Jumatatu, 31 Julai 2017

MAUMIVU YA KIUNO


MAUMIVU YA MGONGO

Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno 
hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea 

sababu ni nying kutegemeana na chanzo cha tatizo

KUNYANYUA VITU VIZITO
mara  nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya iuno kuvuta

MISULI KUUMA

 hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali

PINGILI ZA UTI WA MGONGO

 katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kaz yake sasa katika hizo pingili zipo kama donati na hua zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu

MKAO MBAYA NA MUONDOKO 

mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu

kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha kama nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali

MAGONJWA KAMA JIWE KATIKA FIGO , UTI NA ARTHRITIS 

moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni kama UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno
Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno

© tibazakissuna.blogspot.com 

PIA KUNA  MAMA KUA MJAMZITO MWANAUME KUA NA KITAMBI NA VINGINE MAANA NAKUMBUKA UKIWA KIJANA UKISKIKA UNA UMWA MGONGO UNAAMBIWA OA BHANA UONDOKANE NA TATIZO HILO

NAMNA YA KUTIBU UGONJWA HUU

NJIA YA KWANZA

TUMIA MAJI YENYE JOTO WEKA KWENYE CHUPA MFANO YA FANTA YALE MACHUPA MAKUBWA 

LALIA UKIWA MIGUU YAKO IPO JUU LALIA CHUPA HIYO KWENYE MGONGO WAKO  NDAN YA DAKIKA 15 AU CHINI HAPO 

© tibazakissuna.blogspot.com 

NJIA YA PILI 



CHANGANYA MAFUTA YA NANAA , HABAT SAUDA NA MKARATUSI   TUMIA KUJICHUA HAKIKISHA HUSUGUI MFUPA KAMA UNAVYO SHAURIWA NA WANA MASSAGE FANYA KUMASSAGE MPAKA CHINI YA KIUNO KWA SIKU MARA MBILI KWA UWEZO WA ALLAH UTATIBIKA 

© tibazakissuna.blogspot.com 



Ijumaa, 28 Julai 2017

KUKOSA USINGIZI



KUKOSA USINGIZI

Kukosa usingizi ni tatizo ambalo weng wetu tumewah lipitia mara moja moja katika maisha yetu 
lakin kuna ambao hili ni tatizo amblo kwao limeweka makazi ya kudumu na kua ni ugonjwa

© tibazakissuna.blogspot.com 

 mtu mzima pumziko la usingizi ina kadiriwa kua masaa nane au saba kutegemeana na hali ya mtu
dalili zake mara nying hua kuumwa na kichwa mara kuangusha au kuvunja vitu kwa kukosa umakini kwa sababu ya ubongo kuchoka 

SABABU ZA KUKOSA USINGIZI

KIAFYA

kuna baadhi ya madawa ukiyatumia yanasababisha hali ya kukosa usingizi mfano wake ni kama dawa za PUMU, Dawa za  Allergy, maumivu ya uti wa mgongo,  Dawa za Kusisimua misuli,  Dawa za msongo wa mawazo, Dawa za pressure

Kuna aina nyingine ambazo pia huleta tatizo hili ambapo ukitumia unapoteza usingizi 
KUNYWA KAHAWA, KUNYWA POMBE, UVUTAJ SIGARA UNENE HASWA KUA NA KITAMBI

© tibazakissuna.blogspot.com 

Kula sana wakat wa usiku kunapelekea  tumbo kufanya mmengenyo sana na kukukosesha usingiz haswa ulaji wa vitu vigumu kusagika mfano wa nyama

© tibazakissuna.blogspot.com 

MATATIZO YA KISAIKOLOJIA 

hofu juu ya mambo ya kaz au mahusiano na mengine hupelekea kukosa usingizi
mambo madogo madogo kama vile mwanga wa taa au mtaa wenye fujo kama mbwa disco na mengine

TIBA YA TATIZO

chukua maziwa na asali

changanya chemsha Maziwa fresh kikombe kimoja kisha changanya  Asali vijiko viwili kwenye kikombe kimoja tumia na ulale baada ya dakika 20

Tumia biringanya katika kila mlo wako

© tibazakissuna.blogspot.com 

kwa mwanaume alie oa bas ajitahid kufanya jimai maana baada ya jimai na mkeo kuna kemikal za usingizi hutoka ndo maana weng wakimaliza jimai hupata usingizi

© tibazakissuna.blogspot.com