Ijumaa, 4 Julai 2014

MAJINI AINA YA KHAFQAAN




Majini hawa huwa  wanamfanya mtu awe na tabia ya kulala hovyo bila sababu za msingi mpaka unaweza kuhisi labda ana tatizo la moyo.
mwingine hua na uhaba wa usingizi na hana tatizo lolote la kichwa
hali inayo weza kufanya awe ana kula dawa za usingizi kumbe tatizo ni majini aina ya khafqaan.

DAWA
kwanza unatakiwa kusomewa kisomo maalumu utanitafuta tusaidiane kisha tumia

mafuta ya :~
© tibazakissuna.blogspot.com
1) zaytun

2) nyonyo

3) nyangumi

          yawe mafuta ya kupakaa kichwani asubuhi na usiku.
dawa za kula

        kula sana mapeasi
in shaa allah utapona


0 maoni:

Chapisha Maoni