Alhamisi, 3 Julai 2014

CHUMA ULETE NI NINI ???



 SALAAM ALYKUM MADA YA LEO NI CHUMA ULETE

unapoongelea chuma ulete ni kitu ambacho kipo sana mitaani na baadhi ya watu kuona kama labda ni mambo na maneno ya kiswahili au watu wasio na elimu na maarifa.
lakini uhalisia wake upoje??

chuma ulete ni aina ya wizi ambao hutia hasira na hasara katika maisha na kazi mbalimbali za kimaendeleo, kwani huwa wanatumika aina ya majini ambao wamefunga mikataba na binaadamu wenye imani ya kishirikina au maarufu wachawi
.
majini hawa wizi wao huwa hawaibi pesa zote au mali yote ila hueiba kama ni pesa basi huiba chini ya 30% na kukuachia 70%  au zaidi.
maana ni majini wezi na ndiyo wenye michezo ya kufanya watu kuwa misukule pamoja na kuiba mimba za wamama ambao mimba zao zilifika miezi 7 au 8 na kisha mama huyo akienda hospital huambiwa tumboni hamna kitu.
hao ni majini aina ya GHUUL
majini hao wapumbavu kama atakuwa ni jini mahaba basi dalili ya jini mahaba aina ya ghuul ni kwamba mtu utakuwa na bahati ya kuokota pesa na vitu vya thamani haswa unapokuwa na shida ya jambo hilo.
vipi uwaondoe majini hawa?????
 kwani wanaweza kusababisha mtu atakaye kumbwa majini hao kubadilika tabia na kuwa mwizi ghafla jambo ambalo hakuwa nalo awali.
ima mtu kuwa natibia za kuota unazikwa japo ndoto hizo hufanana na mtu mwenye jini maiti.

 TIBA YAKE

© tibazakissuna.blogspot.com

mafuta ya figiri

mafuta ya ndimu

mafuta ya ngamia

mafuta ya mkunazi 

awe anapakwa mgonjwa kila siku asubuhi na usiku siku 21

DAWA ZA KULA

© tibazakissuna.blogspot.com  
shomar

bakar had

al hamza

kharmal

utachanganya na kunywea katika uji. pia kisomo ni aya zinazo taja kifo na kiama
kwa siku 7.
kumbuka majini hawa ghuul hutumika kumfanya mtu kuwa msukule na katika tiba basi waganga washirirkina hukwambia una mzizimu ya kwenu kumbe unadhurika na huwa wanaweka alama maalum katika uso ikiwa mfano wa chale ili waganga washirikina wasikutiby.
fata hayo maelekezo na ALLAH akuponye.
TOA MAONI YAKO 

2 maoni:

  1. asalam alaykum.mimi namatatizo sana ya kipesa ninamwaka wa kumi sasa na kila mwaka napata mshahara usiopungua laki 4 lakini sielewi psa iyo inakwenda wapi nikiwa namana kuwa sioni nachokifanya je nawezakuwa nasumbuliwa na nini

    JibuFuta
  2. mimi nahitaji kuonana na wewe kwa ajili ya tiba

    JibuFuta