Jumatatu, 2 Februari 2015

HEDHI ISIYOKATA


HEDHI ISIYO KATA

Suala hili la HEDHI isiyo kata,

Ni sehemu ya maradhi yenye kusumbua sana kina mama na kina dada..

lakini tatizo hili kama watu watapenda uislam na kufuata mafundisho ya uislam,basi ni tatizo ambalo halitakiwi kusumbua wanadamu.

NAMNA YA KUWEZA KUONDOA TATIZO HILO ??

CHUKUA:

© tibazakissuna.blogspot.com

  •  JUISI YA PEASI KIASI CHA NUSU LITA

  •  ASALI NUSU LITA .

KISHA CHANGANYA

 halafu uwe unakunywa kiasi cha kikombe cha kahawa kutwa mara mbili. kwa siku 9 hadi 14 tatizo litakuwa limekwasha.
hakikisha ni ASALI ya NYUKI na si SUKARI GURU.
 © tibazakissuna.blogspot.com
pia tiba hiyo hufaa sana kwa wale wenye kutokwa  na MAJI UKENI.
 

0 maoni:

Chapisha Maoni