Jumamosi, 25 Machi 2017

JIAMINI UWE TOFAUTI





KUJIAMINI

KUTOKUJIAMIN KWA MWANAUME NI KITU ASICHO KIPENDA MWANAMKE YOYOTE YULE
KUONDOA HOFU KWANZA  UJUE HOFU YAKO IPO WAPI

*TATIZO*

1⃣  Bahat mbaya hakuna alie wah kutufundisha juu ya tabia za miili yetu kua hujirekodi mambo tuyafanyayo na yanapo jirudia rudia hua ni TABIA za miili yetu sasa unapo fanya PUNYETO mara nying huwez fanya ndan ya dakika 30 ila huishia ndan ya dakika mbil au tatu
Sasa wew ndo unae weza tofautisha kua sasa unafanya punyeto BILA MWANAMKE na sasa unafanya na mkeo kitu hichi mwili hukirekod kama kitu kimoja hivyo unapo fanya na mwanamke unaishia ndan ya dakika 3 maana mwil wako ulishaji program kuishia dakika tatu

® tibazakissuna.blogspot.com
 
2⃣ Inaweza pita siku nzima mwanaume hajasimamisha uume hunywea kitu ambacho kinaweza kua ni sababu moja wapo ya kupungua kwa uume chukulia mfanya mazoez ya kifua pindi anapo jaza mishipa yake ya damu kwa kunyanyua vyuma na anapo acha kupiga chuma hua sawa

3⃣  MWANAUME YOYOTE HUONEKANA KILAZA KAMA HAJUI KUMUANDAA MWANAMKE KWA MDA MREFU kwan hutaweza mfikisha mkeo hata kama ungekua unalo la tembo sanasana utamuumiza na hata taman kukujua tena ima kukutolea maneno ambayo huenda yakakukosesha KUJIAMINI

  *JIBU LETU*

💝ACHA pupa na vuta pumzi ndefu kisha achia taraaatibu unapo taka kuanza mechi kisha jitahidi KUMUANDAA mkeo kwa mda mrefu isipungue dakika 20 hii itasaidia wew kujizuia kufika na kuvumilia pili itasaidia kulainisha zoez utalo enda fanya next time tutatazama kwenye namna ya kumuandaa mkeo

® tibazakissuna.blogspot.com

💞 MKEO KUKUTIBIA

Mkeo ajaribu kuifuta TABIA YA KUWAHI kufika atakacho kifanya atakuchezea mpaka upandishe joto dhakar ifikie hal ya kutaka kutoa manii kisha aache kwa wew kumwambia kua sasa naziskia zinakuja aache dhakar ilainike kias cha kua haijasimama kisha arudie zoez hilo mara tatu au zaid HILI LITAKUSAIDIA pale unapo kua umewahi kufika unakua na uwezo wa kusimamisha na kufanya tena bila kupoteza mda na pia inauwezo wa kukufanya kuzoea msisimko wa kufika tafadhalj usijifanyie wew nina maana yangu kusema ni mwanamke kukufanyia ikiwa hutaweza ni bora utafute mazoez ya uume na pia dawa za kuimarisha uume

💘 AMA KUHUSU UREFU WA UUME 

usipate tab sana juu ya hili pata tabu juu ya pumzi yako na namna ya kumuandaa mwanamke kwan hakika kuna kiongo kimoja cha mwanamke kina mishipa ya faham 8000 ambapo ukipachezea vyema unafaida ya kumfikisha kabla ya jimai na akaridhika kabisa
 
bibi harus hua na urefu wa kuanzia inchi 4 akiwa hajaandaliwa na mpaka inchi 5 au 7 kutegemeana na mtu na maandalizI

na raha ya mwanamke ipo juu inchi 3 au zaidi ntaelezea zaid siku ingine kwamba dhakar ilio pinda kuelekea juu ina athar gan katika kumfiksha mwanamke na hasara gan

ila mwanamke anapo sisimka ndan mwake hujaadam kwenye yale matuta na hapo hua inakaa tayar kuendan na kitacho ingia ikiwa ni kidole kimeingia bas uke hunywea sawa sawa na ukubwa wa kidole kitu ambacho humpa faida ambae ana dhakar ndogo

® tibazakissuna.blogspot.com

ila pia kuhusu dhakar inafanana sana na sindano ile yenye bomba la kat unapo lisukuma hutoa dawa na unapo vuta lile bomba hua na tabia ya kuvuta dawa hivyo hivyo kwa mwanaume alie na umbile dogo huvuta uke kupitia yale maskio yake ya mbele ya uume na kizaz cha mwanamke husogea karib ikiwa kuna hewa bas akiwa anatoa dhakar hutoka na ile hewa ambayo dhakar iliingiza awali
sasa sio juu ya mwanaume KUMFIKIRIA/KUMTOLEA MANENO MABAYA mwanamke kua mbona kuna saut kama kupumua anayo iskia ikitoka kwan wew ndo ulie ingiza upepo na ukautoa (queefing)

NIA SIO KUKUPA ELIM YA ZINAA LAA NI ELIM AMBAYO WENG WANAIDHARAU KWA KUIONEA HAYA AU VINGINE MWISHO WA SIKU HUARIBU NDOA ZAO KWA KUTO KUA NA ELIM SAHIHI

KARIBU ILINDE NDOA YAKO KUJUA ZAIDI

0 maoni:

Chapisha Maoni