Ijumaa, 31 Oktoba 2014

JINNI JADI





JINNI JADI 

ni aina ya majini ambayo huleta athari za kiafya na kimaendeleo katika mwili wa mwanadamu
ila utajuaje kua umeathirika na jini wa aina hii 

DALILI ZAKE
  • KULALA NA KUOTA UNAZIKWA
  • KUOTA MISIBA MARA KWA MARA
  • BABU AU BIBI MMOJA WAO ALIKUA MCHAWI NDO MAANA UNASUMBULIWA
  • WAGANGA WATASEMA KUA UNA MIZIMI YA KWENU INAKUSUMBUA
  • UNAKUA NA CHALE NDOGO NDOGO KWENYE USO AMBAPO HUWEZ KUPONA MPAKA CHALE HIZO ZA WACHAWI KUFUTWA NA KUMUONDOA HUYO JINI 
  • UKIWA MWENYEWE CHUMBANI UNA HISI KUNA MTU ANAKUFATA NA UNASKIA NYAYO ZIKIKUKARIBIA ILA HUONI MTU UNAPO GEUKA KUANGALIA
MADHARA YATOKANAYO NA JINI HUYO
  • Pesa kupotea katika mazingira ya ajabu [ chuma ulete ]
  •  kivuli chako kutumika kulogea 
  • Kua na asili ya uganga wa jadi
  • Kufanywa msukule 
 MSAADA WA HARAKA:

© tibazakissuna.blogspot.com

ANDIKA BISMILLAHI  RAHMAN RAHIM   بسم الله الرحمن الرحيم    MARA 35  
UWEKE CHINI YA MTO WAKATI WA KULALA ITATULIZA TATIZO ILA HUJATIBU TATIZO KUTIBU INABIDI UPATE TIBA. 


0 maoni:

Chapisha Maoni