Jumatano, 20 Julai 2016

KUONGEZA BAADHI YA VIUNGO



 

JEE! NI KWELI UNAWEZA KUKUZA BAADHI YA VIUNGO??

Swali hili huwa linaumiza vichwa sana, na pia wapo watu ambao hutapeliwa sana kutokana na aina ya dhiki wanayo pata katika nafsi zao, pia kuna wale ambao hupenda kuwa na aina fulani ya mwili, kama vile, vitambi au hips nk.
برجلة
Huu ni mti wenye faida sana iwapo utaukutanisha na قسطال

MITI HII NI MITI AINA GANI?

برجلة ni mti mkubwa sana wenye faida nyingi sana kama ilivyo miti maarufu mfano wa mbuyu,mkuyu,mpera na mzuri.
Pia maajabu yake ni kama haijal na faijal
Na pia hutumika na baadhi ya washirikina kama unavyo tumika مكل،مشندو ،مكي
Hiyo miti hatari sana.

tibazakissuna.blogspot.com
برجلة mti huu hutumiwa sana kwa kutibia mgonjwa sugu kama yafuatayo

#1 cd4 mtu mwenye upungufu wa cd4 yeye huchemsha magome na kunywa na akapona

#2 vidonda vya tumbo, mwenye tatizo hili hutumia unga wa mizizi na akapona kabisa

#3 pressure ukichanganya unga wamajani yake na Mjaafar pressure huisha kabisa

#5 Mtoto aliye bemendwa, kutumia kukandwa kwa magome ya mti huu pamoja na mpingo

#6 husafisha figo na pia hutibu fangas zote pamoja na kuongeza nguvu ya macho
tibazakissuna.blogspot.com
 
Mti huu ni aina ya miti ambayo huota sana ardhi za bara na Mara chache kuwepo kando ya bahari
Lakini pia unaweza kushangaa jambo hili!

KUKUZA VIUNGO

Magome ya mti huu huwa yanatumika sana iwapo unga wake utaweka kwenye mafuta ya nyangumia kwenye mafuta ya rozi, kisha mtumiaji akawa anapakaa sehemu kama mapaja na makalio basi humfanya akawa na hips pamoja na makalio kuongezeka kwa siku 50-90
Na baadhi ya kabila za nchi yetu hutumia sana kwa kuogeshea watoto na kufanya wanawake wa kabila hizo kuonekana kama hips na makalio asili yao.
Unaweza kushangaa sana na usiamini maajabu ya mti huo ambao leo nakuchambulia, kwani mti huu ni maarufu sana hata tunda lake linaliwa sana kama linavyoliwa tunda La peasi na mengineyo.
Kumbuka mbegu za peasi yaani سفرجل huwa zinachanganywa unga wake na asali kisha huwekwa dawa fulani za kichina na kukuza makali, 

lakini ubora wa peasi haufanani na برجلة hata kidogo
Pia kuna watu wenye upungufu wa uume,

uume kidaktar ni kwamba ukiwa chini ya nchi sita basi uwezekano wa kupata Mtoto ni mdogo na ukizidi nchi tisa unatakiwa upigwe rings kwa sababu pia uwezo wa kupata Mtoto ni mdogo
Hivyo watu huhaha kusaka dawa ya kukuza dhakari zao,ima wengine misuli ya dhakari zao huwa dhaifu na huhaha kutokana na kupiga sana punyeto na kuua misuli kiasi kufanya dhakari kukosa nguvu
Wao watatumia kuchua pindi dhakari imesimama na hunenepesha pamoja na kurefusha kwa siku 27 mpaka 45

Na kufikia saiz Utakayo
tibazakissuna.blogspot.com
Tambelea blog yetu kupata faida zaidi

Ushauri +255 713 826 838
+255 784 638 989
+255 758 711 111

6 maoni:

  1. Vipi kuhusu mafuta ya tembo na mnyonyo? Inasaidia?

    JibuFuta
  2. Vipi kuhusu mafuta ya tembo na mnyonyo? Inasaidia?

    JibuFuta
  3. hapana haisaidii ni njia mbili tofauti

    JibuFuta
  4. Huo ndio mti gani kwa kiswahili?

    JibuFuta
  5. Huo ndio mti gani kwa kiswahili?

    JibuFuta