Jumatatu, 23 Februari 2015

TIBA YA MARADHI YA KUHAMAHAMA



Kama unasibiwa na maradhi aina hii yenye kuhamahama na kukosa kujua suluhisho,
hali umeenda hospital na kukosa kujua nini suluhisho, basi inakubidi umkubali Mtume Muhammad (s.a.w) kwa sababu yeye amefundisha jinsi ya kuondoa maradhi aina hii yenye kutesa na kusumbua watu, na kupata mateso mengi.

SULUHISHO  KWA JANGA HILO  TUMIA DAWA ZIFUATAZO :

© tibazakissuna.blogspot.com

1) MDAULA

2) MJAAFARI

© tibazakissuna.blogspot.com

3)  MVUNJA HOMA

4) MAJANI YA MDHAMBARAU

kisha changanya pamoja na kusaga ziwe unga,halafu mgonjwa atachota ujazo wa kijiko kikubwa na  kuweka katika uji kisha anywe mara tatu kwa siku.
siku 21
pia awe akipakaa na kuchua ZAYT SHIFAA
© tibazakissuna.blogspot.com

0 maoni:

Chapisha Maoni