Inshallah mwenyezi mungu akujaalie uelimishe wale wote wenye matatizo ya kidunia na pia akujaalie uweze kutoa tiba zaidi na kwa msaada zaidi mwenyezi mungu atakupa zaidi na atakujengea daraja la imani na dhawabu zaidi
Assalamu alaykum nilikua naomba msaada wako juu ya tatizo la mdogo wangu. Mdogo wangu ana miaka kadhaa inaweza kufika hata kumi kwasasa akilala usiku haoti ndoto ya aina yoyote na akiota basi anaota ndoto za kutisha ama anaota kua ananyonyesha mtoto naomba msaada wako kwanza maelezo kuhusu hili ila pia jinsi ya kuliondosha tatizo hili
Inshallah mwenyezi mungu akujaalie uelimishe wale wote wenye matatizo ya kidunia na pia akujaalie uweze kutoa tiba zaidi na kwa msaada zaidi mwenyezi mungu atakupa zaidi na atakujengea daraja la imani na dhawabu zaidi
JibuFutaSawa
JibuFutaAmin kwetu sote
JibuFutaNaomba elimu kuhusu acupressure na acupuncture Insha Allah
JibuFutaNilikuwa naomba unieleweshe kuhusu halmiti. Je hii dawa ina tengenezwa kutokana na mmea gani?
JibuFutaAssalamu alaykum nilikua naomba msaada wako juu ya tatizo la mdogo wangu. Mdogo wangu ana miaka kadhaa inaweza kufika hata kumi kwasasa akilala usiku haoti ndoto ya aina yoyote na akiota basi anaota ndoto za kutisha ama anaota kua ananyonyesha mtoto naomba msaada wako kwanza maelezo kuhusu hili ila pia jinsi ya kuliondosha tatizo hili
JibuFuta