Alhamisi, 16 Oktoba 2014

TIBA KWA ANAE POTEZA KUMBUKUMBU


KUPOTEZA KUMBUKUMBU


Ni uwezo mdogo wa kuhifadhi kumbukumbu kwa ajili ya matumiz ya akili.
Kuna kupoteza kumbukumbu ya jambo lililo tokea siku nyingi (long term memory) au jambo ambalo halijapita hata sekunde thelathini ukawa umelisahau (short term memory)

SABABU HUA

> UZEE

> MADAWA YA PRESSURE AU MADAWA YA MAUMIVU

> AJALI ZILIZO ATHIRI SEHEMU ZA UBONGO 


TIBA YAKE  

© tibazakissuna.blogspot.com

chukua ROSE zile  tunda zake. zilivyo zipo kama KOROSHO zilizo banguliwa.
kisha awe anatafuna 21 asubuhi na usiku baada ya kula  kwa muda wa mwenzi mzima 30 siku.
kupaka kichwan ataondoa nywele kichwani kwanza awe UPARA kisha tumia MAFUTA YA ROSE na ZAYTUNI akiwa anatafuna tunda hizi ale mbegu hizi basi anakua anapakaa kichwan hayo mafuta yatasaidia

1 )  kuimarisha mishipa ya ubongo 

2 )  kurejesha kumbukumbu 

3 )  kuongeza fahamu na akili

4 )  kujenga ubongo 

0 maoni:

Chapisha Maoni