Jumatatu, 6 Aprili 2015

THAMANI YA AFYA SEHEMU YA TANO




UNYWAJI CHAI na kufuatisha MAJI BARIDI sana ni hatari kwa kusababisha tatizo la MAPAFU.
© tibazakissuna.blogspot.com

KUNYWA MAJI MENGI katikati ya KULA ni hatari gastric peristalsis ambapo huwezi kusababisha kusinyaa kwa utumbo mpana na kusababisha UKOSEFU WA CHOO.

NDIZI NA MAZIWA  huleta uzito katika mwili na kusababisha sumu ambayo hupelekea akili kua dhaifu katika utendaji
© tibazakissuna.blogspot.com

FIGILI NA NYAMA YA SUNGURA unapoteza nywele

WANAUME kulala KIFUDIFUDI baada ya JIMAI ni hatari kwani hukandamiza misuli na kuweza kusababisha upungufu wa NGUVU ZA KIUME 
Wakati kulala ubavu wa shoto husababisha maradhi ya MLIPUKO WA MOYO
© tibazakissuna.blogspot.com

FIGILI NA NYAMA YA KUKU ukipika pamoja unapoteza nguvu kabisa katika maisha yako

Haya ni maradhi ya KIZEMBE kwa sababu yatakusababishia gharama kutibu hali hukuwa na sababu ya kupoteza gharama. ..
© tibazakissuna.blogspot.com

0 maoni:

Chapisha Maoni