Jumanne, 24 Machi 2015

UTAJUAJE UNASUMBULIWA NA JINI


Mtu anayesumbuliwa na maradhi ya kijini,huwa na dalili nyingi kumfahamu, kwa sababu hawi na hali ya kawaida inayo stahiki kwa mwanadamu kamili.  

japo kuwa ndugu na jamaa watapata tabu na ikibidi kutumia gharama nyingi ili kumtibu au kumnasua katika janga la maradhi,lakini kama hawakujua dalili ya mwenye kusibiwa na maradhi ya kijini,basi penya nyingi itakuwa ikitumika bila mafanikio.
mtu mwenye kusibiwa na majini huwa dalili kama :
©tibazakissuna.blogspot.com

1# kulala hovyo

2# kukosa usingizi

3# hasira bila sababu

4# huota anashambuliwa na wanyama wakali mara kwa mara

©tibazakissuna.blogspot.com

5# huota anaporomoka katika milima au makorongo mara kwa mara

6# kuweweseka sana anapolala mara kwa mara

7# kuumwa kichwa,meno,macho sikio mara kwa mara

8# kutopenda manukato

9# kutopenda jimai

©tibazakissuna.blogspot.com

10# kutohitaji ndoa

11# kupatwa michubuko na maumivu wakati wa jimai

12# kuota safari safari

13# kupigana ndotoni mara kwa mara

14# kuota wafu mara kwa mara

15# kuota watu wamevaa nguo rangi moja tu

16# kuota watu wasiojulikana,warefu au wafupi sana

17# kusikia makelele masikioni na kutamani kukimbia

©tibazakissuna.blogspot.com

18# moyo kwenda mbio na kutamani kulia

19# kukaa na kuwa na dalili kama kuna mtu nyuma hali hayupo

20# kuota unafanya jimai mara kwa mara

21# kuota una mimba au kunyonyesha au kujifungua

22# kukosa hedhi

23# kuishiwa nguvu wakati wa jimai

24# kuto kuona ladha ya tendo la ndoa

©tibazakissuna.blogspot.com

25# kulala msikitini wakati wa khutba au mawaidha

26# kila unapota kusoma qur an au kusali kujikuta na miayo ima kulala.

27# kuumwa kila siku bila kuonekana ugonjwa hospital
nk
©tibazakissuna.blogspot.com
hii ni baadhi ya dalili ya kujijua kuwa unaathiriwa na majini. kama utapata ZAYT shifaa, na kufanyiwa visomo basi haya yataondoka na kurudi katika ya furaha na amani. 
©tibazakissuna.blogspot.com

0 maoni:

Chapisha Maoni