Jumatano, 17 Desemba 2014

MARADHI YA VICHOMI NA MIGUU KUWAKA MOTO



MATATIZO YA VICHOMI NA MIGUU KUWAKA MOTO


maradhi haya kwa muangalio wa kawaida ni kichekesho,
lakini maradhi yenye kutesa na adha kubwa kwa mwenye kukumbwa na maradhi hayo'
lakini huwa yanatibika na jinsi ya kutibu inakubidi ufanye kitu kidogo
chukua dawa ifuatayo
tibazakisuna.blogspot.com

1)  mafuta ya ndimu

2) mafuta ya kitunguu thaum

kisha changanya,

halafu uwe unachua kwa nguvu sehemu zenye vichomi au pale penye kuwaka moto katika mwili wako. fanya hivyo asubuhi na usiku kwa siku 11. utapona kabisa
tibazakissuna.blogspot.com

0 maoni:

Chapisha Maoni