Jumatano, 31 Desemba 2014

MTU ANAYE PANDISHA MAJINI ANATOA MAJINI?


Hili ni miongoni mwa jambo ambalo watu wengi wamekuwa wakipata SHIDA KULIJUA na kujikuta wakipoteza muda na gharama ili kupata tiba,
Matokeo ni shida kuzidi badala ya kupungua.

 Leo hii wanaadamu wengi tumekuwa na kasumba mtu mwenye kupandisha MASHETANI ndiye TABIBU MZURI, na husifiwa kwamba ni mtaalamu, ila walisha sahau nini?

UPELEKA MGONJWA WAKO KWAKE ILI ATIBIWE KWA SABABU ANAPANDISHA MASHETANI, matokeo unafika kwa mganga bingwa ukiwa umemkuta na yeye KAPANDISHA MASHETANI VILEVILE.  kweli kuna tiba hapa?

amini ukweli ni kwamba wamekutana WAGONJWA WAWILI. wenye kusumbuliwa na ugonjwa mmoja, na wote wanahitaji kutibiwa ili waachiwe na mashetani.
Suala la mwanaaadamu kupandisha mashetani usije kufikiri kwamba ni ujanja wala si ucha Mungu. ila shida na hasara kwa sababu
26:221 QUR AAN
 Allah anataja sifa ya wenye kushukiwa na mashetani
usije ukapotea muda kuhangaikia TIBA kumbe wewe  umekutanisha wagonjwa wawili chumba kimoja matokeo ni kelele na nyimbo tu.
 HUWEZI  KUTOA JINI  UKIWA UMEPANDISHA JINI
tibazakissuna.blogspot.com

1 maoni:

  1. IJUWE SIRI YA MALI NA UTAJIRI KWA NDAGU NA MAJINI PIA ASILI YAKO.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    JibuFuta