Alhamisi, 3 Julai 2014

CHUMA ULETE NI NINI ???



 SALAAM ALYKUM MADA YA LEO NI CHUMA ULETE

unapoongelea chuma ulete ni kitu ambacho kipo sana mitaani na baadhi ya watu kuona kama labda ni mambo na maneno ya kiswahili au watu wasio na elimu na maarifa.
lakini uhalisia wake upoje??

chuma ulete ni aina ya wizi ambao hutia hasira na hasara katika maisha na kazi mbalimbali za kimaendeleo, kwani huwa wanatumika aina ya majini ambao wamefunga mikataba na binaadamu wenye imani ya kishirikina au maarufu wachawi
.
majini hawa wizi wao huwa hawaibi pesa zote au mali yote ila hueiba kama ni pesa basi huiba chini ya 30% na kukuachia 70%  au zaidi.
maana ni majini wezi na ndiyo wenye michezo ya kufanya watu kuwa misukule pamoja na kuiba mimba za wamama ambao mimba zao zilifika miezi 7 au 8 na kisha mama huyo akienda hospital huambiwa tumboni hamna kitu.
hao ni majini aina ya GHUUL
majini hao wapumbavu kama atakuwa ni jini mahaba basi dalili ya jini mahaba aina ya ghuul ni kwamba mtu utakuwa na bahati ya kuokota pesa na vitu vya thamani haswa unapokuwa na shida ya jambo hilo.
vipi uwaondoe majini hawa?????
 kwani wanaweza kusababisha mtu atakaye kumbwa majini hao kubadilika tabia na kuwa mwizi ghafla jambo ambalo hakuwa nalo awali.
ima mtu kuwa natibia za kuota unazikwa japo ndoto hizo hufanana na mtu mwenye jini maiti.

 TIBA YAKE

© tibazakissuna.blogspot.com

mafuta ya figiri

mafuta ya ndimu

mafuta ya ngamia

mafuta ya mkunazi 

awe anapakwa mgonjwa kila siku asubuhi na usiku siku 21

DAWA ZA KULA

© tibazakissuna.blogspot.com  
shomar

bakar had

al hamza

kharmal

utachanganya na kunywea katika uji. pia kisomo ni aya zinazo taja kifo na kiama
kwa siku 7.
kumbuka majini hawa ghuul hutumika kumfanya mtu kuwa msukule na katika tiba basi waganga washirirkina hukwambia una mzizimu ya kwenu kumbe unadhurika na huwa wanaweka alama maalum katika uso ikiwa mfano wa chale ili waganga washirikina wasikutiby.
fata hayo maelekezo na ALLAH akuponye.
TOA MAONI YAKO 

4 maoni:

  1. asalam alaykum.mimi namatatizo sana ya kipesa ninamwaka wa kumi sasa na kila mwaka napata mshahara usiopungua laki 4 lakini sielewi psa iyo inakwenda wapi nikiwa namana kuwa sioni nachokifanya je nawezakuwa nasumbuliwa na nini

    JibuFuta
  2. mimi nahitaji kuonana na wewe kwa ajili ya tiba

    JibuFuta
  3. IJUWE SIRI YA MALI NA UTAJIRI KWA NDAGU NA MAJINI PIA ASILI YAKO.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    JibuFuta