Jumatano, 31 Desemba 2014

MTU ANAYE PANDISHA MAJINI ANATOA MAJINI?


Hili ni miongoni mwa jambo ambalo watu wengi wamekuwa wakipata SHIDA KULIJUA na kujikuta wakipoteza muda na gharama ili kupata tiba,
Matokeo ni shida kuzidi badala ya kupungua.

 Leo hii wanaadamu wengi tumekuwa na kasumba mtu mwenye kupandisha MASHETANI ndiye TABIBU MZURI, na husifiwa kwamba ni mtaalamu, ila walisha sahau nini?

UPELEKA MGONJWA WAKO KWAKE ILI ATIBIWE KWA SABABU ANAPANDISHA MASHETANI, matokeo unafika kwa mganga bingwa ukiwa umemkuta na yeye KAPANDISHA MASHETANI VILEVILE.  kweli kuna tiba hapa?

amini ukweli ni kwamba wamekutana WAGONJWA WAWILI. wenye kusumbuliwa na ugonjwa mmoja, na wote wanahitaji kutibiwa ili waachiwe na mashetani.
Suala la mwanaaadamu kupandisha mashetani usije kufikiri kwamba ni ujanja wala si ucha Mungu. ila shida na hasara kwa sababu
26:221 QUR AAN
 Allah anataja sifa ya wenye kushukiwa na mashetani
usije ukapotea muda kuhangaikia TIBA kumbe wewe  umekutanisha wagonjwa wawili chumba kimoja matokeo ni kelele na nyimbo tu.
 HUWEZI  KUTOA JINI  UKIWA UMEPANDISHA JINI
tibazakissuna.blogspot.com

0 maoni:

Chapisha Maoni