Jumatatu, 2 Februari 2015

FAIDA YA PEASI.


Hili ni miongoni mwa matunda ambayo watu hawayathamini kabisa, lakini yana faida kubwa kutokana na yaleyaliyomo ndani yake. peasi ni tunda lili mfano wa apple,na lina umbo kama moyo wako ila huenda likawa tofauti ya ukubwa na udogo kutokana na ukubwa na udogo wa tunda.
ulaji wa peasi {safrijali} pamoja na vimbegu vyake, 

HUSAIDIA :

 © tibazakissuna.blogspot.com

 1) kuimarisha utumbo

2) kusafisha utumbo wa chakula

3) kung'arisha uso

4) husafisha moyo na mishipa yake kulia na kushoto

5) huondoa jasho la kwapa

6) u t i

7) mwasho wa koo

8)  na juis yake huondoa mba

lakini pia juis ya peasi utaisoma katika mada zijazo

©tibazakissuna.blogspot.com

0 maoni:

Chapisha Maoni