu  au Majini.
hapa nakupa tiba ya Pumu ya maradhi ni hivii
   
Chukua dawa iitwayo HULBA kisha fanya unga na kama utapata ile iliyo SAGWA kabisa ni bora.
kisha ujazo wa kijiko cha chai unaweka katika UJI wa NGANO isiyo kobolewa, 

mara tatu kwa siku.
muda ni siku 9 in shaa Allah utakuwa umepona.

0 maoni:

Chapisha Maoni