Jumatano, 21 Juni 2017

MWANAUME KUPOTEZA HAMU YA JIMAI BAADA YA KUOA



KWANN WANAUME HUPOTEZA HAMU YA TENDO LA NDOA HASWA NDAN YA NDOA

Ukiuliza kuhusu hili utaambiwa tatizo kubwa ni upungufu wa homoni ya TESTOSTERONE majukumu na watoto 

© tibazakissuna.blogspot.com 

ila mbona wanaume walio achana na wake zao na walio na watoto wanakua na nguvu na hamu hali yakua na yeye pia anamajukumu na watoto 

sasa mimi sio mwanasayansi ukisema kuhusu testosterone nataka niijue ina muathiri vipi mwanaume na ina faida gan kwake

 kwa ufupi testosterone ni kitu kinacho mfanya mwanaume kua mwanaume yaan humfanya yeye KUPATA HAMU yakufanya mapenzi, humfanya kupata saut nzito na kutoka nywele na  kukua kwa uume na kadhalika

sasa kwa mwanamke yeye ya kwake huitwa estrogen ambayo hii humpa hamu ya kufanya mapenzi na ni homon yenye kumuunganisha  kwa upendo wa jamii na urafiki 

Bahat mbaya vyakula tunavyo kula wanaume vina wekewa estrogen ili kunenepesha miili ya kuku na wanyama kama ngombe na kadhalika unapo kula vyakula hivi vyenye homon ya kike MWANAUME unakosa hamu ya kufanya mapenzi

© tibazakissuna.blogspot.com 

sasa lingine linalo shusha hamu ya mwanaume ni pamja na kua katika ndoa mda mrefu

BIBI zetu walifundishwa KUKAA KIMYA yaan wanawake kuto kubishana na wanaume ili dumisha ndoa zao lakini tatizo Hii ilikua busara ya kuepusha kuto kuelewana maana mwanamke anapo sema hua haangalia anasema nin kikubwa anacho taka DUKUDUKU la moyoni limtoke kwan yeye kuongea ni njia ya kumpa faraja

sasa katika kuongea huko mwanaume huona HILI ni tatizo ima mwanamke anakelele sana maana wanawake ni wenye kumbukumbu nzur akianza kuongea atayasema hata ya miaka 5 yaliyo pita JAMBO hili HUFANYA MWANAUME KUTOA HOMON YA ESTROGEN ambayo ni homon ya kike hii humfanya mwanaume achoke na kuchanganyikiwa kutokana na hasira na kuto kumuelewa mwanamke SASA ikifikia hapo mwanaume HUONDOA HISIA kutoka kwa MKE WAKE

Mwisho mume huyo hua ni mkimya tu akiulizwa swali hajibu wala hajishughulishi kujali sas mwanamke huumizwa tena na hali hii na kujiuliza je mwanaume huyu ananin na bado ananipenda kweli

WANAWAKE WA SIKU HIZ NI WASEMAJI SISEMI KUA WASIWE WAONGEAJI ILA WAANGALIE KWANZA WANACHO KISEMA KISHA WAJUE KUSHUSHA SAUT ZAO

MWANAUME ASITOE USHAUR MPAKA AOMBWE NA MWANAMKE KIKUBWA MWANAUME AMSIKILIZE TU MKEWE MPAKA ATAKAPO MALIZA KUYATOA YA MOYONI KISHA AMAHID KUYATENDEA KAZI

KWANI NINAVYO JUA MIMI WANAUME WENYE KUONGEA SANA KULIKO WANAUME MARA NYINGI HAWAPAT TENDO LA NDOA KUTOKA KWA WANAWAKE WAO NA HUAMBULIA KUAMBIWA WANAGUGU

MWANAMKE KUA NA HALI YA KUJISAHAU KUA MAPENZ NI SUMAKU KUA ANATAKIWA AWE KAMA CHUMA CHENYE KUNGAA NA KUVUTIA NA KUCHEZA NA UZUR WAKE KUJIPAMBA NA PIA AWE MWENYE KAULI NJEMA ZA KUMPA MOYO MWANAUME NA KUMSIFIA KAMA KIDUME WAKE ILI IMNYANYUE HOMONI MWANAUME WAKE

© tibazakissuna.blogspot.com 

NINI MWANAUME AFANYE KUNYANYUA HAMU YA TENDO NA KUMPENDA 

kwakua testosterone ndio huongeza hamu ya mwanaume bas 

1) MWANAUME ANAPO KUMBWA NA TATIZO HOMON YAKE ILE HUTOKA HARAKA NA KUMPA HALI YA KIUME KUTATUA TATIZO NA AKIFANIKIWA KUTATUA BAS HUJISKIA FURAHA SANA SASA KIKUBWA UNACHOTAKIWA KUKIFANYA NI KUJISHUGHULISHA HATA KAMA NI MAZOEZ AU KAZ ILI HOMON HIZI ZITOKE 

2) JITAHID KUJUA KUMVUMILIA MWANAMKE AKIONGEA USIMJIBISHE BALI MWACHE AONGEE NA WEW ITIKIA NDIO SAWA KISHA MUOMBE AKUPE MDA BAADAE AKISHAPOA NDO UMREKEBISHE 

NILIPO KUA NAANGALIA WANAJESHI WA KIMAREKAN WANAVYO FANYIWA MAFUNZO HUTUKANWA NA KUSEMESHWA MANENO MABAYA HATA KUTUKANIWA MAMA NA WAKIANGALIWA USONI HURUHUSIW KUJIBU KITU  NI KUVUMILIA TU ukijibu una pushup 20 HII NI KWAKUA MWISHO WA SIKU UKISEMA UNAFATA HASIRA ZAKO MWENZAKO ULIO MSHIBA AKIPIGWA RISAS HUKAWII KUCHARUKA NA KUPIGA RISAS OVYO MWISHOWE UKAFA KIZEMBE

3) PENDA KUTUMIA MAKOKO MANGA MATUNDA YA ZAITUNI AU NAZI HIZI ZITAKUONGEZEA HOMON YAKO NA KUKUPA HAMU 

© tibazakissuna.blogspot.com 

2 maoni:

  1. Kutana na mtaalamu wa mitishamba toka tanga anatibu ugumba uzazi nguvu za kiume kukuza uume na kunenepesha uume kukuza hips shape na makalio kwa mvunge. .uti sugu matatizo ya hedhi. .kuondoa harufu mbaya na maji ukeni. .dawa zahamu ya mapenz. .mpigie dr kupitia 0744903557 tanga

    JibuFuta
  2. Kwa matatizo ya afya ya uzazi ..na magonjwa mnalimbali tumia dawa za kisuna 0744903557 tanga

    JibuFuta