Jumanne, 17 Februari 2015

APPLE JAPO NI TUNDA LAKINI PIA NI ZAHANATI


APPLE

Hakuna ujanja  katika hili ila lazima tu umkubali Mtume Muhammad ( s.a.w )
kwa sababu yale aliyo tufunza ni yenye maslahi makubwa sana, na hasa juu ya ulaji wa apple. 
japo kuwa leo hii huonekana kama vile tunda la apple ni tunda la kuliwa na wenye pesa au watu wa tabaka fulani la watu bora.
kumbe ni tofauti sana,
tunda la apple pindi unapo kula tu basi ujue kwamba unaingia zahanati
 © tibazakissuna.blogspot.com

FAIDA ZAKE NDANI YA MWILI

1) MOYO >> hutibu maumivu ya moyo na kushusha pressure

2) FIGO  >> huvunja vunja mawe na kusafisha figo

3) MIRIJA YA UZAZI

4) KUSOGEZA KIZAZI

5) MWASHO WA KOHO

6) SARATANI

© tibazakissuna.blogspot.com

7) HUONGEZA CD4

8) HUONGEZA NURU YA MACHO

9) HUSAFISHA DAMU

10) HUZUIA KUHARISHA

11) HUPUNGUZA UZITO

12) HULAINISHA MISULI

13) HUONDOA HARUFU MDOMONI

14 ) CHOLESTEROL  

15) Hubalance pH >> japo mwanaume hutoa maji/ute ambayo husaidia kuweka kiwango cha pH uken  mwa mwanamke ili mbegu kusafiri na kuto kuuliwa na pH Acid ya mwanamke bado kuna aina ya wanawake pH zao ni kali bas tunda hilo husaidia tatizo hilo
 
 
na mwenye kula apple tatu kwa siku moja anakuwa amejenga nwili wake kuliko aliyekula mikate mitano isiyo na hamira,na mwenye kunywa juis ya apple iliyo changanywa na asali ya nyuki wakubwa basi anakuwa kama mtu aliye scan mwili wake mara 11.
haya hutoyapata kama si Mtume ( s.a.w )
© tibazakissuna.blogspot.com


0 maoni:

Chapisha Maoni