Jumatatu, 10 Novemba 2014

MAJINI AINA YA ZAWAABIL



MAJINI ZAWAABILI


Majini hawa husababisha maradhi yafananayo na ya kansa au mkanda wa jeshi.
Ni majini wapumbavu sana.
Na humuingia kwa wepesi mtu mwenye TABIA YA KUPENDA KUKAA WAZI MWILI WAKE AKITOKA KUOGA
Na akiwa ni JINI MAHABA aina hii hutopenda kusikia wala kukaa na mwenye kunuka jasho ila utakuwa mwenye kutema tema mate.


DALILI ZAKE


  • Mwili kuwasha sana
  • Ngozi kubabuka
  • Ngozi kuvuka kama gamba la nyoka
  • Mwili kuvimba na kuwaka moto
  • Mwili kuwa na midonda ya mapele

KUWAONDOA KWAKE

© tibazakissuna.blogspot.com

Kisomo cha KHAWAATIMU siku 11

Na dawa zakupakaa ni MRUTURUTU changanya na MAFUTA YA NYONYO au MAFUTA YA NDIMU pakaĆ  siku 27
 

Dawa za kunywa ni MKUNAZI na SUFA NYEKUNDU siku 27
 

KWA MAWASILIANO ZAIDI YA TIBA NA KISOMO

+255 713 826838
+255 655 826838
+255 784 638989
 




0 maoni:

Chapisha Maoni