Ijumaa, 4 Julai 2014

KURUDISHA HISIA YA TENDO LA NDOA KWA MWENYE JINI MAHABA




 JAMANI NDUGU ZANGU.
ASIKUDANGANYE MTU KABISA

Tatizo la MAJINI MAHABA ni kubwa na lina adha kubwa na nzito.
MWANAMKE mwenye MAJINI MAHABAanaweza kukaa maisha yake yote asitamani mwanaume.

TIBA YAKE



©tibazakissuna.blogspot.com
Chukua MAFUTA YA NDIMU na MAFUTA YA THAUMU na MAFUTA YA ZAITUNI na uweke KARAFUU MAITI kipande kimoja.
kisha uwe unapaka UKENI  kila wakati wa kulala
.
Dumu kwa siku 21
utakuwa na hisia kali sana.

lakini JINI HAUTAKUA UMEMTOA ila utamtuliza kwa asilimia kubwa
ili umtoe lazima ufanyiwe VISOMO husika kutegemea aina ya JINI uliye naye kwa UKOO wa jini huyo.

0 maoni:

Chapisha Maoni